Halafu analimezea jimbo lake la zamani mate.Wana Singida kaskazini wakimpa tena watakuwa wajinga sana sana kwani aliwaacha kihuni huni kama wahuni wa kitaani kwetu wanavyoacha mademu zao.
Ila timu yake,mfano Hanje na Digha hawana nguvu tena.Hanje amechoka na kupauka kama mwehu.
Hata Serengeti baa siku hizi haji tena,mfukoni mweupe kabisaa!!
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...
Wanabodi, Naangalia huu mkutano wa Rais Magufuli na wafanyabiashara, kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa rais Magufuli. Namtafakari jinsi huyu jamaa anavyochapa kazi hadi sijui analala saa ngapi maana aliwahi kusema ana mafaili hadi room. Angalizo: Kama wewe ni mmoja wa wale wenye allegy...
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, JF ni ukumbi huru kwa watu wote wa aina zote, rangi zote, hali zote, jinsia zote, vyama vyote hata wasio na vyama, sasa kwanini member wa jf, akijiunga CCM anabezwa sana humu hadi kutukanwa?!. Jee mtu kujiunga CCM ni kosa?, ni ujinga?. Jee wana CCM ni...
Du Aisee bora umeweka wazi kwamba unaweza kufanya lolote alimradi mkono uende kinywani.Wenzako hawako hivyo bali wako tayari kusimamia wanachokiamini hata kama itagharimu maisha yao na mifano hai ni Tundu Lissu na Freeman Mbowe.Mungu Awabariki waone wajukuu wa watoto wao
Labda Lissu, lakini...naomba nisiongee kwasababu you can't tell who is who, sisi wenye macho ya rohoni tunaona visivyo onekanika kwa macho ya kawaida.
P
Thanks, kiukweli mimi natisha sana upstairs ila basi tuu humu jf watu wananiona kama fala fulani, eti tuu kwasababu ya usafiri wangu wa boda boda na kuishi pale kwa Mtogole, siku tukitoka na familia tunatumia bajaj.
P
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali kuhusu Chadema, kuwa ni sikio la kufa, katika safari ya kuelekea kushika dola, Chadema kinafanya makosa, hivyo kinashindwa kushika dola, wako watu wenye uono, huwa wanakiambia Chadema makosa yake na kwa nini hakishiki dola, lakini Chadema hakisikii, kinaweka...
Du Aisee bora umeweka wazi kwamba unaweza kufanya lolote alimradi mkono uende kinywani.Wenzako hawako hivyo bali wako tayari kusimamia wanachokiamini hata kama itagharimu maisha yao na mifano hai ni Tundu Lissu na Freeman Mbowe.Mungu Awabariki waone wajukuu wa watoto wao
Kwahili unamuonea, Pasco siyo mwanasiasa na wala si mwanaharakati bali ni Journalist, sasa ile tender ya PPRA wakimpiga chini mtamchangia kama Lisu? Think big.
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili bandiko kuihusu Chadema, as a representative wa upinzani kwa huku Tanzania Bara, vipi kuhusu Chadema...
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...
Wanabodi, Naangalia huu mkutano wa Rais Magufuli na wafanyabiashara, kiukweli nimeguswa sana na uchapakazi wa rais Magufuli. Namtafakari jinsi huyu jamaa anavyochapa kazi hadi sijui analala saa ngapi maana aliwahi kusema ana mafaili hadi room. Angalizo: Kama wewe ni mmoja wa wale wenye allegy...
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, JF ni ukumbi huru kwa watu wote wa aina zote, rangi zote, hali zote, jinsia zote, vyama vyote hata wasio na vyama, sasa kwanini member wa jf, akijiunga CCM anabezwa sana humu hadi kutukanwa?!. Jee mtu kujiunga CCM ni kosa?, ni ujinga?. Jee wana CCM ni...
Nadhani usahihi ni kwamba utailipia ada kadi yako kwa sababu wewe si mwanachama hai kama mimi nilivyo, kwa sisi wenye umri wa kugombea uraia zamani ilikuwa lazima uwe na kadi ya chama chetu ili mambo yako yanyooke.
Labda Lissu, lakini...naomba nisiongee kwasababu you can't tell who is who, sisi wenye macho ya rohoni tunaona visivyo onekanika kwa macho ya kawaida.
P
Paskali narudia tena, acha kushabikia siasa za kishenzi. Usitake kunionyesha kuwa hizo post zako ndio zimebeba mapungufu ya cdm, tofauti na huu uhayawani unaoendelea kwenye siasa za sasa. Kwa macho yangu nimeona wakati wa uchaguzi wa marudio wasimamizi wa cdm wakipigwa na polisi ili kujaza karatasi za matokeo ya kupika kuwa mgombea wa ccm kashinda. Nimeshuhudia kwa macho yangu wasimamizi wa uchaguzi wakifunga ofisi ili wagombea wa cdm wasirudishe fomu ili mgombea wa ccm apite bila kupingwa. Wengi tuliona tukio live likirushwa na ITV mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na ITV wakatishiwa kuonyesha ushenzi ule.
Hayo matukio hapo juu ndio unaita siasa za kweli? Hivi majuzi wananchi wengi wamesusia kujiandikisha kupiga kura kutokana na siasa za kishenzi zinazoendelea hapa nchini, ambazo ww unaziita siasa za kweli. Acha kuleta mapost marefu na kuweka link kibao wakati tunaona fika kinachoendelea ni siasa za kipuuzi. Ona aibu bro kushabikia siasa za kishenzi. Hakuna cha game changer zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka. Kama umeamua kushabikia hayo kwa masilahi yako binafsi sio tatizo, maana hamna mtu anakuzuia kupata, ila haya sio ya kushabikia.
