Uchaguzi 2020 John Mnyika: Watu wawili wameuawa Tarime kwa kupigwa risasi na Kada wa CCM

Alafu bado kuna mijitu inakwambia tunafaa kuendelea kua na chama kimoja chenye nguvu
 
Alafu bado kuna mijitu inakwambia tunafaa kuendelea kua na chama kimoja chenye nguvu
mkuu ccm ndio kila kitu shime kesho tukamchague magufuli nifanye hii nchi kama uingereza tutakuja kumkumbuka huyu mzee
 
risasi haziui hao watakuwa wamekufa kwa matatizo mengine, risasi zingeuwa kusingekuwa na mgombea uraisi anaitwa lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…