John Mnyika amuumbua Spika kwa kutoa ushahidi wa Ofisi ya Spika kupokea barua ya CHADEMA kuwavua ubunge wanachama wake

John Mnyika amuumbua Spika kwa kutoa ushahidi wa Ofisi ya Spika kupokea barua ya CHADEMA kuwavua ubunge wanachama wake

Sakata la wabunge wa viti maalum kutoka CHADEMA linaendelea, hiyo ni baada ya Spika mpya, Tulia kuzungumzia uhalali wao kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana Februari 14 wakati akizungumza na wahariri.

Tujikumbushe hizi ndizo barua na documents ambazo CHADEMA inadaiwa kuwa waliziwasilisha bungeni mwaka jana kuhusu kufukuzwa kwa wabunge kina Halima Mdee na wenzake 18.

1.jpg


2.jpg


3.jpg
 
Sakata la wabunge wa viti maalum kutoka CHADEMA linaendelea, hiyo ni baada ya Spika mpya, Tulia kuzungumzia uhalali wao kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana Februari 14 wakati akizungumza na wahariri.

Tujikumbushe hizi ndizo barua na documents ambazo CHADEMA inadaiwa kuwa waliziwasilisha bungeni mwaka jana kuhusu kufukuzwa kwa wabunge kina Halima Mdee na wenzake 18.

View attachment 2120127

View attachment 2120128

View attachment 2120130
CCM haijawahi kuona aibu
 
Back
Top Bottom