John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

Hivi Dr Bashiru naye ni Katibu Mkuu? Kweli CCM kuna vichekesho.
Achana na huyo bw. Dr bashiru ndo karudisha mali zote za ccm ambazo mafisadi papa waliokuwa hawaguswi yeye kawang'oa sharubu! Hilo jina chadema hawataki hata kulisikia ktk ukatibu mkuu wake ndo tumeshuhudia wabunge wa upinzani wakihamia ccm! Madiwani na wenyeviti wa vijiji sasa utamlinganisha na myika?
 
Mkuu Tindo, ukiona mtu anatembea kwenye reli huku umesikia kingora cha treni inakuja, ukamwambia atagongwa, atakufa, na kweli treni ikampitia, ikamgonga, ikamua, jee kitendo cha kuripoti kabla kuwa atakufa na kweli akaja kufa, jee huko ndiko kushabikia kifo cha huyo jamaa?.

Chadema sio chama makini and it has never been serious even once!, kilizoea siasa za matukio na siasa za confrontation na majitaka. Alipoingia tuu hili jembe Magufuli, tukawaeleza humu kuwa this is a game changer, the political game has changed, there is no more room for mediocrity, now it's time for real politics.


Chadema hamkusikia, Lawrence Masha ndio mtu wa kwanza kuwaaga na akawaandikia kabisa waraka wa matatizo yenu

Mlipoanza kukimbiwa na viongozi na wanachama wenu, kuna kitu niliwaeleza humu


Mliposusia uchaguzi wa serikali za mitaa nikawauliza what did you wish to achieve?

Kwa vile mlifanyiwa figisu, akina sisi tukajitoa, tukabembeleza tukakubaliwa

Licha ya kusamehewa lakini bado mliendelea kuwaka mpira kwapani na matokeo yake

Nikatoa somo la matatizo yenu

Ndipo nikawashushia lawama hizi
Na kuwaeleza if you are not going to do the right thing, you're going to die.?

Sasa Chadema ikifa baada ya kuambulia patupu 2020 unaweza kunilaumu mimi kuwa nashabikia kifo cha kujitakia?.
P
Pasco fanya ufanyalo, andika uandikalo lakini Usukuma umeondoa credibility yako hapa jukwaani. Yaani siyo Pasco yule mjenga hoja fikirishi na muelimishaji sasa hivi umekuwa Pasco antichadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau huyu Mashinji sasa hvi kapata cheo gani huko CDM?
 
Heche is overrated! Alipokuwa kiongozi Bavicha mlikuwa mnaponda style yake ya uongozi. Sijui kafanya nini sasa aonekane anafaa kwa nafasi hii kubwa.

Kwa viwango vyote hakuna mwanasiasa Chadema level za Mnyika. Kama Dr Slaa alifanikiwa au kushindwa kujenga vijana kisiasa basi Mnyika ndio top cream ya Dr Slaa.

Najua Mbowe amewinda nini kumuweka Mnyika pale ( 90% ni bridge to Catholic church ) then mengine yanafuata.

Binafsi kuna imani imerejea kidogo lakini Mnyika ana kazi kubwa hasa eneo la nidhamu. Kuna watu wameota sharubu kweli kweli. Dr Slaa alikuwa mkali na umri wake ulimpa nguvu ya hekima kudhibiti chama na kuweza kukemea yoyote.

Pia kulegea kwa intelijinsia ya chama kunahitaji kufanyiwa kazi sambamba na kurejesha siasa za hoja, kuaminiana, kuacha matusi kwa watu wenye hoja kinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
umeeleweka
 
Naona kuna haja ya JF kuandaa kampeni ya kuzunguka nchi nzima kutoa elimu ya Uraia. Kujenga madaraja sio kazi ya mbunge, Mnyika hakusanyi kodi.

