Naona jina lake nae limeanza kutajwatajwa mpaka Lema nae anamtaja.
Wacha tusubiri kuona huu mtandao ukiingia matatani kama kweli ipo dhamira ya kuwashughulikia.
Masikini Dada wa watu na urembo wake anaweza kutukumbusha ya Kanumba na yule dada mrembo(Lulu) aliekaa jela.
View attachment 1809814
Sasa haka nako ka nini jamani !! kwanza hakana mume!!! mkaachie bure.Mke hapigwi marungu wewe,hupigwa kwa upande wa khanga.
mbaya zaidi tena Mdada weee!! Mleta Mada wewe Rijali kweli au...upande wa pili?? Any way....
Mbali na hayo ya uzuri ni mremboooo!! Huyu mdada.jamani khaa!! Sijui Body guard ni ke au me!!
Hapa Lazima Ali kiba ajitolee kufungwa yeye.ili jokate awe huru.mdada kaipaisha kisarawe juu. Ke sijui wana kismat gani jmn...
Lkn pia naona mnahamu sana ya kushambuliwa na USA. Sababu
huyu Dada ni Mmarekani haswa kwa uraia wake!!
Na hajawai kuukana huo uraia wake hata siku moja. Jiwe liliingia kichwakichwa!! Bila kuhoji!!!
Na asikwambie mtu Marekani inapenda sana raia wake ni
Usipime!!
Siyo km bongo yetu hiyo....Wanachukia raia wao wa ughaibuni si kawaida eti tunaringa!!
Yaani ughaibuni wanatupenda kuliko hata ndugu zetu Bongo ndo maana haturudi tutakufia hukuhuku nawaambieni!!
Achilia mbali wa tanzania kwa ujumla wao!!
Mi Ndgu bana weee!! Ni sumu mbaya.. hata wakikuangalia hivi tu!
Kwa kile kijicho huta tamani kurudi kwao tena kamwe kisa diaspora!!
Richa ya Wengine umewapatia misaada kedekede lkn???heee!!!