- Thread starter
- #221
Una uhakika na unachokisema?Karibu million 11
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika na unachokisema?Karibu million 11
Tayari mkuu.Soma juubado tu
Amejitahidi kwa nafasi yakeMashinji ndio katibu wa ukweli
Anaendesha chama kimkakati zaidi kuliko kiharakati.
Angalia chama kilivyo tulia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo alivyo akiwa kwenye heat lazima awakumbuke ChademaMuulize Pole pole mbona unateseka sana na mambo ya mtaa wa pili.
Kivipi mkuuKofia mbili
Updates Saa 11 Alfajiri - 20.12.2019
Freeman Aikael Mbowe Mwenyekiti wa chama Taifa amemteua John John Mnyika kuwa Katibu Mkuu Chadema
Pia Mbowe amewateua Benson Kigaila kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na Salum Mwalimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Katika uteuzi mwingine Kiongozi huyo mkuu wa Chadema amemteua John Heche kuwa mjumbe wa Kamati Kuu
Baraza Kuu kwa kauli moja limeridhia uteuzi huu wa Mwenyekiti wa chama na shangwe zimetawala katika ukumbi huu wa Mlimani city.
Kwa kweli mjadala umefungwa tumempata John Mnyika ashukuriwe MunguDah jamaa huko Mvomero na Moro mjini hawamfahamu kabisa, huyu atakuwa kama Masshinji tu alikuwa hajulikani
Mkuu kwa kweli Mwenyekiti kawapatia wananchi machaguo sahihi kabisa.Mnyika na Kigaila ni wapambanaji hasa na wanakijua vema chama.Wamekulia ndani ya chama na wako active kurespond kwenye hoja.Hongera sana kwa Mnyika, Kigaila na Mwalimu il niwambie hawa ndugu zangu uchaguzi 2020 ccm watafanya kila liwezekanalo kuhakikisha wwnachukuwa majimbo ya upinzani so chama kitaingia kwenye wakati mgumu sana inahitaji upambanaji wa hali ya juu.
Mkuu mbona umeshtuka kidogo
Bila upendeleo wowote kwa kweli Bashiru hawezi kupambana na Mnyika kwa Hoja.Huo ndiyo ukweli mchungu kwa wenzetu wa CCMMnyika ni kijana ni mwanafunzi mzuri wa Dr Slaa. Tunasubiri siasa za hoja na ubunifu. Nasubiri mdahalo kati yake na Dr Bashiru wakati wa kampeni za uchaguzi 2020.
Jambo kubwa Mnyika analopaswa kujivunia ni uungwaji mkono alionao kutoka kwa wanachama.Afahamu wanachama wanamuunga mkono kwa kiwango kiwango kikubwaHongera Mnyika nafasi inakufaa .Kafanye kazi ya chama,imarisha chama mbadala
Usimtabirie mabaya mkuu.Ameongea vizuri sana wakati anaagaMashinji anarudi CCM,
Umeandika kitu kikubwa sana hapaMnyika na naona chadema hawataki tena kwenye uongozi kua na mamluki wanataka chadema pure
Sent from my iPhone using JamiiForums