John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Kwa nchi inayofuata haki za binadamu na utawala wa sheria hata mtu akifanya kosa kiasi gani huwezi kwenda kumchukua kwa style kama hiyo ukiwa unampeleka katika kitu cha polisi kwa lengo la kuchukua maelezo na kumsomea makosa yake anayotuhumiwa nayo.
Kitendo kilicho fanywa na hawa wasiojulikana ni tofauti kabisa na utawala wa sheria na haki za binadamu; kwa maana hiyo, nchi hii haiongozwi kiweledi.
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.
We mpuuzi kweli,unatuuliza sisi kwani we uko nchi gani? Acheni propaganda za kitoto.
 
Inaonekana hukuwa na change kuandika ni bora ungekaaa kmy au subir ck mkeo atekwe afu uje hapa Useme hyo use****
 
Mimi nauliza tu, hivi hili jina MDUDE ni Nick name au la kwenye vyeti?
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.

1. Alipoteza fahamu, waulize watekaji walimuweka wapi, alizinduka akiwa porini.
2. Alikuwa amepoteza fahamu, waulize madaktari mtu akipoteza fahamu anakula vipi?
3. Alikuwa amevimba uso mzima siku amepatikana picha zipo, makovu ni matokeo ya vidonda, je ulimuona na kidonda?
4. Kuomba msamaha, kwani watekaji walimuambia kosa lake?
5. Walimuacha wakijua wamemuua, unaweza kumpa maelekezo maiti?
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.
Kajitekenya mwenyewe badala ya kucheka kumbe analia machozi...
 
Hiyo namba 5 unaonekana umetumwa kuandika mana haiwezekani ujishushe hivyo
1. Alipoteza fahamu, waulize watekaji walimuweka wapi, alizinduka akiwa porini.
2. Alikuwa amepoteza fahamu, waulize madaktari mtu akipoteza fahamu anakula vipi?
3. Alikuwa amevimba uso mzima siku amepatikana picha zipo, makovu ni matokeo ya vidonda, je ulimuona na kidonda?
4. Kuomba msamaha, kwani watekaji walimuambia kosa lake?
5. Walimuacha wakijua wamemuua, unaweza kumpa maelekezo maiti?
 
1. Alipoteza fahamu, waulize watekaji walimuweka wapi, alizinduka akiwa porini.
2. Alikuwa amepoteza fahamu, waulize madaktari mtu akipoteza fahamu anakula vipi?
3. Alikuwa amevimba uso mzima siku amepatikana picha zipo, makovu ni matokeo ya vidonda, je ulimuona na kidonda?
4. Kuomba msamaha, kwani watekaji walimuambia kosa lake?
5. Walimuacha wakijua wamemuua, unaweza kumpa maelekezo maiti?
Mkuu ulishaangalia muvi? Mtu anapigwa lisasi anavunjik vunjika na picha zinatoka afu kesho yake unamuona yuko anakula starehe?

Mateso ya kipigo anacholia Mdude kinaweza pona kwa siku Mbili kweli hata kovu hakuna?
 
Mkuu ulishaangalia muvi? Mtu anapigwa lisasi anavunjik vunjika na picha zinatoka afu kesho yake unamuona yuko anakula starehe?

Mateso ya kipigo anacholia Mdude kinaweza pona kwa siku Mbili kweli hata kovu hakuna?
Mkishashindilia na kuparamia viporo vyenu vya kande iliyochacha nakuja huku jamvini kujamber jamber na kutuaribia na kutuchafulia hali ya hewa
 
Kwa vyovyote itakavyokua wale wanaopnga hii mipango naona kama vile wanafanikiwa malengo yao, Nahisi kidogokidogo watu wanaanza kua na hofu ya kutoa maoni yao critically hadharani juu ya siasa na namna nchi inavyoongozwa
 
Apo mtoa mada anajiona ameuliza maswali yaki "intelijinsia" kumbe utumbo mtupu...eti akujibu?
 
Uchaguzi 2020 utaleta vituko mpaka tutafikiria tuko kwenye comedy shows...
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.
Kumbuka mdude ni mwana siasa.

Tundu lissu mpaka leo nipo 50/50 kama kweli alipigwa risasi.

Mwanasiasa akikuambia "vipi hali hali kaka" nenda chooni hakikisha jinsia yako then rudi umuitikiee "salama" kama kweli wewe ni kaka
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.

Kuna tofauti kati ya Kutekwa na Wasiojulikana na Kutekwa na Wasiojulikana kwa Kosa la Kuwadhulumu Kibiashara na Kutembea ( Kuzini ) na Wake zao. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Back
Top Bottom