John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

Acha kuonyesha ujinga wako hadharani! Fedha ya jimbo ni kiasi gani au unaropoka kwa sababu una mdomo?
hatakama ni mia tuambieni ziko wapi zimefanya nini? sijaona hata kisima kimoja wala wamama wakigawiwa cherehani
 
Lakini Mnyika hawezi kupata ubunge. Huyu ni Mbunge wetu eneo la Goba Kulangwa. Eneo hili liko kama kisiwa yaani linahitaji kuunganishwa na Goba, Salasala, Mivumoni na Madale kwa madaraja, HAYAJAWAHI KUJENGWA. Eneo hili halina maji ya bomba, TUNANUNUA kwenye magari. Mvua ikinyesha sisi burudani maana tunapata maji. Eneo hili halina walau zahanati achilia mbali hospitali, mtu akiumwa lazima aende Madale au Goba. Cha ajabu mbunge wetu hajawahi wala kufika tunamwona kwenye vyombo vya habari!!! Yasemekana hata wakati wa kuomba kura za ubunge pia hakufika, alituma wapambe. Wakazi kwa kuamini mabadiliko wakamchagua!!!!
Kwa hakika huwa sielewi hawa watu, najaribu sana lakini nashindwa. Huwezi kukaa ati unapinga sijui serikali iliyoko madarakani imefanya nini na nini ilhali watu waliokuamini wanateseka na walikutegemea sana. HAWANA HURUMA HATA!!

Acha ujinga huu toka lini mbunge akujengee zahanat na daraja kwani kodi anakusanya yeye? Kazi ya mbunge unaijua kwel na kuna mahali umeona Mnyika hajatimiza wajibu wake kama Mbunge?
 
hatakama ni mia tuambieni ziko wapi zimefanya nini? sijaona hata kisima kimoja wala wamama wakigawiwa cherehani
Haya amekula na kugawia familia yake. Umeridhika?
 
nina imani na J.Heche
Heche is overrated! Alipokuwa kiongozi Bavicha mlikuwa mnaponda style yake ya uongozi. Sijui kafanya nini sasa aonekane anafaa kwa nafasi hii kubwa.

Kwa viwango vyote hakuna mwanasiasa Chadema level za Mnyika. Kama Dr Slaa alifanikiwa au kushindwa kujenga vijana kisiasa basi Mnyika ndio top cream ya Dr Slaa.

Najua Mbowe amewinda nini kumuweka Mnyika pale ( 90% ni bridge to Catholic church ) then mengine yanafuata.

Binafsi kuna imani imerejea kidogo lakini Mnyika ana kazi kubwa hasa eneo la nidhamu. Kuna watu wameota sharubu kweli kweli. Dr Slaa alikuwa mkali na umri wake ulimpa nguvu ya hekima kudhibiti chama na kuweza kukemea yoyote.

Pia kulegea kwa intelijinsia ya chama kunahitaji kufanyiwa kazi sambamba na kurejesha siasa za hoja, kuaminiana, kuacha matusi kwa watu wenye hoja kinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Molemo, kwanza ni lazima Chadema mkubali kwenye mambo ya iteligensia nyingi Chadema ni zero, totally empty kabisa! na amini nakuambia kuna watu ambao mko ndani ya box la inside Chadema hamna uwezo wa kuona outside the box.

Niliwashauri baada ya Heche Bavicha mchukueni Ben Saanane ni jembe kweli, siku ile mnamchagua Petrobras nikawaeleza humu mnamchaguaje mwajiriwa wa Diallo ambaye ni kada wa CCM?.

Wakati mambo yenu ya ndani yana leak humu jf, April 6 2013, nilipandisha bandiko hili

How long did it take kwa nyinyi kukibaini hicho kirusi?.

P

Kaka yangu Paskali Siku hizi umekuwa mbashiri ama msoma nyota na unataka watu wote wakuanini kwa usoma nyota wako. Lakini pia kwenye maandiko yako umekuwa too biased ambayo kwa mchambuzi unayejiita makini unapwaya. Tatu kama una hizo intelijensia unazosema unazo ambazo CHADEMA hawana angalau ungewapongeza kwa kumuondoa Mashinji ambaye alikuwa pandikizi.

Kwahiyo nadhani ungekuwa unatoa maoni yako kama mtu wa Mengi fulani not a neutral analyst ambaye hayuko neutral kiuhalisia.

