Join the Chain: Wananchi waanza kujaza kumbi, Lissu kuongoza watoa mada, mtikisiko mkubwa wasubiriwa

Join the Chain: Wananchi waanza kujaza kumbi, Lissu kuongoza watoa mada, mtikisiko mkubwa wasubiriwa



Kama haya matukio toka sehemu zote ni ya kweli, basi kumbe ni halali CCM na serikali yao kuwa na hofu na hatima yao dhidi ya CHADEMA kiasi cha kutumia njia za kimafia kujaribu kuwazuia/kuwadhibiti

Njia wanazotumia CCM kupambana na CHADEMA ni sawa na mwehu mmoja anayejaribu kuzuia maporomoko ya mto kwa mikono!

Tundu Lissu yuko Ubelgij, anahutubia kwa zoom video conference. Cha ajabu maelfu wamejitokeza kumsikiliza ktk kumbi mbalimbali nchini kote.

Huyu MTU influence yake kwa watu no kubwa sana.
 
Ukiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.

Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.

Tabora:

View attachment 2130727

Mtwara:
View attachment 2130729


Jinsi ya kufuatilia tukio kubwa la JOIN THE CHAIN , Ni rahisi sana .

YOUTUBE - CHADEMA MEDIA
CLUB HOUSE - CHADEMA TANZANIA
TWITTER - CHADEMA - TZ
FACEBOOK - CHADEMA IN BLOOD


Ukiingia humo tu umejiunga live bila chenga .

Kuanzia saa 10 kamili kwa saa za Tanzania .
Sema mtoa mada nlkua nakuheshimu sana kumbe bure kabisa..yaan huo ndo mkutano mzito[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..kama kikao Cha wazazi wa wanafunzi wa chekechea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sema mtoa mada nlkua nakuheshimu sana kumbe bure kabisa..yaan huo ndo mkutano mzito[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..kama kikao Cha wazazi wa wanafunzi wa chekechea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umefuatilia Join the chain , au hata ulijua ni nini ?
 
Kama haya matukio toka sehemu zote ni ya kweli, basi kumbe ni halali CCM na serikali yao kuwa na hofu na hatima yao dhidi ya CHADEMA kiasi cha kutumia njia za kimafia kujaribu kuwazuia/kuwadhibiti

Njia wanazotumia CCM kupambana na CHADEMA ni sawa na mwehu mmoja anayejaribu kuzuia maporomoko ya mto kwa mikono!

Tundu Lissu yuko Ubelgij, anahutubia kwa zoom video conference. Cha ajabu maelfu wamejitokeza kumsikiliza ktk kumbi mbalimbali nchini kote.

Huyu MTU influence yake kwa watu no kubwa sana.
Hakuna hata moja la uongo
 
Kama haya matukio toka sehemu zote ni ya kweli, basi kumbe ni halali CCM na serikali yao kuwa na hofu na hatima yao dhidi ya CHADEMA kiasi cha kutumia njia za kimafia kujaribu kuwazuia/kuwadhibiti

Njia wanazotumia CCM kupambana na CHADEMA ni sawa na mwehu mmoja anayejaribu kuzuia maporomoko ya mto kwa mikono!

Tundu Lissu yuko Ubelgij, anahutubia kwa zoom video conference. Cha ajabu maelfu wamejitokeza kumsikiliza ktk kumbi mbalimbali nchini kote.

Huyu MTU influence yake kwa watu no kubwa sana.
Strategy nzuri sana hii Chadema mabingwa wa UBUNIFU...kweli technology ni kitu INGINE
 
Kama huko ndiyo kujaza kumbi, basi chadema inapumulia kwenye mashine!
1645839271831.png
 
Kama haya matukio toka sehemu zote ni ya kweli, basi kumbe ni halali CCM na serikali yao kuwa na hofu na hatima yao dhidi ya CHADEMA kiasi cha kutumia njia za kimafia kujaribu kuwazuia/kuwadhibiti

Njia wanazotumia CCM kupambana na CHADEMA ni sawa na mwehu mmoja anayejaribu kuzuia maporomoko ya mto kwa mikono!

Tundu Lissu yuko Ubelgij, anahutubia kwa zoom video conference. Cha ajabu maelfu wamejitokeza kumsikiliza ktk kumbi mbalimbali nchini kote.

Huyu MTU influence yake kwa watu no kubwa sana.
Kwani unadhani Ni uongo, unadhani CCM kwanini hawaangaiki na kina Rungwe,Zitto,dovutwa wako bize na kina Lissu na Mbowe
 
Kama haya matukio toka sehemu zote ni ya kweli, basi kumbe ni halali CCM na serikali yao kuwa na hofu na hatima yao dhidi ya CHADEMA kiasi cha kutumia njia za kimafia kujaribu kuwazuia/kuwadhibiti

Njia wanazotumia CCM kupambana na CHADEMA ni sawa na mwehu mmoja anayejaribu kuzuia maporomoko ya mto kwa mikono!

Tundu Lissu yuko Ubelgij, anahutubia kwa zoom video conference. Cha ajabu maelfu wamejitokeza kumsikiliza ktk kumbi mbalimbali nchini kote.

Huyu MTU influence yake kwa watu no kubwa sana.
 
CCM na Police wao leo wamejifunza kitu.
Hakika, wamebakiwa na mshangao.
CHADEMA iliyotikisa nchi ile ya wakati ule Dr Slaa! Wakaja kupotea njia baada ya kuingia tamaa ya kuitaka dola kupitia kwa Lowassa.
Bahati mbaya sana wengi wa wana CHADEMA hawapendi kukosolewa. Kila anayewakosoa wanamrukia kwa matusi na kashfa..
 
Ukiacha habari za uvamizi wa Urusi huko Ukraine, Habari nyingine kubwa ni hii inayoitwa JOIN THE CHAIN iliyoletwa na CHADEMA Tanzania, Huu ni mkusanyiko mzito kuwahi kufanywa na Chadema tangu kuundwa kwake.

Wakati muda ukisubiriwa kwa hamu na wadau wa ndani na nje ya nchi hii hapa ndio hali halisi huko mikoani nchini Tanzania.

Tabora:

View attachment 2130727

Mtwara:
View attachment 2130729


Jinsi ya kufuatilia tukio kubwa la JOIN THE CHAIN , Ni rahisi sana .

YOUTUBE - CHADEMA MEDIA
CLUB HOUSE - CHADEMA TANZANIA
TWITTER - CHADEMA - TZ
FACEBOOK - CHADEMA IN BLOOD


Ukiingia humo tu umejiunga live bila chenga .

Kuanzia saa 10 kamili kwa saa za Tanzania .
Kwa nyomi hii lazima mchukue nchi, kweli mtikisiko ni mkubwa kuzidi Vita ya Russia na Ukraine.
Chadema mpango wa mungu.
 
Back
Top Bottom