Uchaguzi 2020 John Mnyika: Watu wawili wameuawa Tarime kwa kupigwa risasi na Kada wa CCM

Uchaguzi 2020 John Mnyika: Watu wawili wameuawa Tarime kwa kupigwa risasi na Kada wa CCM

Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Tarime, Rorya huko wacha kabisa, ili uwe mwenyekiti wa kijiji, lazima iwe DON, yaani ukiwa jambazi sugu u mstaafu, mwizi wa mifugo aliyekubuhu unaheshimika na uenyekiti utapata, mtu lelema watamngecha na mapanga!

Ile kanda maalumu tata mraah!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
CCM mwaka huu mkono wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Kijinai(ICC) hawataukwepa asilan!!

Wanachama wangapi wa CCM wameuawa na kuumizwa na wanachama wa CHADEMA tangu kampeni zimeanza? Na wanachama wa CHADEMA walioumia na kuuawa na CCM ni wangapi? Je, wanauana ili wafikishane ICC?

ICC hairudishi uhai wala afya za waathirika tukumbushane kuwa wavumilivu pale tunapokua na misimamo tofauti kwenye siasa.
 
ukiwa upande wa ccm mbona bundiki ni wewe tu kama unakazi nayo unapewa,hukumbuki yule mbunge wa ccm huko kanda ya ziwa alikutwa na silaha kibao na risasi na kesi ikaishia kusikojulikana

Mbunge ni tofauti na Mwenyekiti wa Kijiji, ushawahi kukutana na Mwenyekiti wa Kijiji popote pale?
 
Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Wanaomiliki bunduki kihalali au haramu huwa wanazipata wapi?
 
Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Acha upopoma we kamasy!! Yule mbunge wa shinyanga aliyekutwa na siraha 13 alizitoa wapi? Pumbavu
 
Jamani dah, ukweni kabisa hapo Nyamongo.

Hiki ni kipindi ambacho sitaki majibizano ya siasa ya ana kwa ana. Kuna watu wanatakaga wasikilizwe wao tuu na kueleweka ila hawawezi kukusikiliza unapokua na maoni tofauti.

Mungu tunusuru watanzania. Kuna maisha baada ya uchaguzi jamani

Maoni tofauti yaendane na Fact sio hisia zenu CCM wapenda Damu za Watu,mna tuonea sana.
 
Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
We vijiji vya Nyamongo unavijua ?!. Vina migodi na waliopo huko wengi wana ukwasi. So usishangae kumiliki bastola
 
Mnyika anasema Wananchi wawili wameuwawa muda mchache uliopita kata ya Matongo baada ya Mwenyekiti wa kijiji cha Nyabichume (CCM) Mogaya Ryoba Kisire kushambulia kwa risasi mkutano uliokuwa uhutubiwe na @HecheJohn eneo la Nyamongo.

Chadema si ndo mnapenda kumwaga damu jamani naona malengo yenu mnayanatimiza. Mshindwe na mlegee. Tunafuta CDM kesho.
 
CCM hawajastaarabika kukubali kushindwa na kuachia madaraka.

Wapo tayari kuchoma moto hii nchi wabaki madarakani.
 
Back
Top Bottom