Mnyika kazi yake ni kuisimamia serikali itoe hela za hyo miradi kwenye maeneo yake.... Mfano hapa anawapigania ndio mumjudge kwa hili sio kwa failure ya serikali kutimiza ahadi


Asante sana kwa elimu uliyotoa ya Uraia
 
Time will tell na miongoni mwa vitu vizuri sana mimi nilivyo jaaliwa ni kumbukumbu!. Nawakumbuka wanafunzi niliosoma nao nursery kwa majina mawili mawili, hivyo when times comes nitakukumbusha.

Au nikukumbushe ni lini nilisema humu Lowassa atakuja Chadema, its only Ben Saanane ndio alinotice na kunitumia PM.

Subiria nitakukumbusha tuu.
P
Wewe kinachokusumbua ni njaa tu. Unasimamia hoja zisizo na mashiko na zakipuuzi ili tu upate chochote kwa akina Bashite. Hopeless kabisa.
 
Pasco fanya ufanyalo, andika uandikalo lakini Usukuma umeondoa credibility yako hapa jukwaani. Yaani siyo Pasco yule mjenga hoja fikirishi na muelimishaji sasa hivi umekuwa Pasco antichadema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Douglas Sallu, kusema la ukweli, kunituhumu mimi kwa ukabila ni kunionea bure.

Hili la kuniita anti Chadema nimelizoea. Mimi sina chama, chama chochote kikifanya mazuri, nakipongeza na kikiboronga nakikosoa ila imetokea manazi wa Chadema wametamalaki sana humu jf, hivyo ukikosoa jambo lolote kuhusu Chadema, wanakushukia kama mwewe.

Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, nimejitahidi sana kuitetea Chadema


Chadema waliposusa, nikawaombea msamaha na wakakubaliwa

Na baada ya ombi hilo la msamaha ambalo lilikubaliwa lakini Chadema wakaendelea kususa na kuweka mpira kwapani, ndipo nikawaeleza the obvious of 2020
Election 2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!

P
 
Mkuu Molemo, kwanza ni lazima Chadema mkubali kwenye mambo ya iteligensia nyingi Chadema ni zero, totally empty kabisa! na amini nakuambia kuna watu ambao mko ndani ya box la inside Chadema hamna uwezo wa kuona outside the box.

Niliwashauri baada ya Heche Bavicha mchukueni Ben Saanane ni jembe kweli, siku ile mnamchagua Petrobras nikawaeleza humu mnamchaguaje mwajiriwa wa Diallo ambaye ni kada wa CCM?.

Wakati mambo yenu ya ndani yana leak humu jf, April 6 2013, nilipandisha bandiko hili

How long did it take kwa nyinyi kukibaini hicho kirusi?.

P
Hizo mambo za inteligensia ni outdated mkuu pasco. Harakati za Vyama vya siasa ziko kisheria, siyo uasi wala uhaini, ya nini kupoteza resource nyingi kwenye inteligensia,

tubadilike kimtazamo na kifikra kuwa hatakati za kisiasa ni kwa manufaa ya nchi siyo vikundi maslahi, hivyo hakuna haja ya hofu. Wala inteligensia katika mfumo wa kidemokrasia
Hata kama katambi alikuwa star TV then cdm, hakuna tatizo mkuu kwa kuwa kwenye vikao vya chama kunajadiliwa Sera tu. Siyo kuteka, kunyonga, kuuua wala kuharibu
 
Chadema hawako serious kabisa.Mwenyekiti Taifa Mbowe form six leaver katibu mkuu Mnyika form six leaver.

Hivi kweli hao waweza kaa meza moja na watu Kama Dr bashiru kuongelea chochote?

Cha pili ninachokiona Ni kuwa Mbowe kaishika Chadema vyeo vyote yeye .Yeye ndie mwenyekiti pia yeye ndie makamu. Mwenyekiti sababu Tundu Lissu hayupo nchini na yeye ndiye katibu mkuu CHADEMA sababu Mnyika mbele yabowe Hana sauti kabisa
Umesahau mwenyekiti wenu ni PhD feki
 
Mkuu Douglas Sallu, kusema la ukweli, kunituhumu mimi kwa ukabila ni kunionea bure.

