Nakumbuka story za John tangu akiwa mwanafunzi wa Mkwawa sekondari. Alikuwa toto tundu na kumlazimisha JK akampigie magoti mwalimu mkuu kuepusha mwanae John asifukuzwe shule.
Likawa somo kubwa sana kwa viongozi kwamba heshima kwa taratibu za shule iheshimiwe. Mwalimu mkuu alipandishwa cheo kwa kumfukuza John badala ya mategemeo ya wengi kwamba rais angemfukuza.
Siku hizi watoto wa wakubwa hawaguswi kuepusha zari kwa wakuu wa shule hizo kuchomekewa kila aina ya adha. Very intelligent John alikuwa kioo cha wanafunzi wenye kupenda kujifunza kwa matukio ya John na usomaji wake.
RIP John.