Jokate nae yumo?

Jokate nae yumo?

Unajua huwa nashangaa sana akili za baadhi ya watu kama nyie [emoji3][emoji3]
Labda nikuulize swali jepesi watamalizwa na nani? Mama samia? Mama samia ni chadema? Au sababu wamemtoa sabaya kafara kuwafurahisha mioyo na nyie mnaelekea kibra? Yani hamko smart kabisa. None of you can decode the political game. Sahivi chadema wote wanashangilia as if wamechukuwa nchi [emoji23][emoji23][emoji23]
UCCM umekuharibu akili, mpaka unashindwa kufikiri...kwahiyo rais SAMIA ni Raisi wa wana CCM TU? PUMBAV KABISA
 
UCCM umekuharibu akili, mpaka unashindwa kufikiri...kwahiyo rais SAMIA ni Raisi wa wana CCM TU? PUMBAV KABISA
Shida haukula almonds ulipokuwa mdogo so can't blame you ubongo wako kuwa na mb chache...ungekuwa hata na gb 1 na processor inayo reflect uwezo huo you could understand what i was trying to say. It's not your fault though ulikuwa unashindia mihogo. Am out, have a nice day.
 
Eeeh jokate mmarekani halafu akapewa usaidizi wa raisi wa Tanzania?

Halafu mkuu umetunanga sana watanzania.
Teee!!teh! Mkuu samahani Mkuu lkn ndivo mlivyo. Mashangazi wangi wote hkn anaenipenda.

Kisa nimesoma, Baba yangu ana hela ambae ni kaka yake. Eti mama atafaidi.Pamoja na baba kuwabeba mno.

Familia ya Mr wangu pia ni hayohayooo!! Tena huko wanalogana waziwazi hawaongei.

Marafiki zangu kadhaa wanalia pia.yamkini hata wewe unalia.....au umemkalia mtu vibaya analia
..

Lkn si mashangazi Wote but waliowengi wana visununu sana. La maana tu tafuta pesa punguza mazoea kaa mbali nao. Huo ndiyo ukweli!

Kuna kamsemo ka kizaramo nakapendaga sana "mchawi ndugu....paka katumwa tu"
 
Back
Top Bottom