Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa mchakato wa kuwakamata Wanachana na Viongozi wa Chama hicho unaendelea.
Akizungumza na JamiiForums amesema “Hadi kufikia leo Asubuhi (Agosti 12, 2024) jumla ya Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Nchi nzima ni 427, wapo waliokamatwa Morogoro, Dodoma, Iringa, Njombe-Makambako, Mbeya na Rukwa- Sumbawanga.”
Pia Soma: