John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Kuna tofauti kati ya Kutekwa na Wasiojulikana na Kutekwa na Wasiojulikana kwa Kosa la Kuwadhulumu Kibiashara na Kutembea ( Kuzini ) na Wake zao. Naomba niishie hapa tafadhali.
Mkuu nategemea sana ufafanuzi wako maana wewe ndiwe mubobezi kwenye mambo yaha.
Tafadhari ukipata nafasi ubandike bandiko lako hapa.
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.
Mie nikuulize swali moja tu. Ikiwa wewe unapanga kutekwa, unaweza kupanga na watu ambao watakubali kwamba wakati wanakuteka upige kelele za kuomba msaada kwa watu huku wakikuingiza ndani ya buti ya gari? Vipi ikiwa polisi wapo karibu au wanachi wenye hasira wakawazidi nguvu, unafikiri watafanywa nini? Sasa ni mlevi gani atakubali kuwa sehemu ya mpango wako kama huo?

Mie wito wangu kwa wananchi ni kwamba tukiweza kuwazidi nguvu hawa watekaji, tuwaue kwa hasira, maana serikali inawakana kila siku japo wanajua ni wa kwao. Tuwaue tuone familia zao ztakavyosema. Tumechoka sasa.

Wale wenye silaha zenye vibali nawashauri anzeni kutembea nazo, huwezi kujua lini inaweza kutumika dhidi ya hawa watekaji "wasiojulikana". Shoot to kill.
 
K****** zako. Nyie ndo wale wanaokula cake na kuabudu na kusifu. Ipo siku zitakutoakea puani ewe mnafiki.
 
Kuna tofauti kati ya Kutekwa na Wasiojulikana na Kutekwa na Wasiojulikana kwa Kosa la Kuwadhulumu Kibiashara na Kutembea ( Kuzini ) na Wake zao. Naomba niishie hapa tafadhali.
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107]
 
Mie nikuulize swali moja tu. Ikiwa wewe unapanga kutekwa, unaweza kupanga na watu ambao watakubali kwamba wakati wanakuteka upige kelele za kuomba msaada kwa watu huku wakikuingiza ndani ya buti ya gari? Vipi ikiwa polisi wapo karibu au wanachi wenye hasira wakawazidi nguvu, unafikiri watafanywa nini? Sasa ni mlevi gani atakubali kuwa sehemu ya mpango wako kama huo?

Mie wito wangu kwa wananchi ni kwamba tukiweza kuwazidi nguvu hawa watekaji, tuwaue kwa hasira, maana serikali inawakana kila siku japo wanajua ni wa kwao. Tuwaue tuone familia zao ztakavyosema. Tumechoka sasa.

Wale wenye silaha zenye vibali nawashauri anzeni kutembea nazo, huwezi kujua lini inaweza kutumika dhidi ya hawa watekaji "wasiojulikana". Shoot to kill.
Hapo mimi nitakujibu hivi.

Mdude anayajua vizuri maeneo ya pale, anajua uwezo wa wananchi kupambana na watu walio jihami na bunduki.
Iwapo watu hawana uwezo wa kupambana Unazani Mdude anashindwa nini kufanya vile ili apande chati kisiasa.

Yote yanawezekana, na anaweza kuwa alifanya hivyo baada ya safari ya JPM ili ionekane kabisa kwamba ametekwa lakini huwezi ukajiumiza mwenyewe ndio maana leo anadunda na msafi kabisa.
 
1. Alipoteza fahamu, waulize watekaji walimuweka wapi, alizinduka akiwa porini.
2. Alikuwa amepoteza fahamu, waulize madaktari mtu akipoteza fahamu anakula vipi?
3. Alikuwa amevimba uso mzima siku amepatikana picha zipo, makovu ni matokeo ya vidonda, je ulimuona na kidonda?
4. Kuomba msamaha, kwani watekaji walimuambia kosa lake?
5. Walimuacha wakijua wamemuua, unaweza kumpa maelekezo maiti?
Slipoteza fahamu kwa muda gani?
 
Mkuu nategemea sana ufafanuzi wako maana wewe ndiwe mubobezi kwenye mambo yaha.
Tafadhari ukipata nafasi ubandike bandiko lako hapa.

