Wamefanya kosa gani?Wakifanya makosa wasikamatwe?
Hebu taja kosa walilofanya na adhabu yake.
Tuanzie hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanya kosa gani?Wakifanya makosa wasikamatwe?
KANU UNIP bado vipo ila vimekuwa vya Upinzani😁Huu mwisho wenzio walianza kuuona 1977, ajabu mpaka leo ipo inadunda.
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa mchakato wa kuwakamata Wanachana na Viongozi wa Chama hicho unaendelea.
Akizungumza na JamiiForums amesema “Hadi kufikia leo Asubuhi (Agosti 12, 2024) jumla ya Wanachama na Viongozi wa CHADEMA waliokamatwa Nchi nzima ni 427, wapo waliokamatwa Morogoro, Dodoma, Iringa, Njombe-Makambako, Mbeya na Rukwa- Sumbawanga.”
Pia Soma:
Kwanini mimi ndiye nilyezuwa kuwa kuna waliokamatwa? Unaumwa nini?Wamefanya kosa gani?
Hebu taja kosa walilofanya na adhabu yake.
Tuanzie hapo.
Wamefanya kosa gani,jibu acha upumbavu.Watakamatwa bila kosa?
Ukileta habari ulete za ukweli.
Wengine tunafahamu, chadomo hawana sera wala ilani, ni wahuni tu waleta fujo. Wakikamatwa hatushangai.
Nijibu mimi badala ya kumuuliza aliyeleta huu uzushi? Au ni ushuzi?Wamefanya kosa gani,jibu acha upumbavu.
Kuzuwa ❌Kwanini mimi ndiye nilyezuwa kuwa kuna waliokamatwa?
Uzushi gani wakati wewe ndio umetoa hitimisho kwa kusema wanavunja sheria ndio nikakuuliza wamevunja sheria ipi?Muulize mleta mada aliyekuja na huo uzushi.
Kwani nimeuliza kuhusu matibabu hapo kwenye swali langu ajuza?Au Unaumwa nini
Mara mbili?? Ishamshinda tayariNauona mwisho wa CCM. anayewashauri kukamata kamata wapinzani basi anawapotosha. Kiufupi janga la Kenya halijawapa somo tu viongozi wetu! Watanzania wanewafanya wajisahau sasa. Mama nchi itamshinda!!!
Pole SANA nasikia upo kwenye EDA 🤣🤣🤣 ndo maana unakuwa mkali, na matumaini ya kurejewa madogo mno😅😅pole sana 🐸Nijibu mimi badala ya kumuuliza aliyeleta huu uzushi? Au ni ushuzi?
Punguwani wahed.
Umeelewa?Kumbe