John Mnyika: Mambo CHADEMA tuliyozungumza na wenzetu wa CCM

John Mnyika: Mambo CHADEMA tuliyozungumza na wenzetu wa CCM

Safi,ni mwanzo mzuri,kile kikosi kazi kinachoitwa cha katiba Kivunjiliwe mbali,ni wasakatonge watupu
Kifo chake kiko dhahiri. Mama akiona mazungumzo yanakwenda vizuri na CDM wameshikilia msimamo wa kutoshiriki kwenye hicho kikosi, kitapoteza umuhimu na hatimaye kufutwa.
 
Eti tume ya usuluhishi na upatanishi wanapatanishwa nani na nani? Waache siasa za hovyo Mimi nilifikiri wanamshauri mama kuhusu matozo na makodi yasioeleweka kumbe nao wanaenda kutafuta fursa Sasa naanza kuamini Tanzania hatuna upinzani wa kweli
 
Ukizisoma hizo hoja za maridhiano za chadema its as if baba anamwagiza mwana kwamba ninataka hivi fanya hivi. Hapa baba ni chadema na mwana sijui ndie atakuwa Rais Samia?

Nirudie tena kusema kwamba chadema kinaonekana hakina uwezo kabisa wa kujitathmini , kujirekebisha na kugeuka. Wapo stuck kwenye mazingira ya kisiasa ya 2005-2015 wanafikiri na sisi wananchi tumeziacha akili zetu kule. Hivi kwa akili za hata mbayuwayu unawezaje kusimama na kurusha lawama kwa msajiliwa vyama kuhusu migogoro yenu? Aaaargh!
Ulitaka ziandikweje hizo ni hoja zimeweka ili zijadiliwe wewe unazichukua zilivyo.
 
Eti tume ya usuluhishi na upatanishi wanapatanishwa nani na nani? Waache siasa za hovyo Mimi nilifikiri wanamshauri mama kuhusu matozo na makodi yasioeleweka kumbe nao wanaenda kutafuta fursa Sasa naanza kuamini Tanzania hatuna upinzani wa kweli
Huo sio mwafaka wa tozo bwashee, hayo ni maridhiano yao, ulitaka waridhiane tozo how? Tozo peleka hoja bungeni.
 
chadema sasa ndiyo mwisho wao jpm alikuwa anatumia nguvi kuwatoa kwenye reli mama anatumia ulimi kuwatoa kwenye reli na tayari wameshaanza kuchochora pembeni kwisha habari ya chadema
Kwako wewe yupi ni mzuri? Aliyetumia nguvu au anayetumia ulimi? Unapata taabu sana, the guy is no more.
 
hayo hayatekelezeki muangalie mambo mengine huwezi anza uchunguzi wa vitu kama hivyo ccm ikiwemo madarakani never
Ulikuwemo kwenye majadiliano? Kipindi kile isingewezekana, kwa sasa subiri matokeo.
 
Living in the past syndrome
nakuonyesha tu hao unaowaabudu walivyo vinyonga hasa mbowe linapokuja suala la hela aisee ni noma ona sasa hivi kishaanza kuwafokea msiitukane serikali
 
Mkuu hilo neno ni langu sio la mnyika hata hivyo naona kama limefit vizuri.
... bora umefafanua Mkuu! Ila next time please, never use it in a similar context!
 
Ccm are professional politicians who are using their experience to take inexperienced Chadema through the motions; by the time Chadema wakes up it will 2025 already!! Chadema will be forced to go to elections which they will lose because of lack of preparedness and stacked up elections! If they boycott the elections, ccm will go ahead and you will have the same as 2020 election results all over again and ccm will continue being in power!
AMKENI SIO SWALI TENA!
Hapatakuwa na uchaguzi 2025, kama una "MACHO" yatumie vzr.
 
W
Upinzani wa bongo kwishney, wao walidhani mwendazake ndio atakaeua upinzani kumbe mama ndio anauua mazima. hamna upinzani bongo na nimegundua NJAA iliopo kwa viongozi wa upinzani ndio chimbuko la kutokuwepo huo upinzani. Twende mbele turudi nyuma, Kenya ina upinzani imara kwa kua waliopo upinzani wana fwedha na serikali haina uwezo wa kuwanunua, sio bongo njaa tupu wapinzani wanaangalia matumbo yao na familia zao...
Weye na Mbowe nani mwenye kunuka njaa?
 
Muda wa kupatikana KATIBA mpya umefika, Kila JAMBO Lina muda wake wa kutimia.

Tutapata kitabu kipya 2026, Mungu atamtunza Mzee WARIOBA Hadi wkt huo Ili Aizindue.AMEN.
 
Back
Top Bottom