Uchaguzi 2020 John Mnyika: Watu wawili wameuawa Tarime kwa kupigwa risasi na Kada wa CCM

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Watu wawili wameuawa Tarime kwa kupigwa risasi na Kada wa CCM

Siku Ndugu zako watakuja kutiwa dole ndio utapata Akili Mkuu ,wewe potezea tu wala hamna shida.
SHAME ON YOU, hizo ndiyo hoja zenu humu JF!? Mkikosa kutumia akili kujibu hoja mnaamua kutumia mat...……….. au siyo!?
 
Mwambie Bibie anaona jina ICC ni sawa na CCM sijui kwa vile yote Yana ma C mengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Yaani watu wanafikiria ni rahisi hivyo.

Hawa ndio watu wanaoamini kwamba mzungu anajua kila kitu na kiingereza ndio ujanja, Yaani huyu amstadamu kaharibu akili ya za watu sana.
 
CCM mwaka huu mkono wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Kijinai(ICC) hawataukwepa asilan!!
Kwa kosa gani au umekariri tu mambo ya Lissu na Amsterdam!? ICC haibagui eti aidha ulipigwa risasi 16 za ndege au una mtetezi Wakili mzungu, hiyo haibagui, inakwenda kwa haki na haijalishi wewe ni nani, as long as unavunja hiyo sheria ya ICC watakushughulikia tu. Hivyo hata Lissu inamuhusu pia.
 
Yaani watu wanafikiria ni rahisi hivyo.

Hawa ndio watu wanaoamini kwamba mzungu anajua kila kitu na kiingereza ndio ujanja, Yaani huyu amstadamu kaharibu akili ya za watu sana.
Iyo ndo tunaita ukolon maombolea" ukijumlisha na ma...ignorance ndo inakuwa noma zaidi.[emoji23]
 
SHAME ON YOU, hizo ndiyo hoja zenu humu JF!? Mkikosa kutumia akili kujibu hoja mnaamua kutumia mat...……….. au siyo!?

Punguza povu ,usiwe kama Robot tumia Akili zako sawa sawa kusoma na kuelewa.
 
Huoni kama umebaki peke yako unaesema tutalinda kura??
ACT walisema leo hazitapigwa kura, imekuwa kinyume chake.
Tunaenda kupiga kura na kulinda kura zetu kesho. Huu ndo mwanzo wa ukombozi wa kweli wa Tanzania yetu.
 
Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Si ajabu. Mimi hapa niba Bastola na najua kuitumia. Nina vibali vyote halali vya kuimiliki.
 
Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Yawezekana Tarime haujiui vizuri au umezaliwa jana ndo maana unauliza bunduki kaitoa wapi? kwa taarifa yako wazee wengi kule ni wastaafu wa jeshi na wanamiliki silaha kihalali kabisa. Jiulize kwa nini inaitwa kanda maalumu? Pia nikukumbushe kuwa Tarime ndo wilaya pekee iliyowahi kutaka kutambuliwa kama eneo huru na kufikia kupandisha bendera yao
 
Huoni kama umebaki peke yako unaesema tutalinda kura??
ACT walisema leo hazitapigwa kura, imekuwa kinyume chake.
Nani kasema Nipo peke yangu??? Matokeo yake utayaona kesho kama nipo peke yangu au tupo wengi!

Kwa ukilaza wako unaona Leo mmeshinda kwa mlivyoua watu Zanzibar??? Sasa subiri uone matokeo yake.

Umeona Matamko ya UN, Balozi wa Marekani na AU?? Umeona tamko la waziri wa mambo ya nje ya Sweden kuhusu Zanzibar??

Sasa nakuhakikishia, Magufuli wako, Sirro, Mabeyo na Diwani Athumani ni washtakiwa watarajiwa wa ICC. Tena siku si nyingi uchunguzi unaanza juu yao na watatolewa arrest warrant kwa waliyofanya Zanzibar Jana na leo tu ambapo dunia imepata ushahidi wote leo.
 
Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Mbona Mbozi watu wanatengeneza bunduki za magobole wewe unashangaa mbona watu wengi tu wanamiliki bastola na bunduki za kawaida
 
Taarifa haija kamilika, yaani jamaa ana kichaaa au ilikua vipi?
Taarifa zao wanazileta kimangumashi nadhani kuleta taharuki! Lakini, ukweli watanzania wa sasa hivi wameishakuwa waelewa. Wanajua kuchambua wenyewe habari, na hii ni hatua kubwa na muhimu.
 
Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
🤣🤣🤣 eti "Labda vijiji vya mara ni tofauti na vijiji vingine vya nchi yetu "
Duuuh...
 
Back
Top Bottom