Pre GE2025 John Mrema: Wanataka kunifukuza uanachama. Wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Press baada ya uchaguzi ni kuingiza fujo. Hali idhibitiwe ili kutoa nafasi kwa utawala mpya kujenga umoja.
 
Huko Chadema watu wa Tawi au kata tu wanaweza kumfuta mtu uanachama ? Au ni mbinu kukichafua çhama chini ya Lissu kimtindo.
 
Ukichagua lissu, umechagua u stronger katika chama.

Ukichagua mbowe umechagua u togetherness katika chama.
 
Mwenyekiti anautaka uongozi wa nchi, na hakuna kipindi ganda la ndizi kama kipindi hiki katika kinyang'anyiro(in mwasha kububujikwa'z voice).

Hivyo hatokubali/hawezi kukubali matabaka ndani ya chama na hilo analiweza, mie namkubali, amenyooka kama Magufuli japo waligombanishwa(so sad )

Akiruhusu makundi,
Your browser is not able to play this audio.
Atawatumia watu wa ndani kama kombora kumwangamiza singida one
 
Mpaka sasa hivi ni kauli yake tu hatujasikia mwingine akisema, ila mbona kuna watu kama Yericho Mengele akina Ntobi kina Wenje mbona hatusikii maneno?

Huo mkutano wa waandishi wa habari anaotaka kuufanya baada ya uchaguzi una heri? Kwa nini asifanye mkutano na uongozi?
 
hivi huyu mrema anasema "... wanataka ...." wameshinda" kwani yeye hayuko CHADEMA?!
 
LISSU KAANZA KAZI YAKE .
WANAOMPENDA LISSU HAPO HAJASHIKA TZ ....
AKISHIKA SIMNASEMA CCM INAWAUZA HUYU KILA BAYA MLILOKUWA MNALIOTEA TAZ HUYU ATATIMIZA NA ZAIDI .
HUYU MTU NI MBINAFSI , ROHO MBAYA IPO NA HAITATOKAGA . SASA ANAWANYIMA UHURU WENZAKE WA CHADEMA. ELEWENI HUYU NI JOTO na BADO ANASHANGILIA YANGA TUTAKOMA
 

Attachments

  • Screenshot_20250125_101735_Facebook.jpg
    266.6 KB · Views: 2
Hata mwezi haujafika tokea uchaguzi,anataka kuzungumza nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…