Umeeleza kweli japo umesha conclude bila kujua ni picha ipi au umeshawahi iona hiyo picha.Huyu kijana anatumiwa vibaya,,,,
Picha alipiga akiwa na jezi ya Simba as team "Group" na Melt wanamkataba na Simba sc ,,so yeye aende mahakamani akaombe tafsiri ya mkataba wake na Simba but I know that mkataba wa kwanza wa mkude na Simba una mfanya image yake kusalia Mali ya Simba forever...
Mwache ajichanganye si alisain mkataba ilimradii
Anaishitaki Simba au mo enterprises!?..na picha imetumika wakati bado yupo Simba au yanga?Huyu kijana anatumiwa vibaya,,,,
Picha alipiga akiwa na jezi ya Simba as team "Group" na Melt wanamkataba na Simba sc ,,so yeye aende mahakamani akaombe tafsiri ya mkataba wake na Simba but I know that mkataba wa kwanza wa mkude na Simba una mfanya image yake kusalia Mali ya Simba forever...
Mwache ajichanganye si alisain mkataba ilimradii