Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Grandiosity ndicho kilema chako dadangu RBC 🤣🤣una mawazo membamba mno !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Grandiosity ndicho kilema chako dadangu RBC 🤣🤣una mawazo membamba mno !
Chadema kazi wanayoiweza ni kubwaka na kubwata tuUkiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine , Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania , Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake .
Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania .
Tabora :
View attachment 2130727
Mtwara:
View attachment 2130729
Yule mwanasheria wao kishawatafitia wa kuwahudumiaLisu na Lema wanafanya nini Ulaya?
Ni kazi gani inayowaingizia kipato huko
Waulize polisiChadema kazi wanayoiweza ni kubwaka na kubwata tu
Join the chain ya Chadema lakini wanaolia ni ccm !Yule mwanasheria wao kishawatafitia wa kuwahudumia
Tanesco Msikate Umeme , tafadhalini sana
Wacha niunge VPN yangu fasta maana Hangaya alivo na gubu hakawii kuichezea twitterUkiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.
Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.
Tabora:
View attachment 2130727
Mtwara:
View attachment 2130729
Kweli huenda nina shida ya macho, maana hiyo picha ya pili ninaiona kama chumba cha Mganga wa Jadi.Kama una shida ya macho kimbia haraka CCBRT
Kinachoniacha hoi ni pale CCM inavyuo vingi lakini inategemea viongozi waliopikwa na MBOWE kuongoza. Tena inawanunua kwa gharama kubwa sana.[emoji1787][emoji1787]
Hawana nyimbo hao....
Wenzao CCM wamezindua bonge la chuo cha uongozi pale Kibaha...wao mpaka wapate "VISKOLASHIP" vya wiki tatu tatu kupitia CDU kilichoshindwa vibaya uchaguzi huko Ujerumani.....
But join the chain ni kitu gani? CHADEMA wametangaza sana, but wakiulizwa hawajibu.Ukiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.
Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.
Tabora:
View attachment 2130727
Mtwara:
View attachment 2130729
Hili ni kosa la kiufundi kwa CCM. Uwawie radhi wameshaanza kulirekebisha.Kinachoniacha hoi ni pale CCM inavyuo vingi lakini inategemea viongozi waliopikwa na MBOWE kuongoza. Tena inawanunua kwa gharama kubwa sana.
una dk 45 tu kupata jibuBut join the chain ni kitu gani? CHADEMA wametangaza sana, but wakiulizwa hawajibu.
HongereniUkiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.
Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.
Tabora:
View attachment 2130727
Mtwara:
View attachment 2130729
Jinsi ya kufuatilia tukio kubwa la JOIN THE CHAIN , Ni rahisi sana .
YOUTUBE - CHADEMA MEDIA
CLUB HOUSE - CHADEMA TANZANIA
TWITTER - CHADEMA - TZ
FACEBOOK - CHADEMA IN BLOOD
Ukiingia humo tu umejiunga live bila chenga .
Kuanzia saa 10 kamili kwa saa za Tanzania .
Kweli kabisa baba yako anahusika kwenye ndoa yao.Sema unaogopa kusema tu wameolewa
Tuko tayari kujoin the Chain of FreedomUkiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.
Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.
Tabora:
View attachment 2130727
Mtwara:
View attachment 2130729
Jinsi ya kufuatilia tukio kubwa la JOIN THE CHAIN , Ni rahisi sana .
YOUTUBE - CHADEMA MEDIA
CLUB HOUSE - CHADEMA TANZANIA
TWITTER - CHADEMA - TZ
FACEBOOK - CHADEMA IN BLOOD
Ukiingia humo tu umejiunga live bila chenga .
Kuanzia saa 10 kamili kwa saa za Tanzania .
Nyie mliopanga maghorofani uchaguzi bila polisi huwa mnashinda?Ni aibu kwa CHADEMA kuendelea kupanga pale uchochoroni mtaa wa ufipa.....
Hivi wanashindwaje "kuJOIN THE CHAIN"kwa kuipiga harambee ya kujenga ofisi zenye hadhi ama wanaogopa kuwa "YULE ASIYEPINGWA" atazitafuna tu fedha hizo kama kawaida yake?!!! 🤣🤣