Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama una shida ya macho kimbia haraka CCBRTMbona picha hazina uhalisia!?
Stay TunedDuh, nchi inatikisika. Yaaani huo ndio mkusanyiko mzito?
Swali lako ni zuri ila ni la kijingaLisu na Lema wanafanya nini Ulaya?
Ni kazi gani inayowaingizia kipato huko
🤣🤣🤣Mbona kama wapo kwenye kibanda umiza wanaangalia mechi ya Arsenal vs Wolvermptom?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kusanyiko utafikiri mkutano wa wazazi wa shule za chekechea.......
CHADEMA mnafanya maskhara na SIASA ninyi......
Wao ni wakimbizi wa kisiasa kwa vigezo vyote vya kimataifa,na ukichangia na kesi ya Mwenyekiti Mbowe inaongeza uhalali wa kuwa wakimbizi,kwa mabalozi wamehudhuria mahakamani na wamejionea udhaifu/ukandamizaji wa haki kwenye mahakama na serikali kwa ujumla. Kwa hiyo wanatunzwa Kama wakimbizi wote wanavyotunzwa.Lisu na Lema wanafanya nini Ulaya?
Ni kazi gani inayowaingizia kipato huko
Tunakuletea moja kwa moja kutoka mikoa yote Tanzania , endelea kubaki JFWamekaa kama vile kanisa la walokole[emoji13]
For how long?Stay Tuned
Lete vitu kamanda.. here we go... CCM imetuchelewesha sana...Tunakuletea moja kwa moja kutoka mikoa yote Tanzania , endelea kubaki JF
🤣🤣Wamekaa kama vile kanisa la walokole[emoji13]
una mawazo membamba mno !Ni aibu kwa CHADEMA kuendelea kupanga pale uchochoroni mtaa wa ufipa.....
Hivi wanashindwaje "kuJOIN THE CHAIN"kwa kuipiga harambee ya kujenga ofisi zenye hadhi ama wanaogopa kuwa "YULE ASIYEPINGWA" atazitafuna tu fedha hizo kama kawaida yake?!!! [emoji1787][emoji1787]
Wakimbizi eee?!! 🤣🤣Wao ni wakimbizi wa kisiasa kwa vigezo vyote vya kimataifa,na ukichangia na kesi ya Mwenyekiti Mbowe inaongeza uhalali wa kuwa wakimbizi,kwa mabalozi wamehudhuria mahakamani na wamejionea udhaifu/ukandamizaji wa haki kwenye mahakama na serikali kwa ujumla. Kwa hiyo wanatunzwa Kama wakimbizi wote wanavyotunzwa.