John Mnyika: Mambo CHADEMA tuliyozungumza na wenzetu wa CCM

John Mnyika: Mambo CHADEMA tuliyozungumza na wenzetu wa CCM

sasa huoni huo utakuwa Msiba mkubwa kwa Upinzani ?

huoni Znz sasa hivi tumerudi kwny mfumo wa Chama kimoja ?

utaratibu wa Serikali za mseto mie binafsi siupendi sana kwa kuwa indirectly hasa kwa Africa inakuwa kama unaturudisha kwny mfumo wa chama kimoja
Mkuu
Hayo ni maandalizi ya serikali mseto!!!
TUSUBIRI
 
W

Weye na Mbowe nani mwenye kunuka njaa?
Mimi sina njaa ndugu yangu, napigana mimi kama mimi sio wabongo wakiwa na njaa wanakimbilia kwenye siasa. Kwanza wewe sidhani unajua hata walioanzisha hio CHADEMA, hapo Mbowe kawekwa tu kwa ajili ya njaa zake na business za mzee Mtei. Mmoja wa waanzilishi marehemu Mzee Bob Makani angekuwepo asingekubali upumbavu huu anaoufanya Mbowe wa kulamba miguu ya watawala ili tu afute njaa zake na familia yake. Upinzani bongo hamna umekwisha shauri ya njaa za viongozi, kila kiongozi anaangalia tumbo lake na familia yake, Angalia Kenya Ruto alikua makamu wa rais kapambana awe rais kwa vile hana nzala na haogopi mtu, bongo hamna mtu mwenye balls kama hizo za Ruto. Akina Mnyika na umaskini wao wakipewa asali kidogo tu warambe wanaingiza mikia kwenye makalio.Nyambaaaff zao.
 
Mimi sina njaa ndugu yangu, napigana mimi kama mimi sio wabongo wakiwa na njaa wanakimbilia kwenye siasa. Kwanza wewe sidhani unajua hata walioanzisha hio CHADEMA, hapo Mbowe kawekwa tu kwa ajili ya njaa zake na business za mzee Mtei. Mmoja wa waanzilishi marehemu Mzee Bob Makani angekuwepo asingekubali upumbavu huu anaoufanya Mbowe wa kulamba miguu ya watawala ili tu afute njaa zake na familia yake. Upinzani bongo hamna umekwisha shauri ya njaa za viongozi, kila kiongozi anaangalia tumbo lake na familia yake, Angalia Kenya Ruto alikua makamu wa rais kapambana awe rais kwa vile hana nzala na haogopi mtu, bongo hamna mtu mwenye balls kama hizo za Ruto. Akina Mnyika na umaskini wao wakipewa asali kidogo tu warambe wanaingiza mikia kwenye makalio.Nyambaaaff zao.
Una njaa weye!Swali dogo na fupi unatoa maelezo ya kiswahiliswahili tu.
 
Mkutano ule wa Mei 20,2022 ,ni mwanzo wa mazungumzo ya timu mbili. Upande wetu CHADEMA tuliwasilisha ajenda mbili ya kwanza ni kurejeshwa kwa mchakato wa katiba ya nchi yetu na ya pili ni kujadili madhara ya miaka sita iliyogubikwa na ukiukwaji wa haki

Itakumbukwa Aprili 07, 2021 Mwenyekiti Freeman Mbowe alimuandikia barua Rais Suluhu Samia, pamoja na mambo mengine alimweleza haja ya kufungua ukurasa mpya wa maridhiano na haki katika Taifa letu kupitia mazungumzo, pia akawasilisha ombi la CHADEMA kukutana naye Rais

CHADEMA na wananchi wengi tunaamini kuwa katiba mpya ni nyenzo ya kilipelekea Taifa letu mbele na kufungua ukurasa mpya wa kimfumo na kitaasisi katika nchi yetu, katika mkutano wetu Ikulu Dodoma tulitoa mapendekezo yetu ya jinsi yakukwamua mchakato wa katiba mpya

