John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)

Mkuu ulishaangalia muvi? Mtu anapigwa lisasi anavunjik vunjika na picha zinatoka afu kesho yake unamuona yuko anakula starehe?

Mateso ya kipigo anacholia Mdude kinaweza pona kwa siku Mbili kweli hata kovu hakuna?
Mabondia wana dundwa mpaka wanzirai baada ya 5 minutes wako poa tu
 
Mabondia wana dundwa mpaka wanzirai baada ya 5 minutes wako poa tu
Kwani wewe hujui kuwa majeraha aliyo yapata Mdude yalisibitishwa na Mganga mkuu wa Hospitali ya rufaa ya serikali Mjini Mbeya?
 
Mdude alifikiri atapata kiki, lkn imegoma kwanza watu walianza kumptezea na wengine wakiunga mkono Alichofanyiwa sababu ya matusi yake.
Mimi siwezi kuhakiki kutekwa kwa Mdude, lakini Kama katekwa waliomteka walimpa Kiki kubwa na Kama kajiteka kafanikiwa kwa kujipa kiki kubwa, kiasi kwamba vyombo va habari, pamoja na mitandao ya kijamii duniani viliandika na kuamini kuwa alikuwa ametekwa na kumtaja kuwa NI mwanaharakati na mkosoaji wa serikali #Mdude
 
Nimejaribu kuangalia maelezo ya mdude kuhusu kutekwa nikawa na maswali haya. Naamini yumo humu hivyo basi anijibu ama kama kuna anae jua anisaide pengine sikusikia.

1. Hizo siku zote nne alikuwa amewekwa wapi?
2. Alipewa chakula?
3. Mateso ya siku hizo zote yalikuwa ni kupigwa kichwa tu? Mbona hakina hata kovu?
4. Alitoa maelezo gani kwa watesi wake? Aliomba msamaha wamusamehe? Aliwaambia hata wakimuua ataendeleza harakati?
5. Hao watesi wake walipomuacha walimupatia maelekezo gani?

Utetezi wa mdude umekuwa too low to confirm japo nakemea kwa nguvu zote hawa watu wasio julikana.
Ni ujinga kama anaoleta huyu mleta mada ndio unachochea watu ku-react kwa lugha Kali ambayo wajinga haohao wanatafsiri kuwa ni matusi. Mtu aliyefunzwa vizuri hawezi kukutesa akaacha alama mwilini kwako kama ushahidi.
 
Ni ujinga kama anaoleta huyu mleta mada ndio unachochea watu ku-react kwa lugha Kali ambayo wajinga haohao wanatafsiri kuwa ni matusi. Mtu aliyefunzwa vizuri hawezi kukutesa akaacha alama mwilini kwako kama ushahidi.
Toa ndondoo zako. MAtusi waachie watoto.
 
Mkuu ulishaangalia muvi? Mtu anapigwa lisasi anavunjik vunjika na picha zinatoka afu kesho yake unamuona yuko anakula starehe?

Mateso ya kipigo anacholia Mdude kinaweza pona kwa siku Mbili kweli hata kovu hakuna?

Wewe unataka kovu kwani umeambiwa alikatwa au alichinjwa, unajua maana ya kovu kweli wewe? Kwa hiyo umeenda hospitali alikotibiwa wakakuambia alikuwa ana-act movie? Kupona haraka kwa mtu ni suala la immunity yake tu. Kama unakaa na uvimbe wa kuumia miaka miwili ni wewe.
 
Wewe unataka kovu kwani umeambiwa alikatwa au alichinjwa, unajua maana ya kovu kweli wewe? Kwa hiyo umeenda hospitali alikotibiwa wakakuambia alikuwa ana-act movie? Kupona haraka kwa mtu ni suala la immunity yake tu. Kama unakaa na uvimbe wa kuumia miaka miwili ni wewe.
Sawa mkuu endelea kuinamisha kuchwa.
 
Hiyo namba 5 unaonekana umetumwa kuandika mana haiwezekani ujishushe hivyo

Ni common sense tu, huhitaji kusoma hadi darasa la saba kumuelewa mdude aliposema baada ya kumpiga sana walisema "tumeshamuuwa".
 
Kumbuka mdude ni mwana siasa.

Tundu lissu mpaka leo nipo 50/50 kama kweli alipigwa risasi.

Mwanasiasa akikuambia "vipi hali hali kaka" nenda chooni hakikisha jinsia yako then rudi umuitikiee "salama" kama kweli wewe ni kaka

Endelea kukaa chooni.
 
Historia huwa haifutiki maana hata kama mtachoma na kufuta vitabu, magazeti na picha video watu lazima wasimuliane na kupeana historia.


Sasa huyu kijana ambae sasa yupo lupango na anashitakiwa kwa kuuza ngada na sasa anasota. Nani alimteka kinyama namna ile?

Ikumbukwe kuwa kulikuwa na ziara ya aliyekuwa mkuu wa nchi nyakati hizo, na alipokuwa anahitimisha ziara yake inasadikiwa Mdude Nyagali alitekwa na watu wasiojulikana.

Mdude alisimulia kuwa alijikuta ndani ya gari baada ya kuburutwa kwa nguvu, na kilichoendelea ni kupigwa magumi, mateke na kutishiwa bastola. Alikuja kuokotwa na wasamalia wema ambao walimsadia kuokoa uhai wake.

Nani alilteka huyu mtu ambae mimi binafsi sioni impact yake kubwa kisiasa hapa Tanzania.


image_search_1618504796629.jpg
 
Mama Samia alisema wafungwa wote wakisiasa waaachiwe
Wamemgomea, hata vyombo vya habari kaagiza vyote vifunguiwe ila wamedharau wanasema eti kasema ni online tv tu, yaani Rais atoe statement ya kufungua online TV kweli?? Kwanza watanzania wengi hata hawajui online TV ndiyo nini
 
Wamemgomea, hata vyombo vya habari kaagiza vyote vifunguiwe ila wamedharau wanasema eti kasema ni online tv tu, yaani Rais atoe statement ya kufungua online TV kweli?? Kwanza watanzania wengi hata hawajui online TV ndiyo nini
Duh!
 
Back
Top Bottom