John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Hili jambo litafika sehemu litazoereka kama wananchi hatuta badilika kwa hatma ya taifa letu hivi hawa ni akina nani nchi hii kama vipi wajitokeze waseme wako ndio akina nani na wanafanya hivi kwa maslahi ya nani
 
Reactions: BAK
Nyakibimbili said:
Yana mwisho wake, nchi ni ardhi wenye ulafi nayo wataiacha pia[
And the buck stops with one man and one man alone. His hands are dripping blood, blood of innocent Tanzanians whose only crime was to challenge a regime that has run amok and gone berserk, how sad!
 
Reactions: BAK
Tata muraa nimekuvulia kofia hivi MTU nisie mfahamu aje anikamate kirahisi bora nipambane kama zakaria kivyovyote vile
 
Wekeni silaha chini muongee myamalize, mtawamaliza vijana maana hawataacha kuongea.., nyumba yenu wote na wote mnahaki sawa... mpira mnaangalia wote, dukani bei moja, hospitali moja, usafiri mmoja, ingekuwa upande mmoja umepunguziwa bei tungeelewa,***** kila siku ugomvi...
 
acha upuuzi wewe, hauyaoni makejeli hayo??
Kwahiyo akikejeli ndiyo ametukana? Nyie ndiye wapuuzi msiotaka kukosolewa😄😄😄😄 mkikosolewa mnatukanwa!!😩😩 kiongozi lazima uwe mstahimilivu
 
Kwanini msichukue hatua?kwani vyombo vya kimataifa hamvijui?
 
Ewe jiwe wanatekwaa ndugu zetu wengine wawapotezwa kisa kukosolewa!! Unawabambikia wapinzani kesi kila mara ili huiridhishe roho yako!!. Ila mungu atakufedhehesha siku moja.Kumbuka hautaishi milele,😄😄😄😄 machungu unaowapa watz wenzio Mwenyeenzi Mungu atakupa Mara mia pamoja na genge lako lote la kitekaji. Mtu akikukosoa kidogo anapotea kwanini? Halafu mnajifanya hamuhusiki!! Kwanini ktk utalala wako ndugu zet u wanapotea sana halafu mpaka Leo watekaji hawajulikani sina shaka kusema utekwaji na ukosoaji vina uhusiano. Kila siku makanisani na bibilia kubwa kumbe wanafki wakubwa, wanaokulinda Leo duniani mbinguni hawatakulinda. Acha kunyanyasa ndugu zetu kwa interest zako.
 
EEeh tutauwawa watu wako Mpaka lini??

Tunamtaka Mdude arudi akiwa salama bila kuhughudhiwa kwa lolote.

Magufuli Magufuli huyaoni haya??
 
Watanzania yani kama hili suala mtalichukulia la kawaida kila mara mtu anachukuliwa na magari yasiyo na plate number na pia polisi kuendele kukana kwamba hawahusiki hili jambo tutalizoea na itakuwa shida.
Ifikie mahali tulikatae kwa umoja ikiwezekana wakitokea watu wa hivyo wananchi tusiogope silaha tutoke mbele tuonyeshe mfano kwa wachache hao watekaji kuwapiga na kuua hata wengine watajifunza.
Tuacheni uoga na ss tuanze kutega mitego ya kuwanasa,ifikie mahali hali hii ikome mara moja kwa kuwaadabisha.

Pia nimshauri mwenyekiti wa cdm taifa ita vyombo vya habari elekeza kuwa inapotokea jambo kama hilo na sisi tuwajibike kujibu lkn ukikaa kimya kila linapotokea tunaona kawaida litazoeleka.
Viongozi mfike mahali muelewe tu kwamba pia hampendwi ktk taifa hili hasa wa upinzani hivyo hakuna haja ya kuweka ustaarabu mbele,haki lazima ipiganiwe kwa vitendo sio maneno ya faraja faraja kama watu wako msibani,tunapigania uhai wetu wapinzani.

Swelana.
 
Wewe unaishi kwenye nchi ya kusadikika ya Tz......Tz yupi wa kubizana na mtu mwenye bunduki
 
Ninalaani sana hiki kitendo,ningekuwa mchawi ningewaroga wote wawe vichaa wakudumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…