Ukiona naliandika hilo neno hapo mwishoni na naliwekea rangi hiyo Nyekundu jua lina ' Unyeti ' wake na ' Kimaadili ' sitoenda mbele au zaidi ya hapo. Labda nikuache na hili tu kwamba duniani kote ule Mfumo wa hawa mnaowaita Wasiojulikana ambao Watanzania wengi huwa mnawadhania kuwa ni Taasisi fulani kama kweli wakikutaka huwezi Kuchomoka na hawawezi Kukuteka hivyo halafu wakakuacha salama ili uje uzungumze na Media kama hivyo badala yake iwe isiwe ni lazima tu watakuondoa mazima mazima. Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa huyo Jamaa ametekwa na hao Watu ' Wasiojulikana ' ambao nyie wengi wenu mnadhani ni Watu wa kutoka ' Idara ' fulani ' Nyeti ' hapa Tanzania.
 
Mdude alifikiri atapata kiki, lkn imegoma kwanza watu walianza kumptezea na wengine wakiunga mkono Alichofanyiwa sababu ya matusi yake.
 
asa si ndo hapo sasa.

Umeongea point sana.

Mimi huwaga siamini kabisa yani.huyo wakimuua wanapata hasara gani?
Ni vijiwatu flani tuu walimkamata wakamtonosa kidogo tu.

Idara sio zembe kiasi kile
Ukiona naliandika hilo neno hapo mwishoni na naliwekea rangi hiyo Nyekundu jua lina ' Unyeti ' wake na ' Kimaadili ' sitoenda mbele au zaidi ya hapo. Labda nikuache na hili tu kwamba duniani kote ule Mfumo wa hawa mnaowaita Wasiojulikana ambao Watanzania wengi huwa mnawadhania kuwa ni Taasisi fulani kama kweli wakikutaka huwezi Kuchomoka na hawawezi Kukuteka hivyo halafu wakakuacha salama ili uje uzungumze na Media kama hivyo badala yake iwe isiwe ni lazima tu watakuondoa mazima mazima. Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa huyo Jamaa ametekwa na hao Watu ' Wasiojulikana ' ambao nyie wengi wenu mnadhani ni Watu wa kutoka ' Idara ' fulani ' Nyeti ' hapa Tanzania.
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.
[/QUOTE KAMA UNAONA MDUDE JITEKA KWANINI NAWEWE USIJITEKE AU UNAONA ANATAFIDI KUKAA NAMAUMIVU NA KUPAUKA KWA FUVU NAWEWE SIUIGE KULIKO KUJA NA MAMBO YA ZIHAKA WAKATI UNAONA MTU YU HOI KAMAUNAONA WIVU FANYA NAWEWE UTUPE MAJIBU HUMU
 
Hapo mimi nitakujibu hivi.

Mdude anayajua vizuri maeneo ya pale, anajua uwezo wa wananchi kupambana na watu walio jihami na bunduki.
Iwapo watu hawana uwezo wa kupambana Unazani Mdude anashindwa nini kufanya vile ili apande chati kisiasa.

Yote yanawezekana, na anaweza kuwa alifanya hivyo baada ya safari ya JPM ili ionekane kabisa kwamba ametekwa lakini huwezi ukajiumiza mwenyewe ndio maana leo anadunda na msafi kabisa.
Una speculate. Conspiracy theories. Yaani wewe unaweza kujiingiza kwenye shida yote hiyo, lengo liwe nini hasa, huruma? ILi iweje? NIni ingekuwa motivation ya kufanya yote hayo? Labda mtu awe na mawazo ya kiwendawazimu kama yako ya kujiteka.
 
Una speculate. Conspiracy theories. Yaani wewe unaweza kujiingiza kwenye shida yote hiyo, lengo liwe nini hasa, huruma? ILi iweje? NIni ingekuwa motivation ya kufanya yote hayo? Labda mtu awe na mawazo ya kiwendawazimu kama yako ya kujiteka.
Siasa ina lipa. Watu wanapewa madili kuteka na kuuwa watu.Pengine wewe una roho ya utu lakini wanasiasa wengi walishapoteza utu.
 
Siasa ina lipa. Watu wanapewa madili kuteka na kuuwa watu.Pengine wewe una roho ya utu lakini wanasiasa wengi walishapoteza utu.
Mkuu, kuna vitu havifikiriki. Ndio maana nikakuambia ni mwendawazimu tu anaweza kufanya unalosema labda Mdude alifanya.
 
