John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
 
Mnyika ni mwanasiasa wa hovyo sana ambaye jimbo limemshinda kitambo

USSR
 
Mbowe hahitaji msamaha kwakuwa hana kosa. Mbowe anahitaji kuachiwa awe huru na kujumuika na familia yake na wana CHADEMA.

That is simple and plain.

Haki huwa haiombwi mzee wangu huwa inatakiwa na kutolewa.
 
Hivi Wasomi Kina Mabere, n.k Wako Wapi.....! Kichwa Kile Cha Mnyika Hikma Hamna Mule.
 
Ndugu mjumbe unaongea ulichokuwa na uhakika nacho au unabahatisha .
 
nilitaraji baada ya kumkamata mbowe mtakua na furaha bt matokeo yake daily mnateseka, nimeamini kiburi cha madara huleta majuto.
 
Unaongea wakati umebana pua kisa buku 7?
 
Jifunze kwanza kuandika wewe sukuma gang.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…