John Obi Mikel: Familia za Kiafrika zinachangia kuwavuruga Wachezaji waliofanikiwa kifedha

John Obi Mikel: Familia za Kiafrika zinachangia kuwavuruga Wachezaji waliofanikiwa kifedha

Ndo maisha ya waafrika mtu una hangaika , unateseka saa nyingine unakutana na kifo uso kwa uso kuyatafuta mafanikio.
La kushangaza ukisha yapata hayo mafanikio ndugu wanarazimisha yawe ya ukoo mzima.

Hapa Africa usipo kuwa mnonko utoboi.
Jamaa kasema ukweli waafrika ukifanikiwa tu ukoo wote unakutegemea

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
Huo ndo ukweli wa wazi kabisa,yaani ukifanikiwa,wewe unakua sehemu ya kupitishia pesa tu.Pesa zikikufikia hazikai,zinapitiliza,all in all hiyo ni culture yetu sisi waafrika.Mtu mwingine hadi anasema bora asingefanikiwa,maana haifaidi pesa yake.Pole kwa waliofanikiwa,ila ambao hatujafanikiwa,tujifunze kuhisi maumivu wabayoyapata wale ambao wanatusaidia,wakisema hawana,tuwaelewe,na muda mwingine tujiongeze,maisha ni magumu.
 
Ndio maana Waafrika wakifika Ulaya, Marekani, Canada na nchi nyingine za wazungu wanapata shida sana kuishi,
Wenyewe wanasema hakuna maisha ya ujamaa na community!
 
Huo ndo ukweli wa wazi kabisa,yaani ukifanikiwa,wewe unakua sehemu ya kupitishia pesa tu.Pesa zikikufikia hazikai,zinapitiliza,all in all hiyo ni culture yetu sisi waafrika.Mtu mwingine hadi anasema bora asingefanikiwa,maana haifaidi pesa yake.Pole kwa waliofanikiwa,ila ambao hatujafanikiwa,tujifunze kuhisi maumivu wabayoyapata wale ambao wanatusaidia,wakisema hawana,tuwaelewe,na muda mwingine tujiongeze,maisha ni magumu.
Mafanikio yako yanakuwa ya ukoo mzima na ukoo wa mkeo Afrika bara la ajabu sana

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
Mafanikio yako yanakuwa ya ukoo mzima na ukoo wa mkeo Afrika bara la ajabu sana

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Baadhi ya ndugu na marafiki,ukiwa unastrago,hawakupi msaada,tena wengine wanakupiga majungu usifanikiwe,ukifanikiwa tu,yaani hata namba hutajua wameitoa wapi,full kukupiga mizinga.Kuna mwanajeshi mmoja nilikua naongea nae majuzi hapa,daah! hadi anatia huruma,mara aombwe hela za kulimia,mara aombwe hela za matibabu,wengine hata hasaumwi,wanasingizia tu,sasa tunaelekea miezi ya sikukuu,kidogo nimshauri abadilishe laini,anapigwa misinga kinoma.
 
Africa Unaweza kuombwa mara kumi na ukatoa bila shida. Ikitokea mara moja ukasema huna. Unageuka mbaya na kuitwa una roho mbaya. Ishi nao kwa akili.
Na uwepo wa simu pia,umeleta hasara kwa jamii zetu kwa upande flani,zamani ilikua ukienda nyumbani unaenda kumaliza lawama zote kwa maramoja baada ya kutokwenda kwa miaka let's say miwili,ila kwasababu ya simu,mtu akipata namba yako,anataka hatakama kaishiwa umeme,umsaidie pesa,ukimnyima lawama zinaanza,ingawa unamsaidiaga siku nyingine.
 
emmanuel adebayor aligombana mpka na mama yake mzazi na ndugu zake karibia wote.

ishu yake ilienda viral sana .
wengine ambao nimewahi wasikia
kuna
michael Essien
paul pogba nk
 
Na uwepo wa simu pia,umeleta hasara kwa jamii zetu kwa upande flani,zamani ilikua ukienda nyumbani unaenda kumaliza lawama zote kwa maramoja baada ya kutokwenda kwa miaka let's say miwili,ila kwasababu ya simu,mtu akipata namba yako,anataka hatakama kaishiwa umeme,umsaidie pesa,ukimnyima lawama zinaanza,ingawa unamsaidiaga siku nyingine.
Daaah kama umeongea ukweli aseeeh! Hivi zamani mizinga mizinga hii ilikuepo kweli?! Maana nakumbuka barua tulikua tunaandikiana hata mara moja kwa mwaka. Labda urudi likizo kijijini
 
Obi mwenyewe anaongea ivyo kwa sababu yeye katoboa vinginevyo na yeye angekua anapiga mizinga ndugu waliotoboa. Mifumo ya maisha yetu Afrika haipo vizuri katika kumwezesha mtu afikie potential yake kwaiyo kufanikiwa ni kama bahati nasibu tu. Ukifanikiwa wainue ndugu zako hao wazungu tunaotaka kujifananisha nao wao maisha yao yapo systematic kuanzia mtu anapozaliwa mpaka anafikia kujitegemea.
 
