John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Huyu nae atasahaulika kama saa nane. Mdogo mdogo mwisho watatia adabu.
 
Those days of "kisiwa cha amani" are long gone. Siku hizi ukipost chochote hata kumuhusu Katibu Kata tu, jiandae "kutekwa".
 
Huyu kijana ana matusi sana..nadhan hakupata malezi mazuri
Tweet yake ya jana saa 11:14
FB_IMG_1557042014531.jpeg
 
Hivi ni nani mwenye authority ya kupima kiwango cha righteousness cha mtu kama unavyosema?

Mpimaji awe yeye,mtoa hukumu awe yeye,nk?

Is this a Junta regime au nini?

Wote wanatekwa hawajawahi mpoteza mtu,hata kama wangetaka,hawana hiyo apparatus!

Wanaotekwa ni sababu tu ya kukosoa makosa ya serikali...

Hivi kwanini huo utekaji walao wateke mafisadi yote?Na wakati wapo wanadunda mtaani..

Unaenda kuua mtu kama Tundu Lissu anaetoa mawazo mbadala....Au mwandishi masikini kama Azori,au mtu kama Mdude mwenye kuongea mawazo tofauti?

This is insane!
Pole ndug wapo watu hao Duniani kote Kwa manufaa ya Taifa si Tanzania tu
 
Mbona musiba hakamatwi?

Musiba anatetea maslahi ya nchi na wananchi wanyonge ww, hivi hamuelewi au? Na wale maadui wa serikali hii ya kupambana na mafisadi, Musiba ndio anawataja.. Hii inasaidia sana sana..!! Vita vya ufisadi sio kazi ndogo, inatakiwa nguvu zooote zitumike
 
Kuna watu tunatamani kuwatukana ila basi tu..ngoja niseme ubarikiwe!!
mkuu, nikisoma mambo haya huwa hasira inanipanda sana. Labda kuna watu wameamua kumharibia mkuu ingawa yeye ana nafasi ya kuwaambia "Acheni!"
 
Kama wao ni chanzo cha kupotezwa wapotezwe Tu Kwa maslai mapana ya nchi maana mtu anayesababisha kupotezwa anaweza yeye kwa upande mwingine amepoteza wengi Kwa njia ya moja kwa moja au matendo yake yanasababisha watu wengine kupotea, maana mafisadi wanapoteza watu sana.
Hizi ni akili za ng'ombe
 
Ni
Ni nani huyo jamaa anayejiita Chadema Mdude? Maana niliposoma heading nikadhani ni typing erra kumbe ni jina la mtu!

Ndio kwanza namsikia leo. Naomba kujua matukio yake au baadhi ya maneno au kauli alizowahi kutamka au kusema.
Ni mshikaji fulani fundi software Vwawa Mbozi I know him nimewahi tengeneza simu kwake
Ila jamaa ni mwanaharakati wa chadema hardliner sana na kadhia hizi imekua sehemu ya maisha yake
 
Huyu kijana ana matusi sana..nadhan hakupata malezi mazuri
Acha kufikiri kwa kutumia bomba la unyeo. Matusi unayajua wewe?

Mkikosea tutawapiga tu. Mtatuteka,mtatuua lakini hamtaweza kutumaliza. Hata kama tutakuwa hatupo duniani bado wataibuka wengine na hamtaamini.

#Freedom_is_comming_tommorow

#release_MdudeChadema_alive
 
Yaani wameshindwa hataa kapicha tu, wamefeli sana kwenye hili na huu uimwengu wa smartphone
kama walishindwa eneo la tukio basi hata pale gari linapoondoka tu napo walishindwa


binafsi ningesogea kiungwana...ningepara ushahidj hata wa namba za gari tu..unasoma had za madirishani...au la na ww unaawaanzishia...mm ningevutana nao kwakweli ..au ningepoka simu
 
broo! unataka kusema ungefanyeje?


huwez ht shika namba za gar best...au ht kusogea ujue shida mm mbn mu waoga namna hyo jaman...mm ningeenda na panga gonga bao la mgongo kbs..mbafu zao...mie nahisg nitakuja kufa kwa hizi harakat...bas sijawah kutwa nazo tu ..unalishika limoja unaling'ata kende had litaachia tu...
 
Huyu kijana ana matusi sana..nadhan hakupata malezi mazuri
ANAVUNA ALICHOPANANDA KAMA.APIGI MSWAKI

SHIDA MOJA CHADEMA WATOTOZAO WAKIWA WANATUKANA AWAWAPI MSAADA WA KUBADILIKA WANASUBIRIA SHIDA IMEWAKUTA

HAPO NDIOO ATAJUA MAHAKAMANI UNADOLI.MWENYEWE CHAMA WANAISHIA KUANDIKA MITANDAON UMEKMATWA ATAONA KAMA.ATAPEWA MSAADA

VIJANA BADILIKENI SANA SANA MDOMO
USIWAARIBIE MAISHA YA WATOTO WENU
 
Wasiojulikana kile kitengo maarufu cha Dikteta pale Ikulu ili kuwanyamazisha wanaomkosoa kwa kuwateka, kuwatesa na hata kuwaua kimeibuka tena kwa kasi ya kutisha.
2020 imeshatimia hataki nzi watakao mdondoshea tonge lake mdomoni!
 
MMNhhhh ndipo hapo napomchoka Magufuli na serikali yake….
Analazimisha kuwa Mungu mtu, hata akina horode walikuwa wao ndio wao, ila leo hii hata uso wa dunia ushazisahau dharau zao!

#warafi wa madaraka.
 
Back
Top Bottom