Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
Ona sasa SIASA haina uadui wa kudumu..hata sisi humu JF, wanazi wa sides zote kwanini tusifanye maridhiano? hivi tunagombania nini kwanza kwa faida ya nani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutesa kwa zamu.Mbowe na Mnyika wapo Ikulu, Ndugai na genge lake wapo Kongwa
Kweli mwanasiasa ni mtu wa ajabu!!Mkutano ule wa Mei 20,2022 ,ni mwanzo wa mazungumzo ya timu mbili. Upande wetu CHADEMA tuliwasilisha ajenda mbili ya kwanza ni kurejeshwa kwa mchakato wa katiba ya nchi yetu na ya pili ni kujadili madhara ya miaka sita iliyogubikwa na ukiukwaji wa haki
Itakumbukwa Aprili 07, 2021 Mwenyekiti @freemanmbowetz alimuandikia barua Rais @SuluhuSamia, pamoja na mambo mengine alimweleza haja ya kufungua ukurasa mpya wa maridhiano na haki katika Taifa letu kupitia mazungumzo, pia akawasilisha ombi la CHADEMA kukutana naye Rais
CHADEMA na wananchi wengi tunaamini kuwa katiba mpya ni nyenzo ya kilipelekea Taifa letu mbele na kufungua ukurasa mpya wa kimfumo na kitaasisi katika nchi yetu, katika mkutano wetu Ikulu Dodoma tulitoa mapendekezo yetu ya jinsi yakukwamua mchakato wa katiba mpya
Tumependekeza iundwe Tume ya Ukweli na Upatanishi itakayoshughulikia madhara ya watu walioumizwa ndani ta miaka iliyopita 6, pia tulipendekeza madhara yaliyotokea katika uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 yashughulikiwe na kuhakikisha chaguzi zijazo zinakuwa huru na haki
Kwa miaka sita ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, imepandikiza migogoro kwenye vyama takribani vitano, natoa wito kwa mamlaka husika kuchunguza mwenendo wa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na kumchukulia hatua msajili wa vyama vya siasa
Mambo mengine tuliyojadili ni kutaka kufutwa kwa kesi za kisiasa na kuachiwa kwa wafungwa wa kisiasa, uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake ikiwemo mikutano ya siasa, kufuta sheria kandamizi nchini kwetu, kufuatilia watu walioshughulikiwa kupotea au kuuawa
Jambo lingine tuliloongea ni juu ya hakikisho la usalama kwa viongozi wetu ambao kwa sasa ni wakimbizi katika nchi nyingine, kuondolewa bungeni kwa waliokuwa wanachama wetu 19
Mwanzo huu wa mazungumzo, utafuatiwa na hatua nyingine za mazungumzo, ombi langu kwa wana-CHADEMA na Watanzania kuendelea kuwa watulivu na wavumilivu katika hatua hizi zilizoanza, kwa sababu mchakato wa mazungumzo, kujenga maridhiano na mwafaka sio tukio la siku moja
Hatma ya nchi hii, haiko kwa CCM na CHADEMA pekee hususan katika suala muhimu kama katiba, hatua kwa hatua umma utashirikishwa lengo likiwa ni kufika mwaka 2025 tukiwa na katiba mpya
Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Katika mazungumzo yote, tutatanguliza maslahi ya Taifa na si kitu kingine. BRAVO.
#MkutanonaWaandishiwaHabarileo
#MkutanonaWaandishiwaHabarileo
Wengine mishahara inaflow ila mwingine anavizia kahawa ikulu. Mwanaume wa kweli hatetereki acha litulie kongwa wa maridhiano ahudhurie ikulu, hivi documents za chadema taifa mnatunzia wapi maana naskia hamna ofisi za chama😁.Mbowe na Mnyika wapo Ikulu, Ndugai na genge lake wapo Kongwa
Ibilisi yuko wapi?Mbowe na Mnyika wapo Ikulu, Ndugai na genge lake wapo Kongwa
... "wenzetu" wa CCM? Hilo neno halijakaa sawasawa.
Mateso aliyaasisi mwendakuzimu... mateso yaliyosababishwa na hao jamaa kwa wanamageuzi na wapenda demokrasia ni mapema mno kutumia hilo neno.
