Pre GE2025 John Mrema: Wanataka kunifukuza uanachama. Wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anaowapigia kelele wamuone wapo wanatupiana lawama kwa pesa walizotumia kwa Mbowe na mkeka ukachanika!
 
Aseme nini kama sio majungu tu.
Akileta fyoko fukuza huyo mpuuzi akabwekee huko nje.
Uchaguzi umekwisha, huo upuuzi wake kwa nini hakuusema mapema?
 
Ondoka bwashee
 
What caused the collapse of Chagga empire?

1. Mugabelism
2. Failure to cope with time
3. Leaders' hypocrisy and indifference
4. Honey tasting
5. Political calamities
6. Yericko Nyerere, Wenje, Boni Yai and Ntobi.
7. Lissu's fanaticism, Heche's flamboyance and Mbowe's fake calm demeanor.
8. Kuchokwa na watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…