John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Hawa jamaa hawajaelewa tu kutekanatekana ni mambo ya kisenge ?
Kuna siku watu watachoka shauri zao
Arafu afadhari hata wangekuwa wanatekwa na wao wa fisiem, lkn saizi wanaotekwa ni CDM arafu wanajifanya sio wao! bongo hii inavituko hii maana maisha tunayoishi kila siku kama vile movie.
 
Huyu nae atasahaulika kama saa nane. Mdogo mdogo mwisho watatia adabu.
We mjinga sana. Itieni nchi kwenye LAANA tu kwa damu za watu.MAANA DAMU ZA WATU MLIOWAUWA ZIMEANZA KUSOGEZA VIMBUNGA KUJA KWETU.NAKUHAKIKISHIA KAMA HAMTAACHA KUUWA NDANI YA MIAKA MIWILI AU MITATU IJAYO TUTAANZA KUPATA MALIPIZI KWA DAMU ZAO. NAOMBA WAKATI HUO UKIFIKA NAO UFURAHIE KAMA UNAVYOFURAHIA HAYA MAUWAJI.MAANA NI MALIPIZI YA DHAMBI ZENU ZA MAUWAJI.
 
We mjinga sana. Itieni nchi kwenye LAANA tu kwa damu za watu.MAANA DAMU ZA WATU MLIOWAUWA ZIMEANZA KUSOGEZA VIMBUNGA KUJA KWETU.NAKUHAKIKISHIA KAMA HAMTAACHA KUUWA NDANI YA MIAKA MIWILI AU MITATU IJAYO TUTAANZA KUPATA MALIPIZI KWA DAMU ZAO. NAOMBA WAKATI HUO UKIFIKA NAO UFURAHIE KAMA UNAVYOFURAHIA HAYA MAUWAJI.MAANA NI MALIPIZI YA DHAMBI ZENU ZA MAUWAJI.
Hizo damu zilijaa laana ndio maana zimeuawa. Usihofu juu ya hilo. Mbona we mwenye haki hujauawawa kohelethi?
 
Hizo damu zilijaa laana ndio maana zimeuawa. Usihofu juu ya hilo. Mbona we mwenye haki hujauawawa kohelethi?
Sikia ndugu madhara ya dhambi yanawagusa hata wasiohusika.Mfano mauti inatawala toka Adam mpaka kwetu tusiofanya dhambi inayofanana na Adam.watu wanakufa hata kwa dhambi wasiozishiriki.kwa hiyo madhara yakija yatagusa mzee anayetembea kwa mkongoja mpaka mtoto anayenyonya. UNADHANI HAYA MAUWAJI YANAYOFANYWA MUNGU ANAYARIDHIA?. KUEPUSHA HAYA MALIPIZI YA DHAMBI TUNA NAFASI YA KUTUBU NA KUACHA.
 
Kuna tweets za Huyu jamaa daaah mpaka najiuliza Unawezaje kupata Ujasiri kutweet Vitu vya kuikosoaa Serikali ya Magu?????[emoji24][emoji24][emoji22][emoji22]
 
mbeya ni zaidi ya uijuwavyo. kaenda kujibaraguza huko hajapata hata kikundi cha kutengeneza cha kufunga barabara ili ahutubie kaishia kumalizia hasira kwa a poor individual.
 
Back
Top Bottom