Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo huu utawasaidia?Haya Mauaji mwisho wake uko karibu
Tarime, Rorya huko wacha kabisa, ili uwe mwenyekiti wa kijiji, lazima iwe DON, yaani ukiwa jambazi sugu u mstaafu, mwizi wa mifugo aliyekubuhu unaheshimika na uenyekiti utapata, mtu lelema watamngecha na mapanga!Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
CCM mwaka huu mkono wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Kijinai(ICC) hawataukwepa asilan!!
SijuiTaarifa haija kamilika, yaani jamaa ana kichaaa au ilikua vipi?
ukiwa upande wa ccm mbona bundiki ni wewe tu kama unakazi nayo unapewa,hukumbuki yule mbunge wa ccm huko kanda ya ziwa alikutwa na silaha kibao na risasi na kesi ikaishia kusikojulikana
Taarifa haija kamilika, yaani jamaa ana kichaaa au ilikua vipi?
Wanaomiliki bunduki kihalali au haramu huwa wanazipata wapi?Mwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Acha upopoma we kamasy!! Yule mbunge wa shinyanga aliyekutwa na siraha 13 alizitoa wapi? PumbavuMwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Kamasy la lumumba hiliiiHaya machadema yanatafuta kura za huruma
Mnyika anasema Wananchi wawili wameuwawa muda mchache uliopita kata ya Matongo baada ya Mwenyekiti wa kijiji cha Nyabichume (CCM) Mogaya Ryoba Kisire kushambulia kwa risasi mkutano uliokuwa uhutubiwe na @HecheJohn eneo la Nyamongo.
Jamani dah, ukweni kabisa hapo Nyamongo.
Hiki ni kipindi ambacho sitaki majibizano ya siasa ya ana kwa ana. Kuna watu wanatakaga wasikilizwe wao tuu na kueleweka ila hawawezi kukusikiliza unapokua na maoni tofauti.
Mungu tunusuru watanzania. Kuna maisha baada ya uchaguzi jamani
We vijiji vya Nyamongo unavijua ?!. Vina migodi na waliopo huko wengi wana ukwasi. So usishangae kumiliki bastolaMwenyekiti wa Kijiji Bunduki kaipata wapi achilia mbali hata kujua kuitumia? Basi labda Vijiji vya huko Mara ni tofauti ni Vijiji vingine nivijuavyo sehemu nyingine za nchi yetu, ...
Chadema si ndo mnapenda kumwaga damu jamani naona malengo yenu mnayanatimiza. Mshindwe na mlegee. Tunafuta CDM kesho.Mnyika anasema Wananchi wawili wameuwawa muda mchache uliopita kata ya Matongo baada ya Mwenyekiti wa kijiji cha Nyabichume (CCM) Mogaya Ryoba Kisire kushambulia kwa risasi mkutano uliokuwa uhutubiwe na @HecheJohn eneo la Nyamongo.
Weka akiba ya manenoYaani mtu aanze kufyatua risasi harafu wakurya wanamuangalia tu? Alifanya hivyo mabina (mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza) wasukuma, wakamzimisha hapo hapo. Mnyika huu ni uongo.