Sasa kama tunaenda kwa hoja maybe tuanzie hapo. Hoja ipi tuijadili kama analysts tukiweka mahaba kanda kwanza ili pale unapozidiwa kwa hoja ukubali. Tatizo la kuchagua upande kabla huwa haikupi nafasi ya kuona positive kwenye upande mwingine


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Uko sahihi kwa mantiki ya kuwa iwapo cdm itakosa wawakilishi kutokana na siasa za kishenzi. Na kwa bahati mbaya paskali ww ni mmoja ya watu mnaoshabikia siasa za kihayawani.
Mkuu Tindo, ukiona mtu anatembea kwenye reli huku umesikia kingora cha treni inakuja, ukamwambia atagongwa, atakufa, na kweli treni ikampitia, ikamgonga, ikamua, jee kitendo cha kuripoti kabla kuwa atakufa na kweli akaja kufa, jee huko ndiko kushabikia kifo cha huyo jamaa?.

Chadema sio chama makini and it has never been serious even once!, kilizoea siasa za matukio na siasa za confrontation na majitaka. Alipoingia tuu hili jembe Magufuli, tukawaeleza humu kuwa this is a game changer, the political game has changed, there is no more room for mediocrity, now it's time for real politics.


Chadema hamkusikia, Lawrence Masha ndio mtu wa kwanza kuwaaga na akawaandikia kabisa waraka wa matatizo yenu

Mlipoanza kukimbiwa na viongozi na wanachama wenu, kuna kitu niliwaeleza humu


Mliposusia uchaguzi wa serikali za mitaa nikawauliza what did you wish to achieve?

Kwa vile mlifanyiwa figisu, akina sisi tukajitoa, tukabembeleza tukakubaliwa

Licha ya kusamehewa lakini bado mliendelea kuwaka mpira kwapani na matokeo yake

Nikatoa somo la matatizo yenu

Ndipo nikawashushia lawama hizi
Na kuwaeleza if you are not going to do the right thing, you're going to die.?

Sasa Chadema ikifa baada ya kuambulia patupu 2020 unaweza kunilaumu mimi kuwa nashabikia kifo cha kujitakia?.
P
 
Lakini Mnyika hawezi kupata ubunge. Huyu ni Mbunge wetu eneo la Goba Kulangwa. Eneo hili liko kama kisiwa yaani linahitaji kuunganishwa na Goba, Salasala, Mivumoni na Madale kwa madaraja, HAYAJAWAHI KUJENGWA. Eneo hili halina maji ya bomba, TUNANUNUA kwenye magari. Mvua ikinyesha sisi burudani maana tunapata maji. Eneo hili halina walau zahanati achilia mbali hospitali, mtu akiumwa lazima aende Madale au Goba. Cha ajabu mbunge wetu hajawahi wala kufika tunamwona kwenye vyombo vya habari!!! Yasemekana hata wakati wa kuomba kura za ubunge pia hakufika, alituma wapambe. Wakazi kwa kuamini mabadiliko wakamchagua!!!!
Kwa hakika huwa sielewi hawa watu, najaribu sana lakini nashindwa. Huwezi kukaa ati unapinga sijui serikali iliyoko madarakani imefanya nini na nini ilhali watu waliokuamini wanateseka na walikutegemea sana. HAWANA HURUMA HATA!!

Mzee unajua kazi ya mbunge? Kazi yake sio kukuletea maji na zahanati ila kusema bungeni ili serikali ifanye so hatumii hela zake za mfukoni. Lakini serikali imesema haipeleki walipochagua wapinzani kwahiyo usimlaumu kwa maendeleo kutokuja huko kwenu bali kwa serikali kutoleta maendeleo pamoja na kwamba wanalazimika kufanya hivyo. Lakini kama unahisi njia rahisi ni kuchagua CCM 2020 chagueni ili serikali ilete maana imejinasibisha hivyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu Tindo, ukiona mtu anatembea kwenye reli huku umesikia kingora cha treni inakuja, ukamwambia atagongwa, atakufa, na kweli treni ikampitia, ikamgonga, ikamua, jee kitendo cha kuripoti kabla kuwa atakufa na kweli akaja kufa, jee huko ndiko kushabikia kifo cha huyo jamaa?.

Chadema sio chama makini and it has never been serious even once!, kilizoea siasa za matukio na siasa za confrontation na majitaka. Alipoingia tuu hili jembe Magufuli, tukawaeleza humu kuwa this is a game changer, the political game has changed, there is no more room for mediocrity, now it's time for real politics.


Chadema hamkusikia, Lawrence Masha ndio mtu wa kwanza kuwaaga na akawaandikia kabisa waraka wa matatizo yenu

Mlipoanza kukimbiwa na viongozi na wanachama wenu, kuna kitu niliwaeleza humu


Mliposusia uchaguzi wa serikali za mitaa nikawauliza what did you wish to achieve?

Kwa vile mlifanyiwa figisu, akina sisi tukajitoa, tukabembeleza tukakubaliwa

Licha ya kusamehewa lakini bado mliendelea kuwaka mpira kwapani na matokeo yake

Nikatoa somo la matatizo yenu

Ndipo nikawashushia lawama hizi
Na kuwaeleza if you are not going to do the right thing, you're going to die.?

