Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Unaweza jiuliza mpaka ukakufuru Mungu.
Wewe nitakupigia kura
Mungu alisha maliza kazi yake, Mwanaume atabaki kua Mwanaume, na Mwanamke atabaki kua Mwanamke tu! Haya mengine yote ni mbwembwe tu za wanawake!!Bwana wanawake wasikutishe hata awe amesoma kiasi gani[emoji23]
I beleive walijua mapema nature ya mwanamke is why wako kama walivyoMwandishi wa Biblia na Qur'an hakua Mjinga, ushawahi ona imamu Mwanamke au Shekhe mkuu Mwanamke au Padrii Mwanamke au Paroko Mwanamke au Askofu Mwanamke? Kwanini hakuna?
Think tank ya chama chawala hiiMmewe akigombea urais hatompa kura yake
[emoji3][emoji3][emoji3] huyu si msichana tena that was 15 years agoHuo ni Ubaguzi wa Kijinsia [emoji54] huyu Msichana anawazimu?!
Mimi hata sielewiView attachment 2927475
"Tutakwenda kuhakikisha tunaongeza ushiriki wa Wanawake kwenye hizi chaguzi kwa Wanawake wenyewe kugombea. Ufike mwisho wakati wa Wanawake kuwa ndugu watazamaji na wasindikizaji na ifike mwisho Wanawake kuwa ni sehemu ya kuwapigia kura Wanaume wakati ninyi mna uwezo wa kugombea".
Jokate Mwegelo
Katibu Mkuu- Umoja wa Wanawake Tanzania, CCM (UWT)
Mara ya mwisho,nakumbuka,tulikubaliana msichana mwisho miaka 18 kwenda chini.Forgotten?Huo ni Ubaguzi wa Kijinsia 😯 huyu Msichana anawazimu?!
Ila usizubae na kuwachekea sana.Kuna muda uwe mkali.Mungu alisha maliza kazi yake, Mwanaume atabaki kua Mwanaume, na Mwanamke atabaki kua Mwanamke tu! Haya mengine yote ni mbwembwe tu za wanawake!!
🤣 🤣 🤣Huo ni Ubaguzi wa Kijinsia 😯 huyu Msichana anawazimu?!
🤣 🤣 🤣Yeye yule aliemtia mimba akafanikiwa kumzalisha sio kwamba alimpigia kura akamkabidhi sifuri zero yake aweke kitu ndani au anataka kusemaje amepata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu? Alafu kabla ya kuropoka jichuje kwanza sio unaropoka tu vingine utaropoka kumbe unapotoka
🤣🤣🤣Okay nilikuwa siwaelewi wataliban sasa naanza kuwaelewa.
🤣🤣🤣Acha udikteta wako.
🤣 🤣 🤣Leo ni siku ya wenye uke Duniani
🤣 🤣 🤣Think tank ya chama chawala hii