Pre GE2025 John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427

Pre GE2025 John Mrema: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa hadi sasa ni 427

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa mchakato wa kuwakamata Wanachana na Viongozi wa Chama hicho unaendelea.

Akizungumza na JamiiForums amesema “Hadi kufikia leo Asubuhi (Agosti 12, 2024) jumla ya Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Nchi nzima ni 427, wapo waliokamatwa Morogoro, Dodoma, Iringa, Njombe-Makambako, Mbeya na Rukwa- Sumbawanga.”

Pia Soma:
 
Nauona mwisho wa CCM. anayewashauri kukamata kamata wapinzani basi anawapotosha. Kiufupi janga la Kenya halijawapa somo tu viongozi wetu! Watanzania wanewafanya wajisahau sasa. Mama nchi itamshinda!!!
 
CCM wanahofia kushindwa kwenye chaguzi zijazo wameamua kutumia mitutu ya bunduki kuikabili Chadema, aibu sana.
Ni uhayawani tu Wa CCM. Huwa wanafurahi wakimuona mtu au watu wanaowachukia wakiteseka. Wataogopaje uchaguzi unaosimamiwa na tume waliyouunda wenyewe, wahesabu kura waliowaeka wenyewe na watangaza matokeo waliowateua wenyewe?. Au hukumsikia Nape wewe? Ni watu waliojawa na uovu uliokithiri ndio mana wanafanya hayo. Ni starehe kwao.
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa mchakato wa kuwakamata Wanachana na Viongozi wa Chama hicho unaendelea.

Akizungumza na JamiiForums amesema “Hadi kufikia leo Asubuhi (Agosti 12, 2024) jumla ya Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Nchi nzima ni 427, wapo waliokamatwa Morogoro, Dodoma, Iringa, Njombe-Makambako, Mbeya na Rukwa- Sumbawanga.”

Pia Soma ~ Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwa uwanja wa Ndege Songwe
Wakifanya makosa wasikamatwe?
 
Makosa gani wamefanya we mala.a unayejidai mshika dini.
Watakamatwa bila kosa?

Ukileta habari ulete za ukweli.

Wengine tunafahamu, chadomo hawana sera wala ilani, ni wahuni tu waleta fujo. Wakikamatwa hatushangai.
 
Nauona mwisho wa CCM. anayewashauri kukamata kamata wapinzani basi anawapotosha. Kiufupi janga la Kenya halijawapa somo tu viongozi wetu! Watanzania wanewafanya wajisahau sasa. Mama nchi itamshinda!!!
Huu mwisho wenzio walianza kuuona 1977, ajabu mpaka leo ipo inadunda.
 
Huu mwisho wenzio walianza kuuona 1977, ajabu mpaka leo ipo inadunda.
Tatizo ni mazoea. Viongozi wetu wanaishi kimazoea! Haya mazoea nayaona yakiwatoa kwenye marisho yao!
 
Watu waliotekwa na kukamatwa ni wengi sana, John Mrema anapaswa kutoa takwimu sio za jana na leo tuu, atoe takwimu zote.
"Serikali dhalimu na ya kidektata huogopa watu wake".
 
Wakifanya makosa wasikamatwe?
Bibi kichaa punguani ukiambiwa utaje makosa waliyoyafanya, una uwezo wa kutaja hata moja?

Huyu bibi anachofanya sasa hivi ni sawa na jambazi lililoingia nyumbani mwako, likaiba mali zako, halafu likajihami kwa majambia kutaka kuwamaliza wenye mali, likiamini kwa kufanya hivyo litakuwa salama.

Jambazi limepora bandari, limepora mbuga za wanyama na hifadhi za misitu. Sasa linajihami kwa majambia kuwaangamiza wenye mali, likiamini litakuwa salama.

Lilaanike jambazi hili hadi na wazao wake
 
Bibi kichaa punguani ukiambiwa utaje makosa waliyoyafanya, una uwezo wa kutaja hata moja?

Huyu bibi anachofanya sasa hivi ni sawa na jambazi lililoingia nyumbani mwako, likaiba mali zako, halafu likajihami kwa majambia kutaka kuwamaliza wenye mali, likiamini kwa kufanya hivyo litakuwa salama.

Jambazi limepora bandari, limepora mbuga za wanyama na hifadhi za misitu. Sasa linajihami kwa majambia kuwaangamiza wenye mali, likiamini litakuwa salama.

Lilaanike jambazi hili hadi na wazao wake
Nitaje mimi makosa badala ya kutaja aliyedai wamekamatwa?

Polisi kuna kukamatwa na kuna kuzuiliwa, pia kiuna kuhifadhiwa.

Mleta mada ndiyo atwambie wamekamatwa kwa makosa yepi?

Siyo kila linaloandikwa kwenye mitandao lina ukweli, nyingine ni propaganda za siasa majitaka.

Sasa hayo matusi ya nini? Hoja zimekushinda?
 
Mbona wachache sana? Sasa wanataka kuleta fujo wasikamatwe? Madereva wa magari yao walikuwa wamelewa, wangeweza kusababisha ajali. Gari zilikuwa na harufu ya mihadarati
 
Back
Top Bottom