Pre GE2025 Jokate Mwegelo: Wanawake ifike mwisho kuwapigia kura wanaume

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi hata sielewi
 
Huyu ndio kaharibu kabisa!!!

Yaani kanifanya mwakani nichukue fomu ya urais Kwa tiketi ya CCM kabisaa!!

Wanawake watanipigia kura nyingi!!
 
Side Kuna vitu sio hata vya kuongea mbele za watu maana Ni aibu kauli gani hizi Sasa?Yaani hata Kama atawekwa mtu na kivuli kichaguliwe kivuli kisa tu Ni kivuli Cha mwanamke?hapana
 
🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…