John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

Hivi Wasomi Kina Mabere, n.k Wako Wapi.....! Kichwa Kile Cha Mnyika Hikma Hamna Mule.
Mwenye kili Shaka
 
Vijana wanaopiga kelele kuwa Mbowe asisamehewe ni wale wanaoshinda wanachangisha michango kwenye mitandao ya kijamii, kwa Wanachama na Wadau mbali mbali.
Shida Mbowe akitoka watapata wapi tena hela za kupiga? Biashara itakuwa imeisha.
Mbowe anatakiwa atoke hayo mengine wakapambane baadaye, Mnyika ashazidiwa na akina Tundu, Lema ambao nao wananufaika na biashara hii. Huu ni muda muafaka familia ya Mbowe kusimama kidete kuhakikisha mpendwa wao anatoka waache kusikiliza makelele ya wasaka tonge ambao sasa wanaenda kula keki mahakamani eti Mshikamano...NONSENSE...
Sugu aliwahi toka kwa msamaha wa Raisi, baadaye akafuata taratibu mahakama imsafishe..
Familia ya Mbowe hakikisheni mpendwa wenu anatoka kwa njia yeyote, only that ni muhimu kwa sasa hayo mengine baadaye.
Familia kumbukeni akina Lisu wanachokitakaa kesi ifike mwisho mnaweza kuja juta, kama mnajua kuna udhalimu je wakifika mwisho wakamfunga? Mtakuwa mmefaidika nini? Angalieni trend ya kesi inavyoenda, ni muhimu Familia mhakikishe kuwa mnasimama kidete mpendwa wenu anatoka, msimamo wenu kama familia ni muhimu sana kwa sasa, kumbukeni Mbowe ni kiongozi wa Chadema anazungukwa na watu wema, wanafiki, wanaokitaka cheo chake, wanaotaka kunufaika na kesi hii na wengine wengi sio kila ushauri mnaukubali..
 
Walioko NJE hawataki mwenzao ALIYEKO NDANI atolewe.

Lakini ajabu sasa [emoji116][emoji116][emoji116]

WALIOKO NJE HAWATAKI WAO WAWEKWE MULE NDANI.
 
Sio kila aombae msamaha amekosa...wakati mwingine msamaha uombwa kuepusha dhahma...kinachoendelea mahakamani kimetosha kuthibitisha madai ya Chadema kuwa ni kesi ya mchongo....itoshe sasa mkubali tu mwenyekiti atoke hata kama ni kwa huo msamaha maana imeisha onekana kuwa ni michongo.....Familia ya Mbowe isikubali mzee wao achaguliwe njia ya kupita na waliovaa viatu wakati yeye yuko peku..wenzie hawajui njia yenye miiba!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…