Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anza kwanza kwa kutoa hiyo profile picture. Maana unataka kunifanya nipige simu chini.Ok.tupaze sauti zetu
Arafu afadhari hata wangekuwa wanatekwa na wao wa fisiem, lkn saizi wanaotekwa ni CDM arafu wanajifanya sio wao! bongo hii inavituko hii maana maisha tunayoishi kila siku kama vile movie.Hawa jamaa hawajaelewa tu kutekanatekana ni mambo ya kisenge ?
Kuna siku watu watachoka shauri zao
we ndo walewale kina jinga laoHuyu ametekwa na Chadema ili wapate huruma ya watz lakini sisi hatuna mpango tunaendelea na kazi zetu tu!
Leo naishia hapa nimeweka na alama ili siku nyingine niwe na kiporo cha kumaliziaUtanyooka tu!
Asante kwa kuishia hapo mkuu!!! Nilifikiri kuna kichaa amevamia JF.Leo naishia hapa nimeweka na alama ili siku nyingine niwe na kiporo cha kumalizia
Mkuu kumbe una busara mimi nilidhani wewe sio mzimaAsante kwa kuishia hapo mkuu!!! Nilifikiri kuna kichaa amevamia JF.
Naingia kanisani kusali baadae!Mkuu kumbe una busara mimi nilidhani wewe sio mzima
Uniombee na mimi mkosefuNaingia kanisani kusali baadae!
We mjinga sana. Itieni nchi kwenye LAANA tu kwa damu za watu.MAANA DAMU ZA WATU MLIOWAUWA ZIMEANZA KUSOGEZA VIMBUNGA KUJA KWETU.NAKUHAKIKISHIA KAMA HAMTAACHA KUUWA NDANI YA MIAKA MIWILI AU MITATU IJAYO TUTAANZA KUPATA MALIPIZI KWA DAMU ZAO. NAOMBA WAKATI HUO UKIFIKA NAO UFURAHIE KAMA UNAVYOFURAHIA HAYA MAUWAJI.MAANA NI MALIPIZI YA DHAMBI ZENU ZA MAUWAJI.Huyu nae atasahaulika kama saa nane. Mdogo mdogo mwisho watatia adabu.
Hizo damu zilijaa laana ndio maana zimeuawa. Usihofu juu ya hilo. Mbona we mwenye haki hujauawawa kohelethi?We mjinga sana. Itieni nchi kwenye LAANA tu kwa damu za watu.MAANA DAMU ZA WATU MLIOWAUWA ZIMEANZA KUSOGEZA VIMBUNGA KUJA KWETU.NAKUHAKIKISHIA KAMA HAMTAACHA KUUWA NDANI YA MIAKA MIWILI AU MITATU IJAYO TUTAANZA KUPATA MALIPIZI KWA DAMU ZAO. NAOMBA WAKATI HUO UKIFIKA NAO UFURAHIE KAMA UNAVYOFURAHIA HAYA MAUWAJI.MAANA NI MALIPIZI YA DHAMBI ZENU ZA MAUWAJI.
Sikia ndugu madhara ya dhambi yanawagusa hata wasiohusika.Mfano mauti inatawala toka Adam mpaka kwetu tusiofanya dhambi inayofanana na Adam.watu wanakufa hata kwa dhambi wasiozishiriki.kwa hiyo madhara yakija yatagusa mzee anayetembea kwa mkongoja mpaka mtoto anayenyonya. UNADHANI HAYA MAUWAJI YANAYOFANYWA MUNGU ANAYARIDHIA?. KUEPUSHA HAYA MALIPIZI YA DHAMBI TUNA NAFASI YA KUTUBU NA KUACHA.Hizo damu zilijaa laana ndio maana zimeuawa. Usihofu juu ya hilo. Mbona we mwenye haki hujauawawa kohelethi?
we uko salama kwa kiasi gani?Kwinyara nae awe macho
wameanza tena..........