Jon Mrema: Kauli fupi juu ya Mazungumzo ya Chadema na CCM.

Chadema wawe makini na CCM katika mazungumzo hayo. Sidhani kama CCM wana nia njema juu ya mazungumzo hayo.
Chadema wako makini wameshaumwa na nyoka hata wakiguswa na jani lazima wasituke, CCM let’s give them benefit of doubt.
 
10. Kuutambua uchaguzi mkuu uliopita kuwa ni halali
11. Mbowe na Lisu kuteuliwa kuwa wabunge wa kuteuliwa kuziba nafasi ya Balozi Polepole
12. Mchakato wa Chadema kujiunga na CCM na kuwa kitu kimoja kwa maslahi mapana ya nchi
 
Mama ndiye Rais Bora Africa.Ana Upendo,, mzuri,,ana Hekima..mpole,,hakurupuki...Ongeza Mengine mwenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…