TANZIA John Nyerere afariki dunia

Pole sana Karen kwa kupotelewa na mzazi Mungu akutie nguvu katika kufunua ukarasa mpya
 
Poleni kwa msiba.

Ila kuweni macho yericko nyerere asije akaanza kutapeli watu kwa kuchangisha michango ya rambi rambi na kutokomea nayo kuzimu.

Maana huku mtaani anazid kuongopea watu kuwa yeye ni mwama wa damu wa nyerere pia.
 

Sio John mkuu, ni Andrew Nyerere
 
RIP BRO,Kazi yako ipo na itatukuka kizazi kijacho 👊
 
Poleni Sana wafiwa.

Familia ya Baba wa Taifa inazidi Kupukutika.

IRP. ROSE.
 
Zaburi 39:4

BWANA, unijulishe mwisho wangu,
Na kiasi cha siku zangu ni kiasi gani;
Nijue jinsi nilivyo dhaifu.

RIP JJ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…