John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

Vijana wanaopiga kelele kuwa Mbowe asisamehewe ni wale wanaoshinda wanachangisha michango kwenye mitandao ya kijamii, kwa Wanachama na Wadau mbali mbali.
Shida Mbowe akitoka watapata wapi tena hela za kupiga? Biashara itakuwa imeisha.
Mbowe anatakiwa atoke hayo mengine wakapambane baadaye, Mnyika ashazidiwa na akina Tundu, Lema ambao nao wananufaika na biashara hii. Huu ni muda muafaka familia ya Mbowe kusimama kidete kuhakikisha mpendwa wao anatoka waache kusikiliza makelele ya wasaka tonge ambao sasa wanaenda kula keki mahakamani eti Mshikamano...NONSENSE...
Sugu aliwahi toka kwa msamaha wa Raisi, baadaye akafuata taratibu mahakama imsafishe..
Familia ya Mbowe hakikisheni mpendwa wenu anatoka kwa njia yeyote, only that ni muhimu kwa sasa hayo mengine baadaye.
Familia kumbukeni akina Lisu wanachokitakaa kesi ifike mwisho mnaweza kuja juta, kama mnajua kuna udhalimu je wakifika mwisho wakamfunga? Mtakuwa mmefaidika nini? Angalieni trend ya kesi inavyoenda, ni muhimu Familia mhakikishe kuwa mnasimama kidete mpendwa wenu anatoka, msimamo wenu kama familia ni muhimu sana kwa sasa, kumbukeni Mbowe ni kiongozi wa Chadema anazungukwa na watu wema, wanafiki, wanaokitaka cheo chake, wanaotaka kunufaika na kesi hii na wengine wengi sio kila ushauri mnaukubali..
Umeandika mashudu matupu
 
Kuna watu hata mahabusu hawaijui ipoje lakini wanavyoshadadia Mwenyekiti aendelee kukaa ndani utashangaa.
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Toa upuuzi tangu lini haki ikanunuliwa
 
Umeongea maneno yenye busara na constructively
Mkuu, hawa watu ndiyo wanatuumbia miungu watu kwenye ofisi za umma. Hatuwezi kuendelea kuishi kwa kutegemea huruma ya Rais.
Wamemtuhumu Mbowe kuwa ni gaidi na wamemfikisha mahakamani wakiamini kuwa wanao ishahidi wa kumtia hatiani. Sasa kwa nini wasiiache mahakama imtie hatiani na kumpa kifungo anachostahili au imkute hana hatia na kumuachia huru?
Madhara ya kutaka aachiwe kwa huruma ya Rais ni kwamba akija Rais mwingine atamkamata tena na kumshtaki maana mahakama haikutamka kwamba ana hatia au hana hatia. So atalazimika maisha yake yote kuishi kwa kutegemea huruma ya Rais
 
Mkuu, hawa watu ndiyo wanatuumbia miungu watu kwenye ofisi za umma. Hatuwezi kuendelea kuishi kwa kutegemea huruma ya Rais.
Wamemtuhumu Mbowe kuwa ni gaidi na wamemfikisha mahakamani wakiamini kuwa wanao ishahidi wa kumtia hatiani. Sasa kwa nini wasiiache mahakama imtie hatiani na kumpa kifungo anachostahili au imkute hana hatia na kumuachia huru?
Madhara ya kutaka aachiwe kwa huruma ya Rais ni kwamba akija Rais mwingine atamkamata tena na kumshtaki maana mahakama haikutamka kwamba ana hatia au hana hatia. So atalazimika maisha yake yote kuishi kwa kutegemea huruma ya Rais
Hongera sana
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Kuna wakati tuache ukweli usemwe na usemwe vizuri. CHADEMA wamekuwa wakitumia lugha zisizofaa dhidi ya polisi, majaji na mahakama kwa ujumla, bila kujua taasisi hizi zina watu na watu hao wana hisia, lakini pia wana mamlaka. Binfasi naamini kuwa lugha hizi ni moja ya sababu kubwa ndugu yetu Mbowe kuendelea kuwa mahabusu, kwa sababu kwa akili ya kawaidia ni vigumu kutegemea leo unamtukana jaji kisha kesho akufanyie wepesi.

Ni mawazo tu, sio lazima sote tuamini, ila mimi nayaamini. Merry Christmas
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Muwape watu kesi za uongo halafu muabudiwe
 
Mbowe hahitaji msamaha kwakuwa hana kosa. Mbowe anahitaji kuachiwa awe huru na kujumuika na familia yake na wana CHADEMA.

That is simple and plain.

Haki huwa haiombwi mzee wangu huwa inatakiwa na kutolewa.
Kwa maana hiyo basi, Hanna haja ya kuloloma. Subirini kesi iishe ionekane hana hatia aachiwe huru au ana hatia apigwe mvua za kutosha.
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Nakupinga vibaya sana !
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Chadema wamepiga hatua kwenye kesi ya Mbowe kwa sbb saiz mazombie ya Lumumba yaliyoshangilia yy kupewa kesi ya kihuni wanataka aachiwe kihuni.Bahati nzuri mwamba wa uchagani ni mtu imara sana.Yanaweweseka hayalali yakimlazimisha mipango ili Mbowe aombe msamaha!Hata kama mkubwa hakosei kwenye hili hapana
 
Vijana wanaopiga kelele kuwa Mbowe asisamehewe ni wale wanaoshinda wanachangisha michango kwenye mitandao ya kijamii, kwa Wanachama na Wadau mbali mbali.
Shida Mbowe akitoka watapata wapi tena hela za kupiga? Biashara itakuwa imeisha.
Mbowe anatakiwa atoke hayo mengine wakapambane baadaye, Mnyika ashazidiwa na akina Tundu, Lema ambao nao wananufaika na biashara hii. Huu ni muda muafaka familia ya Mbowe kusimama kidete kuhakikisha mpendwa wao anatoka waache kusikiliza makelele ya wasaka tonge ambao sasa wanaenda kula keki mahakamani eti Mshikamano...NONSENSE...
Sugu aliwahi toka kwa msamaha wa Raisi, baadaye akafuata taratibu mahakama imsafishe..
Familia ya Mbowe hakikisheni mpendwa wenu anatoka kwa njia yeyote, only that ni muhimu kwa sasa hayo mengine baadaye.
Familia kumbukeni akina Lisu wanachokitakaa kesi ifike mwisho mnaweza kuja juta, kama mnajua kuna udhalimu je wakifika mwisho wakamfunga? Mtakuwa mmefaidika nini? Angalieni trend ya kesi inavyoenda, ni muhimu Familia mhakikishe kuwa mnasimama kidete mpendwa wenu anatoka, msimamo wenu kama familia ni muhimu sana kwa sasa, kumbukeni Mbowe ni kiongozi wa Chadema anazungukwa na watu wema, wanafiki, wanaokitaka cheo chake, wanaotaka kunufaikaYesi hii na wengine wengi sio kila ushauri mnaukubali..
Yaani saizi mazombie ya Lumumba yanahangaika Mbowe aachiwe kwa kuomba msamaha!!Kweli Tz inavivutio vingi vya maajabu hapo Lumumba
 
Back
Top Bottom