Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ccm ndio kila kitu shime kesho tukamchague magufuli nifanye hii nchi kama uingereza tutakuja kumkumbuka huyu mzeeAlafu bado kuna mijitu inakwambia tunafaa kuendelea kua na chama kimoja chenye nguvu
risasi haziui hao watakuwa wamekufa kwa matatizo mengine, risasi zingeuwa kusingekuwa na mgombea uraisi anaitwa lisuMnyika anasema Wananchi wawili wameuwawa muda mchache uliopita kata ya Matongo baada ya Mwenyekiti wa kijiji cha Nyabichume (CCM) Mogaya Ryoba Kisire kushambulia kwa risasi mkutano uliokuwa uhutubiwe na @HecheJohn eneo la Nyamongo.
hii damu nani ataibeba? Damu , damu , Damu!Mnyika anasema Wananchi wawili wameuwawa muda mchache uliopita kata ya Matongo baada ya Mwenyekiti wa kijiji cha Nyabichume (CCM) Mogaya Ryoba Kisire kushambulia kwa risasi mkutano uliokuwa uhutubiwe na @HecheJohn eneo la Nyamongo.
Jamaa ana kadi ya CCM!Taarifa haija kamilika, yaani jamaa ana kichaaa au ilikua vipi?