Bavicha huwa hawaishi maigizo ili wajiongezee umaarufu, labda unaweza kuta kuna jimbo anamendea hivyo anajipanga kwa kiki kwakuwa mwakani nako sio mbali.

Kwa simulizi zake anakwambia jamaa walikua wanampiga viatu vya kichwa tu. Bavicha bwana.
 
Ukiona naliandika hilo neno hapo mwishoni na naliwekea rangi hiyo Nyekundu jua lina ' Unyeti ' wake na ' Kimaadili ' sitoenda mbele au zaidi ya hapo. Labda nikuache na hili tu kwamba duniani kote ule Mfumo wa hawa mnaowaita Wasiojulikana ambao Watanzania wengi huwa mnawadhania kuwa ni Taasisi fulani kama kweli wakikutaka huwezi Kuchomoka na hawawezi Kukuteka hivyo halafu wakakuacha salama ili uje uzungumze na Media kama hivyo badala yake iwe isiwe ni lazima tu watakuondoa mazima mazima. Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa huyo Jamaa ametekwa na hao Watu ' Wasiojulikana ' ambao nyie wengi wenu mnadhani ni Watu wa kutoka ' Idara ' fulani ' Nyeti ' hapa Tanzania.
Hapo nimekuelewa. Mi pia nimejikuta napata shida kuamini. Kijana yuko vizuri sana hana hata chembe ya pressure wala woga wala mtikisiko. Haogopi kwamba wanaweza wakarudi usiku. Kijana namaliza press conference yake anarudi kulala kwake anakula analala fofo. Kijana anaongea na waandishi wa habari as if anaongelea maendeleo kumbe jambo la hatari. Amepigwa sana lakini hana hata mkwaluzo.

Nimeogopa.
 
We mpuuzi kweli,unatuuliza sisi kwani we uko nchi gani? Acheni propaganda za kitoto.
Shetani wewe asiulize kwanini?mazuzu kama nyie ndiyo mnachezewa michezo ya kijinga kama kuihadaa jamii eti mmetekwa na watu wasiojulikana wkt ni sehemu ya majukumu ya kazi zenu,shit holes!!
 
Ukiona naliandika hilo neno hapo mwishoni na naliwekea rangi hiyo Nyekundu jua lina ' Unyeti ' wake na ' Kimaadili ' sitoenda mbele au zaidi ya hapo. Labda nikuache na hili tu kwamba duniani kote ule Mfumo wa hawa mnaowaita Wasiojulikana ambao Watanzania wengi huwa mnawadhania kuwa ni Taasisi fulani kama kweli wakikutaka huwezi Kuchomoka na hawawezi Kukuteka hivyo halafu wakakuacha salama ili uje uzungumze na Media kama hivyo badala yake iwe isiwe ni lazima tu watakuondoa mazima mazima. Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa huyo Jamaa ametekwa na hao Watu ' Wasiojulikana ' ambao nyie wengi wenu mnadhani ni Watu wa kutoka ' Idara ' fulani ' Nyeti ' hapa Tanzania.

Kitengo hicho hakikwepi kubeba lawama kwa yanayotokea sasa au huko nyuma. Isipokuwa ni mabadiliko tu yamefanyika.

Si lazima wakuue au kukuweka stoo ufe kwa maradhi ya ngozi na njaa!!

2017 ulikuwa ukitekwa huonekani kabisa ila kuanzia mwaka jana wanatekwa na kurudi.

Mdude alitekwa ila hatokaa aseme yale yaliotokea huko alikokuwa na makubaliano yao!

Kinachotokea hivi sasa kwa Mdude ni yeye kucheza na akili za wafuasi wake, kuwaaminisha yale anayohisi hayatamtoa kwenye msitari wa alioyasimamia huko nyuma ili kuonesha haogopi yanayomtokea!!

Mdude atapotea mtandaoni na Mdude si ajabu akarudi kusoma tena huko Congo na kupotea kabisa!!

Yule jamaa hayupo sawa kabisa ila anajitutumua tu!

**

Walichofanikiwa hadi sasa watekaji ni kucheza na akili za watu na kutuacha tukishusha lawama nyingi kwa watekwaji kuliko watekaji!

Nondo; Roma na Mo pia Mdude hawatakaa wakwambie kilichowakuta!!

Yawezekana sio idara ila ni idara ilioko ndani ya idara bila wana idara kujua!!!
 
Back
Top Bottom