Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
jifunze kwanza kuandika mkuuHiki chama kama TLP tuu ndo kishajifia hahahaaaaa yaani kinakufa kama kula tunda kimasila hahahaaaaa jamani Mbowe kala chama kisahala huku hahahaaaaaaa kama unabisha muite mkaguzi wa mahesabu πππππ
nadhani kulikuwa na lengo la kuhujumu ccm , unawezaje kumpambanisha Polepole na Mnyika ?Polepole hoiii
Msaliti alisaliti kanisa na upinzanimapema sana kumsifia kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba Dkt. W. SLAA hakuimudu nafasi hiyo !
Mashinji alishindwa vitu vidogo sijui ilikuwa woga au la!Bado sijajua kwanini Chadema ilichelewa kumpa cheo hiki , kwa muda mfupi sana alioingia ofisini ametenda makubwa mno , amefanikiwa kupenya kwenye vyombo vyote vya habari vyenye ushawishi , huu ni ushindi wa kwanza kabla ya ushindi mkubwa zaidi .
View attachment 1342462
Tumeshawaandikia marekani na kuwaeleza kuwa hatuna tume huru ya uchaguzi. Maana wenye madaraka tukiwambia hawasikii tunaambua kuwambia mabeberu tu.hata ubaloz wa marekani leo wametoa tamko la kuundwa tume huru ya uchaguzi hii nafikiri ni kwa sababu ya makelele ya mnyika
Intelijensia ya Chadema ni ya hali ya juu sana.Kile kimya cha muda mrefu kilichotia baadhi yetu wasiwasi juu yake, inaelekea ilikuwa ni sehemu ya nidhamu kwa upande wake.
Inaelekea aliamua kufanya hivyo kwa sababu zake maalum na alifanikiwa kutimiza lengo lake hilo
Wengi tulidhani ameathirika kwa aina moja ama nyingine, kiafya, au kisiasa! Kumbe yalikuwa ni maamuzi binafsi tu ya kuamua kunyamaza.
Hakika sasa kumekuchaKile kimya cha muda mrefu kilichotia baadhi yetu wasiwasi juu yake, inaelekea ilikuwa ni sehemu ya nidhamu kwa upande wake.
Inaelekea aliamua kufanya hivyo kwa sababu zake maalum na alifanikiwa kutimiza lengo lake hilo
Wengi tulidhani ameathirika kwa aina moja ama nyingine, kiafya, au kisiasa! Kumbe yalikuwa ni maamuzi binafsi tu ya kuamua kunyamaza.
HaijalishiCheo kitaisha baada ya uchaguzi