Sasa Chadema ikifa baada ya kuambulia patupu 2020 unaweza kunilaumu mimi kuwa nashabikia kifo cha kujitakia?.
P

Paskali narudia tena, acha kushabikia siasa za kishenzi. Usitake kunionyesha kuwa hizo post zako ndio zimebeba mapungufu ya cdm, tofauti na huu uhayawani unaoendelea kwenye siasa za sasa. Kwa macho yangu nimeona wakati wa uchaguzi wa marudio wasimamizi wa cdm wakipigwa na polisi ili kujaza karatasi za matokeo ya kupika kuwa mgombea wa ccm kashinda. Nimeshuhudia kwa macho yangu wasimamizi wa uchaguzi wakifunga ofisi ili wagombea wa cdm wasirudishe fomu ili mgombea wa ccm apite bila kupingwa. Wengi tuliona tukio live likirushwa na ITV mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na ITV wakatishiwa kuonyesha ushenzi ule.

Hayo matukio hapo juu ndio unaita siasa za kweli? Hivi majuzi wananchi wengi wamesusia kujiandikisha kupiga kura kutokana na siasa za kishenzi zinazoendelea hapa nchini, ambazo ww unaziita siasa za kweli. Acha kuleta mapost marefu na kuweka link kibao wakati tunaona fika kinachoendelea ni siasa za kipuuzi. Ona aibu bro kushabikia siasa za kishenzi. Hakuna cha game changer zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka. Kama umeamua kushabikia hayo kwa masilahi yako binafsi sio tatizo, maana hamna mtu anakuzuia kupata, ila haya sio ya kushabikia.
 
Nyalandu na Mashinji Wamehujumiwa na DJ wao.. Chadema Ni chama Cha hovyo Sana kuwahi kutokea.
How comes unasusa uchaguzi na kuwanyima wananchi haki ya kumpata kiongozi wao wanae mpenda kwa kigezo Cha demokrasia mbovu harafu Wewe kwenye uchaguzi wa chama unakuja kutumia demokrasia mbovu zaidi kupata viongozi wa chama.

Lissu kapita kuwa Makamu mwenyekiti bila hata kunadi sera zake.

Mtu anashindana na kivuli chake angali Chama kina wanachama thousands plus.

Mtu kaongoza chama kwa zaidi ya miaka 15 Sasa harafu huyohuyo anasema hataki watu wakae madarakan kwa miaka mingi.

Mtu anasema chama na wanachama wake Ni matajiri angali Chama hakina hata ofisi zake Wala hakina ofisi zinazoeleweka nchini kote zaidi ya mapango ya nyumba tu.

Mtu anasema Taifa halihitaji ndege harafu yeye na kundi lake wanakodi ndege kwenda kuomba maridhiano na jiwe mwanza.

Watu walioipiga Vijembe serikali ya awamu ya nne chini ya jk kuwa inatumia pesa za serikali hovyo kwa kufanyia Mikutano kwenye Kumbi za kukodi.. Leo hii ndo wamegeuka kuwa wateja wazuri kwenye hizo Kumbi.

Kwakweli kwa uhuni huu Na Unafiki huu CCM itaendelea kubaki madarakani kwa Muda mrefu Sana.

Nilikuwa namuona kijana wangu zitto Kama mtu smart anaeweza Leta revolutions katika upinzani naye siku hizi dishi limeyumba Amekuwa mbwambwajaji na Mnafiki. Mara aite wenzake Washamba Mara Awapongeze Yani hata yeye haelewi msimamo wake Ni upi.

Upinzani wa Tanzania safari bado tunayo Sana tunahitaji maamuzi magumu kufanya mabadiliko siyo huu upuuzi wa kuendelea kumtukuza mtu mmoja kwamba ndo anauwezo wa kuongoza Chama kuliko maelfu ya wanachama waliobaki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama inakuuma chomoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi kwa mantiki ya kuwa iwapo cdm itakosa muwakilishi. Iwapo cdm itaendelea kufanya siasa za kikondoo ilizofundishwa na Lowassa, hiyo 2020 haitakuwa na muwakilishi, ila sio kufa. Hilo la kufa sahau, maana chama kinachotangazwa washindi sio kwa kura za wengi bali ni kupitia madaraka ya rais yanayotumika vibaya. Utakuwa mwendawazimu kuongea kwa bashasha eti cdm will be no more, kisa kitakosa wawakilishi kutokana na siasa za kishenzi. Na kwa bahati mbaya paskali ww ni mmoja ya watu mnaoshabikia siasa za kihayawani.
Anashabikia siasa za kihutu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom