Yeye mwenyewe kama ni strong enough anaweza kumfanya mkaka yeyote mwenye mapenzi mema kwake kuwa mwenye hadhi ya mjini. Hao ready made wanamuumiza moyo tu.jokate atafute mkaka Mwenye hadhi mjini hawa wabana pua hawamfai
Huyo manager hana lolote anamaliza alikiba tu nguvu za kiume ndio maana jukwaani anacheza kama tahira
Ahahaaa njoo kwangu nikuleeMie pia napenda watu walio nizid umri, so ni kawaida tu.
HahahahaAhahaaa njoo kwangu nikulee
Mpuuzi grade A+ tatizo la hawa wanajiita mastaa uchwara wa nchi hii eti ukiwa staa lazima uwe na mpenzi staa, mtaendelea kuchezeana mpaka mwisho wa dunia, hata mkioana hamdumu kwa sababu wote mnaishi maisha fake sio halisi, pole Jojo
Njoo kwangu uenjoy furaha ya Maisha
Ahahaaaa njoo PM unitajie umri wako. Tena uje na cheti cha kuzaliwa og usiwe km bashite [emoji28] [emoji23] [emoji23]Hahahaha
My lady, its not abot kulelewa its about maturity
Sema wewe una maturity even though naweza kuwa nimekupita maiaka mingi
Hajabugi kwa kuwa mapenzi yake na 7 ni sehemu ya kazi, so wakigombana wala hawata pata shidaIla kiba kabugi. Mapenzi na kazi ni sawa na mlenda na pilau. Kesho na keshokutwa kazinguana na huyo 7 si ndo kifo cha kibakuli?
HahahahahaAhahaaaa njoo PM unitajie umri wako. Tena uje na cheti cha kuzaliwa og usiwe km bashite [emoji28] [emoji23] [emoji23]
Sky, mi nahisi FA material za wasinii au celebrities alizo kuwa ana zitaka nyngi zilimtolea nje.Kwa hili nimeipenda style ya Mwanafalsafa, amejichukulia binti mzuri tu wala hajulikani ameoa. Fikiria angeoa mmoja wa bongo flava au bongo movie.
Really Seven Mosha anatoka na AllyKatumika na kutemwa ila apunguze nyondo, lakini nae hakujua mwenzake alitaka kiki tu.
Manager ake ana enjoy now
Hahahaha.Sky, mi nahisi FA material za wasinii au celebrities alizo kuwa ana zitaka nyngi zilimtolea nje.
Ndio ikabidi arud kitaa kutulia
Kabugi bna. Wakigombana si ndo umeneja kushnehi.Hajabugi kwa kuwa mapenzi yake na 7 ni sehemu ya kazi, so wakigombana waka hawata pata shida
Huu utani wa ngumiAhahaaaa njoo PM unitajie umri wako. Tena uje na cheti cha kuzaliwa og usiwe km bashite [emoji28] [emoji23] [emoji23]
Nipo nakungojea nashangaa hufiki. Sijui umekwamia wapi we jamaaHahahahaha
Nakuja na ntakuja na walimu wangu na wanakijiji wawili, pia ntakupa cheti cha form four.