Tumependekeza iundwe Tume ya Ukweli na Upatanishi itakayoshughulikia madhara ya watu walioumizwa ndani ta miaka iliyopita 6, pia tulipendekeza madhara yaliyotokea katika uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 yashughulikiwe na kuhakikisha chaguzi zijazo zinakuwa huru na haki

Kwa miaka sita ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, imepandikiza migogoro kwenye vyama takribani vitano, natoa wito kwa mamlaka husika kuchunguza mwenendo wa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na kumchukulia hatua msajili wa vyama vya siasa

Mambo mengine tuliyojadili ni kutaka kufutwa kwa kesi za kisiasa na kuachiwa kwa wafungwa wa kisiasa, uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake ikiwemo mikutano ya siasa, kufuta sheria kandamizi nchini kwetu, kufuatilia watu walioshughulikiwa kupotea au kuuawa

Jambo lingine tuliloongea ni juu ya hakikisho la usalama kwa viongozi wetu ambao kwa sasa ni wakimbizi katika nchi nyingine, kuondolewa bungeni kwa waliokuwa wanachama wetu 19

Mwanzo huu wa mazungumzo, utafuatiwa na hatua nyingine za mazungumzo, ombi langu kwa wana-CHADEMA na Watanzania kuendelea kuwa watulivu na wavumilivu katika hatua hizi zilizoanza, kwa sababu mchakato wa mazungumzo, kujenga maridhiano na mwafaka sio tukio la siku moja

Hatma ya nchi hii, haiko kwa CCM na CHADEMA pekee hususan katika suala muhimu kama katiba, hatua kwa hatua umma utashirikishwa lengo likiwa ni kufika mwaka 2025 tukiwa na katiba mpya

Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Katika mazungumzo yote, tutatanguliza maslahi ya Taifa na si kitu kingine. BRAVO

Hapa hakuna maslahi yoyote ya taifa. Hii script tunaijua vizuri; inatoka kwenye playbook aliyoitumia Maalim Seif (RIP) miaka kadhaa kwa maslahi yake binafsi. Mwanachama wa kawaida wa CUF au mwananchi wa kawaida wa Zanzibar hakuwahi kupata manufaa yoyote. Hardliners of the likes of Lissu are the biggest losers here!
 
Mimi sina njaa ndugu yangu, napigana mimi kama mimi sio wabongo wakiwa na njaa wanakimbilia kwenye siasa. Kwanza wewe sidhani unajua hata walioanzisha hio CHADEMA, hapo Mbowe kawekwa tu kwa ajili ya njaa zake na business za mzee Mtei. Mmoja wa waanzilishi marehemu Mzee Bob Makani angekuwepo asingekubali upumbavu huu anaoufanya Mbowe wa kulamba miguu ya watawala ili tu afute njaa zake na familia yake. Upinzani bongo hamna umekwisha shauri ya njaa za viongozi, kila kiongozi anaangalia tumbo lake na familia yake, Angalia Kenya Ruto alikua makamu wa rais kapambana awe rais kwa vile hana nzala na haogopi mtu, bongo hamna mtu mwenye balls kama hizo za Ruto. Akina Mnyika na umaskini wao wakipewa asali kidogo tu warambe wanaingiza mikia kwenye makalio.Nyambaaaff zao.
kumbe na wewe mama unajua kubwaka 🐖 🐖 🐖 😀😀
 
Chadema kwisha habari yao,

Mtarudi jukwaan humu kulialia ,tupo hapa
Kwa kweli agenda zao azijalenga mwenendo na hali halis wa maisha ya sasa kwa wananchi, kifupi ni kama zimewalenga wao viongozi zaidi kwa hali hii ngoja tuone, maana ni kama wameamua kupambana na mtu ambaye hayupo, wakisahau kuwa mtu huyo bado anaishi miongoni mwa raia.
 
Back
Top Bottom