John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

JJ Mnyika hongera sana, hii ni heshima.kubwa kwako na kwa watanzania, Chadema mmetutendea mambo mazuri sisi watanzania wapenda maendeleo amani na demokrasia.

JJ mnyika.....hoyeeeeeeee!!.

Nimewaza JJM vs Bashiru....
.hahahaaa
 
Mnyika,Kigaila,Salum Mwalimu; wote watu wa field;wanajua operesheni zote za CDM. Mambo mpera mpera, Mbowe atakimbizwa balaa. Lissu anaweza kuachiwa kiti na Mbowe kabla ya miaka 5
 
Freeman Aikael Mbowe Mwenyekiti wa chama Taifa amemteua John John Mnyika kuwa Katibu Mkuu Chadema
Duh.. !, Duh...!, Duh...!.
Naomba hapa nisiseme kitu maana kauli huumba, nisije sema kitu halafu kikaja kutokea ikawa mimi niliyekisema nikawa ndiye nimekiumba!.

Ule ukimya wa JJ.MNYIKA mimi niliutafsiri kuwa tayari ameishajitambua na yuko njia kuu kusibiria tuu kuvunjwa kwa Bunge na kupokea zile milioni 100 za kila Mbunge kuagania, kisha ndipo atangaze ... sasa ndie Katibu Katibu Mkuu!.

Haya na tusubiri maana sisi wengine midomo yetu tukisema tuu kitu...

Anyway hongera sana JJ.Mnyika kuukwaa ukatibu Mkuu wa Chadema, sasa ni kama Dr. Slaa amerudi.
P
 
Molemo thread hii iendelee kuhusu kuteuliwa JJM kuwa katibu mkuu CDM,badala ya kuanzisha nyingine. Ongezea kwenye heading kuwa amepatikana..... Naona Nanyaro Ephata ameanzisha nyingine. Iunganishwe ili tufuatilie vizuri
 


Muda utasema! Wengi walidhani km ulivyodhani ww...

Muda tuu ndio utakao toa jibu sahihi
 
Do
Dodoma waliondoka na akili zote za P!
 
Mbowe hawezi kumpa huyo hazipandi, atataka aweke mtu wa kumpelekapeleka.
 
Molemo thread hii iendelee kuhusu kuteuliwa JJM kuwa katibu mkuu CDM,badala ya kuanzisha nyingine. Ongezea kwenye heading kuwa amepatikana..... Naona Nanyaro Ephata ameanzisha nyingine. Iunganishwe ili tufuatilie vizuri
Nadhani Mods watatendea haki wazo lako zuri
 
JJ Mnyika hongera sana, hii ni heshima.kubwa kwako na kwa watanzania, Chadema mmetutendea mambo mazuri sisi watanzania wapenda maendeleo amani na demokrasia.

JJ mnyika.....hoyeeeeeeee!!.

Nimewaza JJM vs Bashiru....
.hahahaaa
Kwa kweli Mnyika ni Heshima Kubwa kwa Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…