Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hawa nyumbu ukitaka kuwaambia ukweli watapinga, wewe wasifie tuu maana hii nyomi ni zaidi ya mafuriko ya Lowassa.Duh, nchi inatikisika. Yaaani huo ndio mkusanyiko mzito?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa nyumbu ukitaka kuwaambia ukweli watapinga, wewe wasifie tuu maana hii nyomi ni zaidi ya mafuriko ya Lowassa.Duh, nchi inatikisika. Yaaani huo ndio mkusanyiko mzito?
Mbona wewe unapakatwa na polepole plus ile ky yako uliacha kwake,bladifakenLissu na Lema wanafanya nini Ulaya?
Ni kazi gani inayowaingizia kipato huko
.
Sababu ya kwamba wanamkimbia Magufuli kumbe ilikuwa uongo tu??
Kulelewa raha
Nyumbu huwa hawajibu, watakutukana tuu.But join the chain ni kitu gani? CHADEMA wametangaza sana, but wakiulizwa hawajibu.
Mawazo ya kipuuzi na yenye kebehi yanastahili kupuuzwa. Na hamna mtu amewahi kutafuta sympathy kwako na hiyo siku haitatokea mpaka siku jua ligande na liwe la barafu.Ndiyo kawaida yenu, mkipewa mawazo muna IGNORE, yakiwapata mnaanza kutafuta sympathy
Mfate kuzimu ukimkosa mcheki Jehanamu.....Ujinga Ujinga 2
[emoji38][emoji38][emoji38]Mfate kuzimu ukimkosa mcheki Jehanamu.....
Yaani mambo huelewi unakurupuka tu .Duh, nchi inatikisika. Yaaani huo ndio mkusanyiko mzito?
Matusi, utajibiwa usikasirikeLissu na Lema wanafanya nini Ulaya?
Ni kazi gani inayowaingizia kipato huko
.
Sababu ya kwamba wanamkimbia Magufuli kumbe ilikuwa uongo tu??
Kulelewa raha
kwa masaa mawili tu kuanzia saa 10 hadi 12 jana kwa saa za Tanzania ilipatikana bil 15 za madafuHiyo join the chain campaign hadi muda hu chadema mumeingiza shilingi ngapi? Huwa mko vizuri sana kwa Lugha laini laghai kuomba michango ila mkiombwa report ya kilichopatikana mnakuwa wakali kama pilipili.Mnakuwa tu join thechsin kuchangia sio join the chain kupokea report ya kilichopatikana pia
Haya hadi sasa mumekusanya shilingi ngapi?
Sijakrupuka.Yaani mambo huelewi unakurupuka tu .
Ok asante kwa taarifa.Chadema mumesikia chama tayari kina bilioni 15kwa masaa mawili tu kuanzia saa 10 hadi 12 jana kwa saa za Tanzania ilipatikana bil 15 za madafu
Join the Chain ni mkusanyiko wa dunia nzima , tumepata michango kutoka hadi UKRAINE , halafu wewe kapuku wa akili unaona watu wa Tabora unaconclude , Poor you !Sijakrupuka.
mpaka sasa zaweza kufika 500Ok asante kwa taarifa.Chadema mumesikia chama tayari kina bilioni 15
Kazi kwenye kusimamia matumizi ya hizo bilioni 15
Kukusanya ni kitu kimoja na matumizi ni kitu kingine.Tajiri Sabodo alitoa mabilioni kujenga chuo cha siasa cha Chadema Zikaliwa zote hata kiwanja hakikununuliwa cha chuo au cha ofisi ya makao makuu
Mwenyekiti Chadema njombe nakala kwako mna bilioni 15 tayari
Simamieni vizuri hizo bilioni 15 mlizokusanya ndani ya masaa mawili.
Haina shida fikisheni hata matrilioni cha msingi uwazi wa kilichopatikana na uwazi wa matumizi kwa wanachama wenumpaka sasa zaweza kufika 500
Chadema mko juu sana kwa michango hewa hongereniJoin the Chain ni mkusanyiko wa dunia nzima , tumepata michango kutoka hadi UKRAINE , halafu wewe kapuku wa akili unaona watu wa Tabora unaconclude , Poor you !
Mawazo ya kipuuzi na yenye kebehi yanastahili kupuuzwa. Na hamna mtu amewahi kutafuta sympathy kwako na hiyo siku haitatokea mpaka siku jua ligande na liwe la barafu.
Amandla...
Hivi yule bosi wa TAKUKURU aliyewahoji viongozi wa chadema kuhusu ruzuku baada ya kudanganywa na Lijuakali yuko wapi ?Haina shida fikisheni hata matrilioni cha msingi uwazi wa kilichopatikana na uwazi wa matumizi kwa wanachama wenu
Hongereni kukusanya mipesa yote hiyo