Jokate nae yumo?

Jokate nae yumo?

Unaona unavyozid kuonesha ujinga wako,mtu hata alitumia nokia ya kitochi na wewe juma lokole ukawa na apple haikufanyi kuwa smart upstairs,logg off uende kwa jamaa zako,huku utakuwa kituko tuh,just a piece of an adhice

uache upunga sasa,ujinga unapimwa kwa matokeo sio mabishano yasiyo na mwisho humu jukwaani.

halafu kuchangaya kiswahili na kiingereza kwenye sentensi moja ni aina ipi ya ujinga hii!!!maana kama shule unaonekana ulihudhuria.
 
msoga inc iko kwenye mission ya kukita mizizi.

inaanza kwa kuhakikisha inafuta legacy na aina yoyote ya masalia ya mwendazake.kisha ikikaa imekaa.

bibie na jicho lake la peponi kashatuuza[emoji23][emoji23][emoji23].
tumekwiiishaaa,ni swala la muda tu kila mtu atakiri.
Hivi mkuu wa wilaya ambaye ni CCM alikuwa ni huyo Sabaya peke yake, mbona wengine hawatajwi?
 
Hivi mkuu wa wilaya ambaye ni CCM alikuwa ni huyo Sabaya peke yake, mbona wengine hawatajwi?

hii mada ni madam jojo katajwa mkuu.
wanajaribu kusema alikuwa mweka hazina.

kwa hapi tutasema ndiye alikuwa anagawa silaha,chalamila ndiye mchoraji,na jeri alikuwa anawahifadhi wakitoka kubaka watu.
 
Shenzi mwenyewe,unanikasirikia mimi kwani huyu dhalim wenu nimemuua mimi?
Hakuna mpumbavu atafanya mnachotaka, pengine mtaharibu zaidi.

Nyinyi ni nani kila mtu mnataka akamatwe?

Mnajenga visasi, sasa hilo sanamu linafikiri likiondoka litanusurika?
 
hii mada ni madam jojo katajwa mkuu.
wanajaribu kusema alikuwa mweka hazina.

kwa hapi tutasema ndiye alikuwa anagawa silaha,chalamila ndiye mchoraji,na jeri alikuwa anawahifadhi wakitoka kubaka watu.
Eh makubwa!
 
Kipilimba kipindi yeye na kikosi chake kilichokuwa TISS kikiratibu utekaji wa wakosoaji mitandaoni.
[emoji117]Tunajulishwa kuwa OMBI LENU TUKUFU limefika mezani kwa KMK Katanda ili Rais atoe kibali cha kumkamata na kumhoji JOKATE MWANGELO(pichani) - kwa tuhuma za kuhusika kuhifadhi pesa https://t.co/2s7E5Bqt61

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi we mshana kweli si inawezekana ndo kigogo, ila unawaloga polisi mpaka tiss wanashindwa kukukamata.
 
Nchi hii ilikuwa ya watu wachache waliojifanya wazalendo kumbe mashetani wakubwa, wakifanya Mambo maovu gizani wakiamini Mungu hawaoni.
Sasa hivi yanapofichuka Kila mtanzania anafurahi na kushangiria na chadema nao ni watanzani.

KWANI CCM WANASEMAJE?
Umemjibu vyema huyu kenge
 
Unajua huwa nashangaa sana akili za baadhi ya watu kama nyie 😀😀
Labda nikuulize swali jepesi watamalizwa na nani? Mama samia? Mama samia ni chadema? Au sababu wamemtoa sabaya kafara kuwafurahisha mioyo na nyie mnaelekea kibra? Yani hamko smart kabisa. None of you can decode the political game. Sahivi chadema wote wanashangilia as if wamechukuwa nchi 😂😂😂
Hapa bongo Kuna political game gani?
Zaidi ya ujinga upumbavu na ubabe wa ccm
 
Naona jina lake nae limeanza kutajwatajwa mpaka Lema nae anamtaja.

Wacha tusubiri kuona huu mtandao ukiingia matatani kama kweli ipo dhamira ya kuwashughulikia.

