Ni mwehu kutoka Mirembe anayeweza kuelewa hiyo falsafa yako! Utawala bora ni pamoja na kuzingatia katiba na sheria. Mihemuko ya Samia na ushenzi wa Awadhi Haji ndiyo furaha ya wehu kama wewe!kiusalama,
muhalifu kaidi ni sharti adhoofishwe kwanza, adhubitiwe ndipo sasa hatua nyingine kama ambavyo umeeleza zinaweza kufuata...
inafanyika hivyo ili kunusuru kutokea taharuki, uharibifu na pengine maafa yasisababishwe na mtuhumiwa kaidi na pengine aliejizatiti kuleta fujo 🐒