Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Kwa sababu inamgusa mwendazake?Good
Hiyo ajenda ya pili imekaa kizushi zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu inamgusa mwendazake?Good
Hiyo ajenda ya pili imekaa kizushi zaidi
Tumependekeza iundwe Tume ya Ukweli na Upatanishi itakayoshughulikia madhara ya watu walioumizwa ndani ta miaka iliyopita 6, pia tulipendekeza madhara yaliyotokea katika uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 yashughulikiwe na kuhakikisha chaguzi zijazo zinakuwa huru na haki[emoji1534]Mkutano ule wa Mei 20,2022 ,ni mwanzo wa mazungumzo ya timu mbili. Upande wetu CHADEMA tuliwasilisha ajenda mbili ya kwanza ni kurejeshwa kwa mchakato wa katiba ya nchi yetu na ya pili ni kujadili madhara ya miaka sita iliyogubikwa na ukiukwaji wa haki
Itakumbukwa Aprili 07, 2021 Mwenyekiti @freemanmbowetz alimuandikia barua Rais @SuluhuSamia, pamoja na mambo mengine alimweleza haja ya kufungua ukurasa mpya wa maridhiano na haki katika Taifa letu kupitia mazungumzo, pia akawasilisha ombi la CHADEMA kukutana naye Rais
CHADEMA na wananchi wengi tunaamini kuwa katiba mpya ni nyenzo ya kilipelekea Taifa letu mbele na kufungua ukurasa mpya wa kimfumo na kitaasisi katika nchi yetu, katika mkutano wetu Ikulu Dodoma tulitoa mapendekezo yetu ya jinsi yakukwamua mchakato wa katiba mpya
Tumependekeza iundwe Tume ya Ukweli na Upatanishi itakayoshughulikia madhara ya watu walioumizwa ndani ta miaka iliyopita 6, pia tulipendekeza madhara yaliyotokea katika uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 yashughulikiwe na kuhakikisha chaguzi zijazo zinakuwa huru na haki
Kwa miaka sita ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, imepandikiza migogoro kwenye vyama takribani vitano, natoa wito kwa mamlaka husika kuchunguza mwenendo wa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na kumchukulia hatua msajili wa vyama vya siasa
Mambo mengine tuliyojadili ni kutaka kufutwa kwa kesi za kisiasa na kuachiwa kwa wafungwa wa kisiasa, uhuru wa vyama vya siasa kufanya shughuli zake ikiwemo mikutano ya siasa, kufuta sheria kandamizi nchini kwetu, kufuatilia watu walioshughulikiwa kupotea au kuuawa
Jambo lingine tuliloongea ni juu ya hakikisho la usalama kwa viongozi wetu ambao kwa sasa ni wakimbizi katika nchi nyingine, kuondolewa bungeni kwa waliokuwa wanachama wetu 19
Mwanzo huu wa mazungumzo, utafuatiwa na hatua nyingine za mazungumzo, ombi langu kwa wana-CHADEMA na Watanzania kuendelea kuwa watulivu na wavumilivu katika hatua hizi zilizoanza, kwa sababu mchakato wa mazungumzo, kujenga maridhiano na mwafaka sio tukio la siku moja
Hatma ya nchi hii, haiko kwa CCM na CHADEMA pekee hususan katika suala muhimu kama katiba, hatua kwa hatua umma utashirikishwa lengo likiwa ni kufika mwaka 2025 tukiwa na katiba mpya
Watanzania wanapaswa kufahamu kwamba Katika mazungumzo yote, tutatanguliza maslahi ya Taifa na si kitu kingine. BRAVO.
#MkutanonaWaandishiwaHabarileo
#MkutanonaWaandishiwaHabarileo
ẞerikali ni ile ileKwa sababu inamgusa mwendazake?
Hahaha wanaangalia kwenye luningaMbowe na Mnyika wapo Ikulu, Ndugai na genge lake wapo Kongwa
hayo hayatekelezeki muangalie mambo mengine huwezi anza uchunguzi wa vitu kama hivyo ccm ikiwemo madarakani neverTumependekeza iundwe Tume ya Ukweli na Upatanishi itakayoshughulikia madhara ya watu walioumizwa ndani ta miaka iliyopita 6, pia tulipendekeza madhara yaliyotokea katika uchaguzi wa mwaka 2019 na 2020 yashughulikiwe na kuhakikisha chaguzi zijazo zinakuwa huru na haki[emoji1534]
jinsi wanavyomalizwa kisiasa mama mjanja sana aiseeHahaha wanaangalia kwenye luninga
Kuwa mpole kukipambazuka utajua hujuijinsi wanavyomalizwa kisiasa mama mjanja sana aisee
Nenda Chato.Bumbav, Chadema kwisha habari yao,
Mtarudi jukwaan humu kulialia ,tupo hapa
Ndugai ni shetani kabisaHahaha wanaangalia kwenye luninga
Kuwa mpole kukipambazuka utajua hujui
Na yule Mwandishi nguli kabaki anaweweseka tu ili kujiliwaza kajibanza kwa covi19.2012 Wassira alisema Chadema itakufa ndani ya mwaka mmoja, Magufuli akasema 2020 ataifuta Chadema wewe unasema mama ataifuta. Kesheni mkiomba hilo.
Inakuuma?Ajenda ya pili imekaa kisasi zaidi
Kaungane na Wassira kutabiri.chadema sasa ndiyo mwisho wao jpm alikuwa anatumia nguvi kuwatoa kwenye reli mama anatumia ulimi kuwatoa kwenye reli na tayari wameshaanza kuchochora pembeni kwisha habari ya chadema
Wazee wa legacy ya mwendazake hao.Maridhiano ni Kwa meza ndugu[emoji124]
Living in the past syndrome