John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Unataka kumaanisha haki ya Mbowe itapatikana kwa huruma ya Rais na siyo kwa mujibu wa sheria? Yaani imefika mahala unataka watu waishi kwa hisani ya Rais? Kwamba utawala wa sheria umekufa?
Nyie ni watu wa aina gani? Kama wanataka kufuta kesi wafute kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria za bunge na siyo hisani ya Rais.
Tukiendelea na mawazo haya ya hisani ya Rais basi ujue hata wewe hauko salama. Utakamwatwa muda wowote atakaojisikia na atakuachia siku ukimpigia magoti bila kujali kuwa sheria zipo na zinafanya kazi
 
Unataka kumaanisha haki ya Mbowe itapatikana kwa huruma ya Rais na siyo kwa mujibu wa sheria? Yaani imefika mahala unataka watu waishi kwa hisani ya Rais? Kwamba utawala wa sheria umekufa?
Nyie ni watu wa aina gani? Kama wanataka kufuta kesi wafute kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria za bunge na siyo hisani ya Rais.
Tukiendelea na mawazo haya ya hisani ya Rais basi ujue hata wewe hauko salama. Utakamwatwa muda wowote atakaojisikia na atakuachia siku ukimpigia magoti bila kujali kuwa sheria zipo na zinafanya kazi
Umeongea maneno yenye busara na constructively
 
Halafu chadema sio chama kikuu cha upinzani kina kiti kimoja bungeni hakina kambi rasmi ya upinzani bungeni
 
Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,

Ni hivi, Mbowe lazima aachiwe, sio ombi bali ni lazima. Mkiendelea kumuweka ndani mnamuonea, mkimuachia mnamuogopa. Kama mlitegemea mtaombwa msamaha au kunyenyekewa basi mmeukalia. Hakuna mtu ana muda wa kujinyenyekeza kwa watawala majizi ya kura.
 
Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,

..kwanini mnataka Chadema wawapigie magoti ktk suala hili?

..hiyo busara inayohitajika kumuachia Mbowe kwanini iwe kwa upande wa Chadema peke yao?

..Je, CCM hawapaswi kuwa na busara, utu, na maadili, ili wasibambikie wapinzani kesi zisizo na msingi?

..Na matumizi mabaya ya madaraka kwa kuonea wapinzani hayatokani na kiburi cha watawala?
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Inasikitisha kuona Kijana kuwa na akili mgando kwa kiwango hiki
 
Sijui kwanini viongozi hawajifunzi kuondoka kwa JPM kwamba duniani hatuna makao ya kudumu soon wataanza kuondoka kama alivyoondoka jpm. Who knew kwamba jpm pamoja na makeke yote ange expire so soon?
 
Wenye busara wote chadema walishaikimbia humo kuna watu wa wamihemuko ujuaji mwngi wacha walinywe kwa kua wamerikoroga wenyewe
 
Sio

Kwamba Hana makosa anayo
Sasa kama ana makosa Kwa nini unataka aachiwe? Kajumuike na Mazuzu wenzio msherehekee Kwa Amani maana ambaye angewakosesha Raha wakati wa sikukuu Yuko mahabusu.
 
Back
Top Bottom