Masikini Dada wa watu na urembo wake anaweza kutukumbusha ya Kanumba na yule dada mrembo(Lulu) aliekaa jela.
View attachment 1809814
Sasa haka nako ka nini jamani !! kwanza hakana mume!!! mkaachie bure.Mke hapigwi marungu wewe,hupigwa kwa upande wa khanga.

mbaya zaidi tena Mdada weee!! Mleta Mada wewe Rijali kweli au...upande wa pili?? Any way....


Mbali na hayo ya uzuri ni mremboooo!! Huyu mdada.jamani khaa!! Sijui Body guard ni ke au me!!

Hapa Lazima Ali kiba ajitolee kufungwa yeye.ili jokate awe huru.mdada kaipaisha kisarawe juu. Ke sijui wana kismat gani jmn...

Lkn pia naona mnahamu sana ya kushambuliwa na USA. Sababu
huyu Dada ni Mmarekani haswa kwa uraia wake!!

Na hajawai kuukana huo uraia wake hata siku moja. Jiwe liliingia kichwakichwa!! Bila kuhoji!!!


Na asikwambie mtu Marekani inapenda sana raia wake ni
Usipime!!

Siyo km bongo yetu hiyo....Wanachukia raia wao wa ughaibuni si kawaida eti tunaringa!!

Yaani ughaibuni wanatupenda kuliko hata ndugu zetu Bongo ndo maana haturudi tutakufia hukuhuku nawaambieni!!

Achilia mbali wa tanzania kwa ujumla wao!!

Mi Ndgu bana weee!! Ni sumu mbaya.. hata wakikuangalia hivi tu!

Kwa kile kijicho huta tamani kurudi kwao tena kamwe kisa diaspora!!

Richa ya Wengine umewapatia misaada kedekede lkn???heee!!!
 
Hakuna mpumbavu atafanya mnachotaka, pengine mtaharibu zaidi.

Nyinyi ni nani kila mtu mnataka akamatwe?

Mnajenga visasi, sasa hilo sanamu linafikiri likiondoka litanusurika?
Mjane wa mwendazake tuliza kishundu,wahalifu wote lazima washughulikiwe.
 
Naona jina lake nae limeanza kutajwatajwa mpaka Lema nae anamtaja.

Wacha tusubiri kuona huu mtandao ukiingia matatani kama kweli ipo dhamira ya kuwashughulikia.

Masikini Dada wa watu na urembo wake anaweza kutukumbusha ya Kanumba na yule dada mrembo(Lulu) aliekaa jela.
View attachment 1809814
IMG_20210607_084510.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa haka nako ka nini jamani !! kwanza hakana mume!!! mkaachie bure.Mke hapigwi marungu wewe,hupigwa kwa upande wa khanga.

mbaya zaidi tena Mdada weee!! Mleta Mada wewe Rijali kweli au...upande wa pili?? Any way....


Mbali na hayo ya uzuri ni mremboooo!! Huyu mdada.jamani khaa!! Sijui Body guard ni ke au me!!

Hapa Lazima Ali kiba ajitolee kufungwa yeye.ili jokate awe huru.mdada kaipaisha kisarawe juu. Ke sijui wana kismat gani jmn...

Lkn pia naona mnahamu sana ya kushambuliwa na USA. Sababu
huyu Dada ni Mmarekani haswa kwa uraia wake!!

Na hajawai kuukana huo uraia wake hata siku moja. Jiwe liliingia kichwakichwa!! Bila kuhoji!!!


Na asikwambie mtu Marekani inapenda sana raia wake ni
Usipime!!

Siyo km bongo yetu hiyo....Wanachukia raia wao wa ughaibuni si kawaida eti tunaringa!!

Yaani ughaibuni wanatupenda kuliko hata ndugu zetu Bongo ndo maana haturudi tutakufia hukuhuku nawaambieni!!

Achilia mbali wa tanzania kwa ujumla wao!!

Mi Ndgu bana weee!! Ni sumu mbaya.. hata wakikuangalia hivi tu!

Kwa kile kijicho huta tamani kurudi kwao tena kamwe kisa diaspora!!

Richa ya Wengine umewapatia misaada kedekede lkn???heee!!!
Eeeh jokate mmarekani halafu akapewa usaidizi wa raisi wa Tanzania?

Halafu mkuu umetunanga sana watanzania.
 
Back
Top Bottom