Hili la kuniita anti Chadema nimelizoea. Mimi sina chama, chama chochote kikifanya mazuri, nakipongeza na kikiboronga nakikosoa ila imetokea manazi wa Chadema wametamalaki sana humu jf, hivyo ukikosoa jambo lolote kuhusu Chadema, wanakushukia kama mwewe.

Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, nimejitahidi sana kuitetea Chadema


Chadema waliposusa, nikawaombea msamaha na wakakubaliwa

Na baada ya ombi hilo la msamaha ambalo lilikubaliwa lakini Chadema wakaendelea kususa na kuweka mpira kwapani, ndipo nikawaeleza the obvious of 2020
Election 2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!

P
Mkuu naanza ku doubt IQ yako usitake niamini kuwa mliosoma journalism ni wale failures wa form four,
mkuu kuwa objective kijiko ni spoon, koleo ni spade, ukanjanja hautakusaidia mkuu zama hizi zitapita tu.
 
Mkuu naanza ku doubt IQ yako usitake niamini kuwa mliosoma journalism ni wale failures wa form four,
mkuu kuwa objective kijiko ni spoon, koleo ni spade, ukanjanja hautakusaidia mkuu zama hizi zitapita tu.
Mkuu Mliberali, be free to doubt me, ila mimi ni Tambaza, sikutajii niliscore nini ila nikaenda Ilboru special school, wanaojua wanao join Ilboru wanajua wanapataga nini!, nikajoin TSJ, nikapiga Diploma ya Journalism by then it was the highest as far as the media was concerned, kisha nikajoin UDSM kusomea sheria, LL.B, wanaojua what does it take kujoin sheria ya UDSM wanajua nazungumzia nini, my LL B ni honours, uliza mtu yoyote wa UDSM what does UDSM, LL.B with honours means.

Tunafanya journalism for the love of it na sio kwasababu we are failures and we get nothing of if it bali ni mapenzi tuu! Naomba tuheshimiane!.
P
 
Naomba kuuliza...

Ugonjwa wa akili ni kigezo cha kuwa mwanasiasa?
 
Hivyo Dr.Mashinji katupwa nje kabisa, au yeye kaenda kwenye baraza la wazee?! Kutoka Katibu Mkuu wa chama hadi zero, yani hawakuona mchango wake popote ambapo angeweza kuchangia kwenye chama, licha ya yeye kuhudumu kwa miaka mitano?
 
Mkuu Mliberali, be free to doubt me, ila mimi ni Tambaza, sikutajii niliscore nini ila nikaenda Ilboru special school, wanaojua wanao join Ilboru wanajua wanapataga nini!, nikajoin TSJ, nikapiga Diploma ya Journalism by then it was the highest as far as the media was concerned, kisha nikajoin UDSM kusomea sheria, LL.B, wanaojua what does it take kujoin sheria ya UDSM wanajua nazungumzia nini, my LL B ni honours, uliza mtu yoyote wa UDSM what does UDSM, LL.B with honours means.

Tunafanya journalism for the love of it na sio kwasababu we are failures and we get nothing of if it bali ni mapenzi tuu! Naomba tuheshimiane!.
P
Hahaha humu watu hawaheshimiani kwasababu kila mtu humu ana PhD ya kila kitu nyuma ya keyboard. Ukitaka kufahamu nasema nini, tafuta Topic hata wanazosoma Allien achana na hizi za binadamu, Ukiipata hiyo topic Anzisha uzi kasha angalia michango ya wajuvi wa JF, hahaha utachoka mwenyewe.

Usipanic, haya maneno tu haya umizi kabisa , unayapotezea tu. Ndio maana kila mtu ni annonymus kasoro wewe. Dharau na madongo ya humu, unayaacha kama yalivyo. watu hawataki kukubali tofauti, wanataka woote humu tuwe na mlengo sawa, mawazo sawa na fikra, kazi na hata vipato sawa.
 
Back
Top Bottom