Tunaongelea michango mnayokusanya sasa kwenye join the chain usihamishe madaHivi yule bosi wa TAKUKURU aliyewahoji viongozi wa chadema kuhusu ruzuku baada ya kudanganywa na Lijuakali yuko wapi ?
kama Michango hewa mbona unalia ?Chadema mko juu sana kwa michango hewa hongereni
Tatizo lako ni mbovu kwenye kutoa updates..Tanesco Msikate Umeme, tafadhalini sana.
Naita michango hewa sababu pesa real hukusanywa lakini matumizi huwa hewa na ripoti hamtoi mnatokomea Gizani kuzila gizanikama Michango hewa mbona unalia ?
Maana yangu ni kwamba , ukileta uongo kuhusu hela za chadema utapotezwa na MunguTunaongelea michango mnayokusanya sasa kwenye join the chain usihamishe mada
kipi ulichokikosa mkuu ?Tatizo lako ni mbovu kwenye kutoa updates..
Ulitakiwa urudi utoe mrejesho mkuu
Ulitakiwa utoe mrejesho nini kiliongelewa na matokeo yakekipi ulichokikosa mkuu ?
Unataka ripoti tukupe wewe ?Naita michango hewa sababu pesa real hukusanywa lakini matumizi huwa hewa na ripoti hamtoi mnatokomea Gizani kuzila gizani
Mkuu tunatakiwa kuonyesha uwezo mbadala wa kiuongozi...ni pamoja na kujibu hoja kwa hoja haijalishi ikoje na sio vitisho.Maana yangu ni kwamba , ukileta uongo kuhusu hela za chadema utapotezwa na Mungu
Uzi huu niliuanzisha ukiwa Live , lakini kabla hata sijaomba maji ya kunywa wakubwa wakaondoa ile nembo ya Live , kwahiyo ikanifanya niache ku update , nikaacha mtiririko uende kama wakubwa wanavyotaka , ili kuepusha mkanganyiko na wakubwaUlitakiwa utoe mrejesho nini kiliongelewa na matokeo yake
Nimesema wapeni chadema wenzenu huko ripoti ya hizo bilioni 15 mlizokusanya ndani Ya masala mawili mimi sihitaji hiyo ripotiUnataka ripoti tukupe wewe ?
Laana ya Mungu kuhusu uzushi na uongo haina uhusiano na vifo vya kawaidaMkuu tunatakiwa kuonyesha uwezo mbadala wa kiuongozi...ni pamoja na kujibu hoja kwa hoja haijalishi ikoje na sio vitisho.
Kufa watakufa watu wote usifanye hivyo.
Chadema ina vikao vya chama ambavyo mambo yote huamuliwa huko , mnashindwa kupata taarifa ya vikao vyetu kwa vile wale mamluki waliokuwa wanavujisha taarifa tumewatimuaNimesema wapeni chadema wenzenu huko ripoti ya hizo bilioni 15 mlizokusanya ndani Ya masala mawili mimi sihitaji hiyo ripoti
Sikusema kwamba waliufuta na ndio maana hata leo upo na tunaujadili , Bali waliondoa alama ya Live , unajua bado ile Join the chain haikueleweka vizuri , wao walidhani join the chain ni tundu lissu kuongea tu , hawakujua kwamba miji yote nchini Tanzania na duniani ilikuwa imeandaa Kumbi na TV zao zile pana , kwa ajili ya kusikia yatakayoongelewa , sasa haya maandalizi hayakuonekana kama yako Live , nadhani ndio maana ile nembo iliondolewa , nadhani walitaka live ianze baada ya Lissu kuanza kuhutubia .Kwani jf nayo wameufyata?
Maxence Melo
Ikiwa uzi haukiuki sheria za jf kwanini mnazifuta au ku edit?
Sisi tuliochanga hatuhitaji hata reportUnataka ripoti tukupe wewe ?
Siku hizi wanafuta nyuzi nyingi au ku edit mkuu...sijaandika kwa ajili yako pekeeSikusema kwamba waliufuta na ndio maana hata leo upo na tunaujadili , Bali waliondoa alama ya Live , unajua bado ile Join the chain haikueleweka vizuri , wao walidhani join the chain ni tundu lissu kuongea tu , hawakujua kwamba miji yote nchini Tanzania na duniani ilikuwa imeandaa Kumbi na TV zao zile pana , kwa ajili ya kusikia yatakayoongelewa , sasa haya maandalizi hayakuonekana kama yako Live , nadhani ndio maana ile nembo iliondolewa , nadhani walitaka live ianze baada ya Lissu kuanza kuhutubia .
Naamini walikosea kidogo , ila siamini kama waliogopa
Wewe umeshajiunga inatosha.Join the Chain ni mkusanyiko wa dunia nzima...
Hiki ni kitu kizuri lakini watafanikiwa tu endapo watamuacha hayati JPM to Rest In Peace maana wanaunganisha maji na mafuta hawatafanikiwa kamwe!Ukiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.
Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.
Tabora:
View attachment 2130727
Mtwara:
View attachment 2130729
Jinsi ya kufuatilia tukio kubwa la JOIN THE CHAIN , Ni rahisi sana .
YOUTUBE - CHADEMA MEDIA
CLUB HOUSE - CHADEMA TANZANIA
TWITTER - CHADEMA - TZ
FACEBOOK - CHADEMA IN BLOOD
Ukiingia humo tu umejiunga live bila chenga .
Kuanzia saa 10 kamili kwa saa za Tanzania .
Huyu anahusikaje na Join the chain ?Hiki ni kitu kizuri lakini watafanikiwa tu endapo watamuacha hayati JPM to Rest In Peace maana wanaunganisha maji na mafuta hawatafanikiwa kamwe!