issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
Hatutaki walamba asali,, shariti la kwanza waliolamba asali wote wakajisahau na kugeuka machawa tunawafekerea mbaliTeam Lissu ni nyoko sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki walamba asali,, shariti la kwanza waliolamba asali wote wakajisahau na kugeuka machawa tunawafekerea mbaliTeam Lissu ni nyoko sana.
Lissu ana roho mbaya sana tangu apigwe risasi akili zake zimekaa upande.Huyo anatafuta huruma tu hakuna agizo lolote la kumfukuza anajishuku tu.
Sikuwahi kujua kuwa huna akili kwa kiwango hiki.Lissu ana roho mbaya sana tangu apigwe risasi akili zake zimekaa upande.
Sikuwaji kujua kuwa wewe ni mjinga wa kiwango hiki.Sikuwahi kujua kuwa huna akili kwa kiwango hiki.
Aseme nini kama sio majungu tu.
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
alifanyeje kwani huyu broIla wanampenda sana... mpaka muda huu wa saa 12 jioni bado yupo tu... yaani bado tu ni mwanachama wa Chadema???? Daah hakika Lissu hana kisasi
Lakini ni haki yake kutoa maoni.Huyo anatafuta huruma tu hakuna agizo lolote la kumfukuza anajishuku tu.
Uchaguzi umekwisha, huo ujinga wake angeusema kabla.Kama ni kweli anachoongea Mrema basi ni makosa CHADEMA tumatakiwa tuonyeshe kuheshimu freedom of Speech kwa vitendo.
Yericko NyerereYerico mengele
Ondoka bwashee
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
Hajakatazwa hata kufanya hiyo press yeye mwenyewe guilty consciousness ndiyo inamtesaLakini ni haki yake kutoa maoni.
mbatia naye alifukuzwa nccrHata mboe akikaa vibaya anaweza kufukuzwa