John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

John Mnyika ateuliwa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, Benson Kigaila-NKM Bara na Salum Mwalimu NKM Zanzibar

Halafu analimezea jimbo lake la zamani mate.Wana Singida kaskazini wakimpa tena watakuwa wajinga sana sana kwani aliwaacha kihuni huni kama wahuni wa kitaani kwetu wanavyoacha mademu zao.

Ila timu yake,mfano Hanje na Digha hawana nguvu tena.Hanje amechoka na kupauka kama mwehu.

Hata Serengeti baa siku hizi haji tena,mfukoni mweupe kabisaa!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa ulichokiandika?
 
Hongera kwa maandiko yako ya kuombea CDM ife ni wazi utagombea kupitia CCM
Nimesema 2020 nitajiunga na chama, kwa Tanzania, chama ni kimoja tuu, CCM, hivyo vingine ni vikundi tuu vya watu vyenye malengo ya kisiasa




P
 
Myika amesoma alama za nyakati kuwa hatashinda ubunge 2020 hata yeye kakiri kuwa ubunge wake uko rehani! Ha haha kajiwahia katawi.
 
Du Aisee bora umeweka wazi kwamba unaweza kufanya lolote alimradi mkono uende kinywani.Wenzako hawako hivyo bali wako tayari kusimamia wanachokiamini hata kama itagharimu maisha yao na mifano hai ni Tundu Lissu na Freeman Mbowe.Mungu Awabariki waone wajukuu wa watoto wao
Labda Lissu, lakini...naomba nisiongee kwasababu you can't tell who is who, sisi wenye macho ya rohoni tunaona visivyo onekanika kwa macho ya kawaida.
P
 
Myika kajiongeza na amekiri ubunge wake uko rehani! Amewahi pakushika.
 
Hongera kwa maandiko yako ya kuombea CDM ife
Sijawahi kuombea Chadema ife bali niliuliza tuu kama Chadema ni sikio la kufa?.
P
 
Du Aisee bora umeweka wazi kwamba unaweza kufanya lolote alimradi mkono uende kinywani.Wenzako hawako hivyo bali wako tayari kusimamia wanachokiamini hata kama itagharimu maisha yao na mifano hai ni Tundu Lissu na Freeman Mbowe.Mungu Awabariki waone wajukuu wa watoto wao
Kwahili unamuonea, Pasco siyo mwanasiasa na wala si mwanaharakati bali ni Journalist, sasa ile tender ya PPRA wakimpiga chini mtamchangia kama Lisu? Think big.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesema 2020 nitajiunga na chama, kwa Tanzania, chama ni kimoja tuu, CCM, hivyo vingine ni vikundi tuu vya watu vyenye malengo ya kisiasa




P
Nadhani usahihi ni kwamba utailipia ada kadi yako kwa sababu wewe si mwanachama hai kama mimi nilivyo, kwa sisi wenye umri wa kugombea uraia zamani ilikuwa lazima uwe na kadi ya chama chetu ili mambo yako yanyooke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda Lissu, lakini...naomba nisiongee kwasababu you can't tell who is who, sisi wenye macho ya rohoni tunaona visivyo onekanika kwa macho ya kawaida.
P
Kwamba wewe una macho ya rohoni na chuki kubwa uliyo nayo kwa Chadema? Haa Haaa Haaa
 
It's very true, when it comes to perfection, JJ.Mnyika is dam good, ni replica na duplicate ya Dr. Slaa,
Tatizo ni ukimya wake una mshindo mkuu.
P
Unatafsirije Ukimya..Unataka awe mropokaji hovyo wa kuongea chochote kimjiacho kichwani.?
 
Paskali narudia tena, acha kushabikia siasa za kishenzi. Usitake kunionyesha kuwa hizo post zako ndio zimebeba mapungufu ya cdm, tofauti na huu uhayawani unaoendelea kwenye siasa za sasa. Kwa macho yangu nimeona wakati wa uchaguzi wa marudio wasimamizi wa cdm wakipigwa na polisi ili kujaza karatasi za matokeo ya kupika kuwa mgombea wa ccm kashinda. Nimeshuhudia kwa macho yangu wasimamizi wa uchaguzi wakifunga ofisi ili wagombea wa cdm wasirudishe fomu ili mgombea wa ccm apite bila kupingwa. Wengi tuliona tukio live likirushwa na ITV mabox ya kura yakitolewa vituoni kwenda kujazwa kura za ccm, na ITV wakatishiwa kuonyesha ushenzi ule.

