Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hahaha ati kuna shule huko kisarawe inaitwa jina lake? Sijui ilikuaje mpaka JPM akawa raisi na sijui ilikuaje Kafa miezi michache baada ya kupora kura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha ati kuna shule huko kisarawe inaitwa jina lake? Sijui ilikuaje mpaka JPM akawa raisi na sijui ilikuaje Kafa miezi michache baada ya kupora kura
UCCM umekuharibu akili, mpaka unashindwa kufikiri...kwahiyo rais SAMIA ni Raisi wa wana CCM TU? PUMBAV KABISAUnajua huwa nashangaa sana akili za baadhi ya watu kama nyie [emoji3][emoji3]
Labda nikuulize swali jepesi watamalizwa na nani? Mama samia? Mama samia ni chadema? Au sababu wamemtoa sabaya kafara kuwafurahisha mioyo na nyie mnaelekea kibra? Yani hamko smart kabisa. None of you can decode the political game. Sahivi chadema wote wanashangilia as if wamechukuwa nchi [emoji23][emoji23][emoji23]
Shida haukula almonds ulipokuwa mdogo so can't blame you ubongo wako kuwa na mb chache...ungekuwa hata na gb 1 na processor inayo reflect uwezo huo you could understand what i was trying to say. It's not your fault though ulikuwa unashindia mihogo. Am out, have a nice day.UCCM umekuharibu akili, mpaka unashindwa kufikiri...kwahiyo rais SAMIA ni Raisi wa wana CCM TU? PUMBAV KABISA
Teee!!teh! Mkuu samahani Mkuu lkn ndivo mlivyo. Mashangazi wangi wote hkn anaenipenda.Eeeh jokate mmarekani halafu akapewa usaidizi wa raisi wa Tanzania?
Halafu mkuu umetunanga sana watanzania.
hilo ri afande mbona linamtizama sana. Badara ya kumrinda.