Very painful. Alitenda wengine kana kwamba hawakuwa wanadamu.Mateso aliyaasisi mwendakuzimu
Kama nilivyosema ni mapema mno kutumia hiyo lugha given the experience with matendo ya CCM. Wanakuchekea lakini mioyoni wamejaa roho mbaya ya uuaji; uzoefu siku zote umeonesha hivyo.Mkataba wa kwanza aliosaini Mbowe mara ya kwanza Ikulu akiwa peke yake na Rais ni kuheshimiana
hizo lugha za kuita ma ccm wamebaki nazo Wakimbizi waliopo Ubelgiji na Canada
wa Tanzania wote ni ndugu na ndio sababu neno 'Wenzetu' alilotumia Ndugu John Mnyika ni neno Mujarrab kabisa
Sasa mnazungumza na CCM wakati nyie nyote ni vyama vya siasa. Mnampaje tena madai yenu atekeleze ambapo wao ni wapinzani wenu kisiasa? Mnadhani watakupeni upendeleo ili muwe na upper hand?Mkutano ule wa Mei 20,2022 ,ni mwanzo wa mazungumzo ya timu mbili. Upande wetu CHADEMA tuliwasilisha ajenda mbili ya kwanza ni kurejeshwa kwa mchakato wa katiba ya nchi yetu na ya pili ni kujadili madhara ya miaka sita iliyogubikwa na ukiukwaji wa haki
Itakumbukwa Aprili 07, 2021 Mwenyekiti Freeman Mbowe alimuandikia barua Rais Suluhu Samia, pamoja na mambo mengine alimweleza haja ya kufungua ukurasa mpya wa maridhiano na haki katika Taifa letu kupitia mazungumzo, pia akawasilisha ombi la CHADEMA kukutana naye Rais
CHADEMA na wananchi wengi tunaamini kuwa katiba mpya ni nyenzo ya kilipelekea Taifa letu mbele na kufungua ukurasa mpya wa kimfumo na kitaasisi katika nchi yetu, katika mkutano wetu Ikulu Dodoma tulitoa mapendekezo yetu ya jinsi yakukwamua mchakato wa katiba mpya
Tumependekeza iundwe Tume ya Ukweli na Upatanishi itakayoshughulikia madhara ya watu walioumizwa ndani ta miaka iliyopita 6, pia tulipendekeza madhara yaliyotokea katika uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 yashughulikiwe na kuhakikisha chaguzi zijazo zinakuwa huru na haki
Kwa miaka sita ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, imepandikiza migogoro kwenye vyama takribani vitano, natoa wito kwa mamlaka husika kuchunguza mwenendo wa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na kumchukulia hatua msajili wa vyama vya siasa
Mambo mengine tuliyojadili ni kutaka kufutwa kwa kesi za kisiasa na kuachiwa kwa wafungwa wa kisiasa, uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake ikiwemo mikutano ya siasa, kufuta sheria kandamizi nchini kwetu, kufuatilia watu walioshughulikiwa kupotea au kuuawa
Jambo lingine tuliloongea ni juu ya hakikisho la usalama kwa viongozi wetu ambao kwa sasa ni wakimbizi katika nchi nyingine, kuondolewa bungeni kwa waliokuwa wanachama wetu 19
Mwanzo huu wa mazungumzo, utafuatiwa na hatua nyingine za mazungumzo, ombi langu kwa wana-CHADEMA na Watanzania kuendelea kuwa watulivu na wavumilivu katika hatua hizi zilizoanza, kwa sababu mchakato wa mazungumzo, kujenga maridhiano na mwafaka sio tukio la siku moja
Hatma ya nchi hii, haiko kwa CCM na CHADEMA pekee hususan katika suala muhimu kama katiba, hatua kwa hatua umma utashirikishwa lengo likiwa ni kufika mwaka 2025 tukiwa na katiba mpya
Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Katika mazungumzo yote, tutatanguliza maslahi ya Taifa na si kitu kingine. BRAVO
Maisha ni Dunia, alisikika siku moja akisema Askari mtoeni huyo Mara moja.Askari wakawa wanalinda heshima ya mbunge.Ndugai nyie ni askari kweli,toeni nje huyo.Meza pwapwapwaaaaaa.Mbowe na Mnyika wapo Ikulu, Ndugai na genge lake wapo Kongwa
... "wenzetu" wa CCM? Hilo neno halijakaa sawasawa.
Ndugai ni kichaa ndiyo maana hospitali ya Mirembe ipo DodomaMaisha ni Dunia, alisikika siku moja akisema Askari mtoeni huyo Mara moja.Askari wakawa wanalinda heshima ya mbunge.Ndugai nyie ni askari kweli,toeni nje huyo.Meza pwapwapwaaaaaa.
"Mimi siyo wa mchezomchezo" watu huwa wananikadiria.
You are too past Latenakuonyesha tu hao unaowaabudu walivyo vinyonga hasa mbowe linapokuja suala la hela aisee ni noma ona sasa hivi kishaanza kuwafokea msiitukane serikali
MkuuMkataba wa kwanza aliosaini Mbowe mara ya kwanza Ikulu akiwa peke yake na Rais ni kuheshimiana
hizo lugha za kuita ma ccm wamebaki nazo Wakimbizi waliopo Ubelgiji na Canada
wa Tanzania wote ni ndugu na ndio sababu neno 'Wenzetu' alilotumia Ndugu John Mnyika ni neno Mujarrab kabisa
Great Words From Great MenHatma ya nchi hii, haiko kwa CCM na CHADEMA pekee hususan katika suala muhimu kama katiba, hatua kwa hatua umma utashirikishwa lengo likiwa ni kufika mwaka 2025 tukiwa na katiba mpya
Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Katika mazungumzo yote, tutatanguliza maslahi ya Taifa na si kitu kingine. BRAVO
watani wa jadiYupo sahihi hivyo vyote ni vyama vya siasa