Hayo matukio hapo juu ndio unaita siasa za kweli? Hivi majuzi wananchi wengi wamesusia kujiandikisha kupiga kura kutokana na siasa za kishenzi zinazoendelea hapa nchini, ambazo ww unaziita siasa za kweli. Acha kuleta mapost marefu na kuweka link kibao wakati tunaona fika kinachoendelea ni siasa za kipuuzi. Ona aibu bro kushabikia siasa za kishenzi. Hakuna cha game changer zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka. Kama umeamua kushabikia hayo kwa masilahi yako binafsi sio tatizo, maana hamna mtu anakuzuia kupata, ila haya sio ya kushabikia.
Tindo, Pasco ananishangaza sana nyakati hizi, napata taabu nimuweke Paskali ktk kundi gani nyakati hizi, ni kama vile kuna kitu anakisaka kupitia mabandiko yake. Pasco amepoteza umakini na weledi ktk chambuzi anazofanya. Kwa sasa ni vigumu hata kumtambua, chambuzi zake zinakosa objectivity na impartiality, imekuwa vigumu kumtambua kama Paskali ni mwandishi wa habari au mwanasheria.

Ukimchukulia kuwa ni mwandishi wa habari; anakosa objectivity, ukimchukulia kama mwanasheria utaona wazi anafumbia macho ukiukwaji wa sheria ili kuwapamba watawala hata ktk mambo ambayo wanafanya makosa ya wazi, kwa makusudi huku wakikanyaga sheria na haki za raia; INASHANGAZA sana. Najiuliza huenda ID yake imetekwa na inatumiwa na makada wa Chama cha siasa.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Douglas Sallu, kusema la ukweli, kunituhumu mimi kwa ukabila ni kunionea bure.

Hili la kuniita anti Chadema nimelizoea. Mimi sina chama, chama chochote kikifanya mazuri, nakipongeza na kikiboronga nakikosoa ila imetokea manazi wa Chadema wametamalaki sana humu jf, hivyo ukikosoa jambo lolote kuhusu Chadema, wanakushukia kama mwewe.

Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, nimejitahidi sana kuitetea Chadema


Chadema waliposusa, nikawaombea msamaha na wakakubaliwa

Na baada ya ombi hilo la msamaha ambalo lilikubaliwa lakini Chadema wakaendelea kususa na kuweka mpira kwapani, ndipo nikawaeleza the obvious of 2020
Election 2020 Kukubalika kwa Rais Magufuli/CCM: Kishindo cha asilimia 99.9% ni mawingu tu ya dalili, mvua ni 2020, ni lele tu, ngoma ni 2020!

P
Sasa mbona mapungufu ya wazi ya watawala huyaoni? Mbona jinsi vyombo vya dola vinavyowa-mistreat Chadema huoni? Mbona watendaji wa serikali wanavyowahujumu Chadema huoni wala kuuliza? Ni kweli huoni, husomi na husikii? Mimi sio mfuasi wa chama chochote ndio maana niko huru kuisifu serikali na kuikosoa, wewe ujasiri wako wa kukosoa siku hizi haupo.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Pter, kwanza thanks kwa hii innocent reminder, inawezekana ni kweli nilikuwa na heshima kubwa humu jf, jee hiyo heshima kubwa jf imenisaidia nini?.

Inawezekana kabisa sasa hiyo heshima inashuka hivyo vile vitu ilivyokuwa inanifaidia, heshima ikishuka nitavikosa.

Pia inawezekana kwa kadri ninavyokuwa na heshima kubwa jf, ndivyo ninavyopitia mateso na persecutions, mambo yangu yakitiwa vibano na maisha kuwa magumu, hivyo kwa kadri heshima inavyoshuka, ndivyo vile vibano vinavyoachia

Hivyo kushuka kwa heshima yangu jf, it's a blessing in disguise, soon na mimi nitajiunga na Chama na kuunga mkono juhudi vibano viishe kabisa.

Kama heshima kubwa ya jf hainisaidii lolote kuleta mkate mezani, heshima ya jf ikishuka ndipo mkate unakuja, I choose kitakacho leta mkate.
P
Hapa nimeanza kukuelewa. Nakushauri utafute ID nyingine ili uwe mtu huru. Hiyo ID yako ya sasa inakusaidia kupata consideration fulani lkn inakushushia hadhi kwa waliokufahamu wakati ukijadili masuala with objectivity and impartiality.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba wewe una macho ya rohoni na chuki kubwa uliyo nayo kwa Chadema? Haa Haaa Haaa
Kauli huumba, hili la chuki dhidi ya Chadema, naona unataka kuniumbia. Hakuna kitu kizuri kama kukubali makosa na kukubali udhaifu na kuutumia huo udhaifu kama changamoto ya perfection.

Ule waraka wa mabadiliko wa kina Kitila, ulikuwa na hoja za msingi sana za kuzifanyia kazi, mkazipuuza. Kiukweli amini usiamini Mkuu Molemo, usikute mimi ninayeikosoa Chadema, ndio naisaidia kuliko nyinyi mnaojitafunia tuu ruzuku ya kodi zetu hapo Makao Makuu Ufipa kwenye nyumba ya kukodi miaka nenda miaka rudi. Mwakani ruzuku inakata, automatically Chadema inakwenda kufa natural death by succumbing.

P
 
Back
Top Bottom