Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siri ya daktari.Ugonjwa Gani?
Uliko sikia wewe. Sijui hapo unatega nini ila uelewe hata yeye mwenyewe hakutaka kupelekwa huko ni viongozi walilazimisha wenyewe. Naambiwa alitaka apelekwe Muhimbili.
Nakumbuka story za John tangu akiwa mwanafunzi wa Mkwawa sekondari. Alikuwa toto tundu na kumlazimisha JK akampigie magoti mwalimu mkuu kuepusha mwanae John asifukuzwe shule.
Likawa somo kubwa sana kwa viongozi kwamba heshima kwa taratibu za shule iheshimiwe. Mwalimu mkuu alipandishwa cheo kwa kumfukuza John badala ya mategemeo ya wengi kwamba rais angemfukuza.
Siku hizi watoto wa wakubwa hawaguswi kuepusha zari kwa wakuu wa shule hizo kuchomekewa kila aina ya adha. Very intelligent John alikuwa kioo cha wanafunzi wenye kupenda kujifunza kwa matukio ya John na usomaji wake.
RIP John.
Huyo rose ni nani?RiP Rose
kwahiyo unataka kusema yeye anauwezo wa kuchagua kifo kimkute wapi? kufikiri kwa makalio taabuu sana.Angekuwa Rizimomo tungesikia kafia Paris au Usa!