Tindo, Pasco ananishangaza sana nyakati hizi, napata taabu nimuweke Paskali ktk kundi gani nyakati hizi, ni kama vile kuna kitu anakisaka kupitia mabandiko yake. Pasco amepoteza umakini na weledi ktk chambuzi anazofanya. Kwa sasa ni vigumu hata kumtambua, chambuzi zake zinakosa objectivity na impartiality, imekuwa vigumu kumtambua kama Paskali ni mwandishi wa habari au mwanasheria.
Ukimchukulia kuwa ni mwandishi wa habari; anakosa objectivity, ukimchukulia kama mwanasheria utaona wazi anafumbia macho ukiukwaji wa sheria ili kuwapamba watawala hata ktk mambo ambayo wanafanya makosa ya wazi, kwa makusudi huku wakikanyaga sheria na haki za raia; INASHANGAZA sana. Najiuliza huenda ID yake imetekwa na inatumiwa na makada wa Chama cha siasa.
Mkuu Douglas Sallu, kusema la ukweli, kunituhumu mimi kwa ukabila ni kunionea bure.
Hili la kuniita anti Chadema nimelizoea. Mimi sina chama, chama chochote kikifanya mazuri, nakipongeza na kikiboronga nakikosoa ila imetokea manazi wa Chadema wametamalaki sana humu jf, hivyo ukikosoa jambo lolote kuhusu Chadema, wanakushukia kama mwewe.
Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, nimejitahidi sana kuitetea Chadema
Wanabodi, Hili ni ombi maalum kwa watu maalum, hivyo hii thread sio thread ya watu wote bali ni thread maalum kwa watu maalum na lengo maalum la kutuma ujumbe maalum kabisa kwa watu maalum kabisa. Tanzania sio nchi ya watu fulani tuu au chama fulani tuu, Tanzania ni nchi ya Watanzania wote, wa...
www.jamiiforums.com
Chadema waliposusa, nikawaombea msamaha na wakakubaliwa
Wanabodi, Tangu kuanza kwa pilika pilika za uchaguzi wa Serikali za Mitaa, sijawahi kuzungumza lolote kuhusu uchaguzi huu kutokana na kuwa bize na shughuli za kitaifa, kwanza ni Wiki ya Msaada wa Kisheria iliyofanyika kitaifa mjini Bariadi Mkoani Simiyu na kufuatiwa na Wiki ya Azaki...
www.jamiiforums.com
Na baada ya ombi hilo la msamaha ambalo lilikubaliwa lakini Chadema wakaendelea kususa na kuweka mpira kwapani, ndipo nikawaeleza the obvious of 2020
Election 2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!
Sasa mbona mapungufu ya wazi ya watawala huyaoni? Mbona jinsi vyombo vya dola vinavyowa-mistreat Chadema huoni? Mbona watendaji wa serikali wanavyowahujumu Chadema huoni wala kuuliza? Ni kweli huoni, husomi na husikii? Mimi sio mfuasi wa chama chochote ndio maana niko huru kuisifu serikali na kuikosoa, wewe ujasiri wako wa kukosoa siku hizi haupo.
Mkuu Pter, kwanza thanks kwa hii innocent reminder, inawezekana ni kweli nilikuwa na heshima kubwa humu jf, jee hiyo heshima kubwa jf imenisaidia nini?.
Inawezekana kabisa sasa hiyo heshima inashuka hivyo vile vitu ilivyokuwa inanifaidia, heshima ikishuka nitavikosa.
Pia inawezekana kwa kadri ninavyokuwa na heshima kubwa jf, ndivyo ninavyopitia mateso na persecutions, mambo yangu yakitiwa vibano na maisha kuwa magumu, hivyo kwa kadri heshima inavyoshuka, ndivyo vile vibano vinavyoachia
Hivyo kushuka kwa heshima yangu jf, it's a blessing in disguise, soon na mimi nitajiunga na Chama na kuunga mkono juhudi vibano viishe kabisa.
Kama heshima kubwa ya jf hainisaidii lolote kuleta mkate mezani, heshima ya jf ikishuka ndipo mkate unakuja, I choose kitakacho leta mkate.
P
Hapa nimeanza kukuelewa. Nakushauri utafute ID nyingine ili uwe mtu huru. Hiyo ID yako ya sasa inakusaidia kupata consideration fulani lkn inakushushia hadhi kwa waliokufahamu wakati ukijadili masuala with objectivity and impartiality.
Kauli huumba, hili la chuki dhidi ya Chadema, naona unataka kuniumbia. Hakuna kitu kizuri kama kukubali makosa na kukubali udhaifu na kuutumia huo udhaifu kama changamoto ya perfection.
Ule waraka wa mabadiliko wa kina Kitila, ulikuwa na hoja za msingi sana za kuzifanyia kazi, mkazipuuza. Kiukweli amini usiamini Mkuu Molemo, usikute mimi ninayeikosoa Chadema, ndio naisaidia kuliko nyinyi mnaojitafunia tuu ruzuku ya kodi zetu hapo Makao Makuu Ufipa kwenye nyumba ya kukodi miaka nenda miaka rudi. Mwakani ruzuku inakata, automatically Chadema inakwenda kufa natural death by succumbing.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.