Na uwepo wa simu pia,umeleta hasara kwa jamii zetu kwa upande flani,zamani ilikua ukienda nyumbani unaenda kumaliza lawama zote kwa maramoja baada ya kutokwenda kwa miaka let's say miwili,ila kwasababu ya simu,mtu akipata namba yako,anataka hatakama kaishiwa umeme,umsaidie pesa,ukimnyima lawama zinaanza,ingawa unamsaidiaga siku nyingine.
Nilijifunza sana kuogopa aina ya watu wanaopenda kuombaomba wengi wana roho mbaya na wakosa shukrani. Natoa nikitaka. Hata mimi nikiwa na shida nisipopata msaada huwa sinung'uniki maana najua kusaidiwa na mtu ni hiari si lazima.
 
Shida ni kuwa Africa ndugu zetu hututabilia mabaya tukiwa wadogo .

Ukifanikiwa wanashangaa wanahitaji uwasaidie na wao kwa lazima maana wanahisi umebahatisha wasijue ulivyopambana .

Wapiga mizinga , tia block
Wachunguzi wa mambo yako yasiyowahusu tia block
Ndugu waanafiki tia block
Ndugu mwenye kupenda kusaidiwa kila muda na hajitumi tia block .

Yaani ni block tu mpaka waseme .
 
Obi mwenyewe anaongea ivyo kwa sababu yeye katoboa vinginevyo na yeye angekua anapiga mizinga ndugu waliotoboa. Mifumo ya maisha yetu Afrika haipo vizuri katika kumwezesha mtu afikie potential yake kwaiyo kufanikiwa ni kama bahati nasibu tu. Ukifanikiwa wainue ndugu zako hao wazungu tunaotaka kujifananisha nao wao maisha yao yapo systematic kuanzia mtu anapozaliwa mpaka anafikia kujitegemea.
Inaonekana na wewe ni ombaomba kama anaowasema obi.
Chanzo cha umaskini wa Afrika ni utamaduni unaoutetea huwezi mtegemea mwenzako afanye kazi alafu wewe upewe tu ukimaliza unaomba tena huo ni utahira umaskini hauwezi kuisha
 
Mnasingizia tu waafrika japo Kwa kiasi ni kweli. Wengi waliofilisika sio sababu ya ndugu, wengi ni anasa na wanawake mfano Eboue alifilisiwa na ndugu?. Ukifanikiwa mrushie kamba na mwenzio afanikiwe. Unamiliki magari kumi ya kifahari lkn kusaidia maneno meengi
 
Obi amelelamika kuhusu familia yake kumtegemea yeye kwa vitu vingi. Na kuzaa watoto wengi kisha yeye yupo na pesa.

Kasema hata dada zake wamezaa watoto wengi kwa sababu kaka yupo wa kulea watoto.
IMG-20231120-WA0003.jpg


Soma hapa kwa undani

Nafikili anakwenda kuloss pesa nyingi kwa hio ishu.
 
Ni ubinafsi tu, kwa pesa aliyonayo Obi, hata wangezaa watoto 20 kila mmoja anao uwezo kuhudumia. tujifunze kuwa watoaji kuliko wapokeaji ili tupate thawabu mbinguni, maisha sio hapa duniani pekee. sasa imemsaidia nini kusadia hao wajomba na kuja kuwananga dunia nzima ijuwe? akifa leo familia au watoto wa obi watakuwa ndugu wa kweli wa hao wajomba ambao amewaaibisha? ukiwa na kitu mpe mtu kama una uwezo huo, na ukimpa usimnange na wala usihitaji shukrani.
 
Ni ubinafsi tu, kwa pesa aliyonayo Obi, hata wangezaa watoto 20 kila mmoja anao uwezo kuhudumia. tujifunze kuwa watoaji kuliko wapokeaji ili tupate thawabu mbinguni, maisha sio hapa duniani pekee. sasa imemsaidia nini kusadia hao wajomba na kuja kuwananga dunia nzima ijuwe? akifa leo familia au watoto wa obi watakuwa ndugu wa kweli wa hao wajomba ambao amewaaibisha? ukiwa na kitu mpe mtu kama una uwezo huo, na ukimpa usimnange na wala usihitaji shukrani.
Umesikiliza interview yake yote???
Jinsi familia yake ilivyompangia majukumu na wanavyo mfanya jamaa??
 
Back
Top Bottom