Kategele
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 1,055
- 2,466
Viongozi wa huko Wana Mali wewe wamepiga dhahabu enzi hizo za mgodi wa nyamongo.Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Halafu Nyamongo huwezi kuwa kiongozi mpaka uwe mtemi haswaa yaani mbabe kwelikweli