Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Jitu halijui hata kuandika kiswahiliUmapanic!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jitu halijui hata kuandika kiswahiliUmapanic!
Nauliza tu maana kuuliza siyo ujingaUnahitajika mirembe sio bure!
Mmh leo usiachiwe ukatembea peke yako unaweza kujeruhi watu!Gaidi ni mamako
Kama wewe ulivyofungwa kamba na wana burigi ulivyotaka kujiua kisa hukutajwa kwenye wosia wa mwendazakeMmh leo usiachiwe ukatembea peke yako unaweza kujeruhi watu!
Matusi ya nini mtu mzima kama mjadala umekushinda endelea kutafuna makopa makavu kama mashine ya kusaga!Ni wazazi wako hao walio kupata kupitia kwenye mkesha wa mbio za mwenge
Unataka kumaanisha haki ya Mbowe itapatikana kwa huruma ya Rais na siyo kwa mujibu wa sheria? Yaani imefika mahala unataka watu waishi kwa hisani ya Rais? Kwamba utawala wa sheria umekufa?Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Unafikiri kila mtu anashindia kashata na maji ya kandoro kama wewe?Matusi ya nini mtu mzima kama mjadala umekushinda endelea kutafuna makopa makavu kama mashine ya kusaga!
Umeongea maneno yenye busara na constructivelyUnataka kumaanisha haki ya Mbowe itapatikana kwa huruma ya Rais na siyo kwa mujibu wa sheria? Yaani imefika mahala unataka watu waishi kwa hisani ya Rais? Kwamba utawala wa sheria umekufa?
Nyie ni watu wa aina gani? Kama wanataka kufuta kesi wafute kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria za bunge na siyo hisani ya Rais.
Tukiendelea na mawazo haya ya hisani ya Rais basi ujue hata wewe hauko salama. Utakamwatwa muda wowote atakaojisikia na atakuachia siku ukimpigia magoti bila kujali kuwa sheria zipo na zinafanya kazi
Utoto na machungu ya maisha ndiyo yanawafanya muanze kumimina mitusi vijana wa Chadema! Ukikua utaachaUnawashwa na nini tena wewe sukuma gang?
Kanawe miguu ulaleUtoto na machungu ya maisha ndiyo yanawafanya muanze kumimina mitusi vijana wa Chadema! Ukikua utaacha
Kijana huu ni wakati wa kujenga taifa si kulala! Kunawa miguu bila kuosha mwili mambo ya vijijini kwenu. Acha mitusiKanawe miguu ulale
Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Ile nafasi angekamata Mzee Mdee enzi zake CDM ingenoga sanaHivi Wasomi Kina Mabere, n.k Wako Wapi.....! Kichwa Kile Cha Mnyika Hikma Hamna Mule.
Comred mnyika mdogo wangu na katibu mkuu wa chama kikuu Cha upinzani chadema.tunataka tuuone utashi ya hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu,chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.mkeka uliolalia umechanika Sana .usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi.maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiisha achiwa .isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii mbowe tungekuwa nae.ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata.kumshambulia zitto na rais kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mnakiburi, mjumbe hauwawi,,,
Kama mamako anayerambua utadhani ndiyo chuma kimetinga kwenye ukame!Mbowe ni gaidi
Inasikitisha kuona Kijana kuwa na akili mgando kwa kiwango hikiComred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.
Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.
Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.
Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.
Mjumbe hauawi.
Sasa kama ana makosa Kwa nini unataka aachiwe? Kajumuike na Mazuzu wenzio msherehekee Kwa Amani maana ambaye angewakosesha Raha wakati wa sikukuu Yuko mahabusu.Sio
Kwamba Hana makosa anayo